Msaada: MGANGA fundi

Msaada: MGANGA fundi

brian360

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2012
Posts
224
Reaction score
34
Wana Jf kwa yeyote anayemjua
mganga fundi kweli kweli hasa
maeneo ya Bagamoyo!
 
Mmmmh!! Kongosho mpe msaada huyu jamaa.
 
Last edited by a moderator:
wapo kibao wanakuja...
tulia hapo hapo...
vip unataka kugeuza mtu paka ama?
 
wapo kibao wanakuja...
tulia hapo hapo...
vip unataka kugeuza mtu paka ama?

wezi wamekuja jana wameiba site mirror,power window,battery ya gari,radio,speaker
na hii ni mara ya pili kuja nyumbani kunifanyia unyama huu
nyayo zipo mpaka xaxa
 
Nenda kwa Babu Ustadh Yahya,au Mzee Mpingolo,au Kwa Mzee Kiboko.
Hao wote wanapatikana Bagamoyo mjini japo ni mwendo kidogo.
Au ni PM nikuelekeze vizuri.
 
Nenda kwa Babu Ustadh Yahya,au Mzee Mpingolo,au Kwa Mzee Kiboko.
Hao wote wanapatikana Bagamoyo mjini japo ni mwendo kidogo.
Au ni PM nikuelekeze vizuri.

haya hao madereva wa Taxi na Bodaboda si wanawajua?
 
Kama ni bagamoyo muulize mkuu wa kaya.
 
yupo mmoja kule kaole, cjui bado anaendelea na kazi au kastaafu
 
wezi wamekuja jana wameiba site mirror,power window,battery ya gari,radio,speaker
na hii ni mara ya pili kuja nyumbani kunifanyia unyama huu
nyayo zipo mpaka xaxa

okota mchanga wa nyayo zao, afu niPM nkupe maekezo!
 
hivi mleta mada ni me au ke....manake ukiwa ke,jamaa wana terms tata nowdays,af wanasimamia shoo vibaya sana......na kinga hawakumbuki....lol
 
Nenda kwa Babu Ustadh Yahya,au Mzee Mpingolo,au Kwa Mzee Kiboko.
Hao wote wanapatikana Bagamoyo mjini japo ni mwendo kidogo.
Au ni PM nikuelekeze vizuri.
Lazima wewe ni mteja wao mzuri.
 
Nenda kwa Babu Ustadh Yahya,au Mzee Mpingolo,au Kwa Mzee Kiboko.
Hao wote wanapatikana Bagamoyo mjini japo ni mwendo kidogo.
Au ni PM nikuelekeze vizuri.
mmmmmmhhhhh!!!!!!
 
wezi wamekuja jana wameiba site mirror,power window,battery ya gari,radio,speaker
na hii ni mara ya pili kuja nyumbani kunifanyia unyama huu
nyayo zipo mpaka xaxa

Gari lako au la kaka?
Maana me mwenyewe naagua wezi.
 
nenda bagamoyo stand ya mabasi ya kutoka mwenge, kituo cha taxi tafuta taxi iloandikwa "GLORY BE TO GOD"....itakufikisha kwa BaBu....
 
Back
Top Bottom