mi wala siwezi kukushambulia,i am old enough kujua unalosema ni la ukweli.Unaguna nini Bishanga?
Hata wewe umeendewa,hujijui tu.
Hakuna mwanaume asiefanyiwa ndumba Tz hii.
(najua mtanishambulia tu)
mlegeze basi bishanga awe anakuona kwenye glass.Mie mwenyewe fundi, natibu vilivyolegea tu
Sasa kuibiwa vifaa vya gari tu analia, je akiibiwa gari lote kwa hiari??
Unaguna nini Bishanga?
Hata wewe umeendewa,hujijui tu.
Hakuna mwanaume asiefanyiwa ndumba Tz hii.
(najua mtanishambulia tu)
Unaguna nini Bishanga?
Hata wewe umeendewa,hujijui tu.
Hakuna mwanaume asiefanyiwa ndumba Tz hii.
(najua mtanishambulia tu)
mi wala siwezi kukushambulia,i am old enough kujua unalosema ni la ukweli.
Kilichonimaliza ni kuwa chichat sasa tumeanza na kuelekezana kwa sangoma,kweli jf ni kiboko ya mitandao ya jamii.
Wangu niambie ukweli, usijali kama utaniuma au lah!
Je mimi meniendea kwa sangoma au ni Mapenzi ya ukweli?
Please wangu nahitaji kujua hili nijue chakufanya dawa zikiisha!
jamvi lina mb?Ndo mana yake.
Jf ni kama BF wangu wa pili baada ya huyu wa sasa.
acha woga rutta,maji ya mochwale hayaui!Wangu niambie ukweli, usijali kama utaniuma au lah!
Je mimi meniendea kwa sangoma au ni Mapenzi ya ukweli?
Please wangu nahitaji kujua hili nijue chakufanya dawa zikiisha!
jamvi lina mb?
acha woga rutta,maji ya mochwale hayaui!
okota mchanga wa nyayo zao, afu niPM nkupe maekezo!
We unafikiri ulivyokuwa umeniganda kipindi kile yalikuwa mapenzi yale?
Pale nilitembeza ndumba mwanzo mwenga.
La sivyo ningerudi kwetu kitambo.
jamvi lina mb?
Wangu niambie ukweli, usijali kama utaniuma au lah!
Je mimi meniendea kwa sangoma au ni Mapenzi ya ukweli?
Please wangu nahitaji kujua hili nijue chakufanya dawa zikiisha!
ha,ha,ha....unakoelekea utakuwa mama freemanson.kuna jamaa anaitwa wakati ndio sasa ulimchomea dawa ya kilo ngap?maana naona alikua amedata.