Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,702
- 8,480
Heri ya Mwaka Mpya.
Namshukuru Mungu ni mzima wa afya sana,
Mimi ndio nimemiliki gari kwa mara ya kwanza kabisa kwenye maisha yangu haya, sasa mambo mengi nakua siyaelewi na nazidi kujifunza
Nina gari Inavuma sana ikifika speed ya 80, nilipeleka kwa fundi akasema bearing zimeisha (hii gari ni mpya-imeingia October) nikasema Okey nikanunu bearing za mbele zote lakini tatizo halikuisha, ni gari ambalo difu nipo kwenye tairi za mbele(inavuta mbelel)
Mvumo wenyewe ni vuumm,,,vuuuuummmmm,,,,vuuuummmm.
nimepitia mada mbalimbali lakini sirodhika na majibu
Hii Kwangu haijaleta majibu Chanya
Boeing 747
RRONDO
Namshukuru Mungu ni mzima wa afya sana,
Mimi ndio nimemiliki gari kwa mara ya kwanza kabisa kwenye maisha yangu haya, sasa mambo mengi nakua siyaelewi na nazidi kujifunza
Nina gari Inavuma sana ikifika speed ya 80, nilipeleka kwa fundi akasema bearing zimeisha (hii gari ni mpya-imeingia October) nikasema Okey nikanunu bearing za mbele zote lakini tatizo halikuisha, ni gari ambalo difu nipo kwenye tairi za mbele(inavuta mbelel)
Mvumo wenyewe ni vuumm,,,vuuuuummmmm,,,,vuuuummmm.
nimepitia mada mbalimbali lakini sirodhika na majibu
Hii Kwangu haijaleta majibu Chanya
Boeing 747
RRONDO