fundi msati
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 203
- 67
Wadau habari,
Hapa nilitaka iwe vyumba 3 sebule na jiko. Nikapandisha ikafika sehemu ikakwama fedha ilikata ila najipanga niamie ili mengine yanikute hapohapo sasa naomba msaada wa makadilio ya kufunika hapo kuanzia kenchi na bati hapo palipopigwa lita kila chumba kina upana wa ft 10 vipo viwili na jikon ft 8 urefu ft 13.
Huku ambako sijapandisha kuna chumba na sebule ambacho upana wake jumla ni ft 28 urefu ft 24 naomba kujua bati ngapi? Pia naomba kujua bando moja huwa ina bati ngapi?? SAMAHANI kama kuna sehemu sijaeleweka.
Hapa nilitaka iwe vyumba 3 sebule na jiko. Nikapandisha ikafika sehemu ikakwama fedha ilikata ila najipanga niamie ili mengine yanikute hapohapo sasa naomba msaada wa makadilio ya kufunika hapo kuanzia kenchi na bati hapo palipopigwa lita kila chumba kina upana wa ft 10 vipo viwili na jikon ft 8 urefu ft 13.
Huku ambako sijapandisha kuna chumba na sebule ambacho upana wake jumla ni ft 28 urefu ft 24 naomba kujua bati ngapi? Pia naomba kujua bando moja huwa ina bati ngapi?? SAMAHANI kama kuna sehemu sijaeleweka.