Wana Jf kwa yeyote anayemjua
mganga fundi kweli kweli hasa
maeneo ya Bagamoyo!
Unaguna nini Bishanga?
Hata wewe umeendewa,hujijui tu.
Hakuna mwanaume asiefanyiwa ndumba Tz hii.
(najua mtanishambulia tu)
yote tisa,kumi 'tanaka' yaani mke anakufanya ndygu zako wote unawaona ni taka tk.we ulisha lishwa shuntama/genda garuka,nashanga unauliza mafisad ccm
wezi wamekuja jana wameiba site mirror,power window,battery ya gari,radio,speaker
na hii ni mara ya pili kuja nyumbani kunifanyia unyama huu
nyayo zipo mpaka xaxa
Gari lako au la kaka?
Maana me mwenyewe naagua wezi.
pole!chota unyanyo wake afu uukaange habari yake ataiona huko aliko.
yote tisa,kumi 'tanaka' yaani mke anakufanya ndygu zako wote unawaona ni taka tk.
Njoo inbox nikusaidie na yeyote mwenye shida kama wwWana Jf kwa yeyote anayemjua
mganga fundi kweli kweli hasa
maeneo ya Bagamoyo!