OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,066
Halafu bado kuna ile 10% ya kodi ya pango. Mfano unalipa kodi 100k na wewe umelipia labda miezi 6. TRA watataka uwalipe ten percent ya kodi ya pango kwa mwaka mzima hivyo utalipa 120k kwa mwaka ..wao hawajui umelipa pango kwa Muda gani..
Hivyo chukua 250,000+120,000 ndonupate tax clearance.
Ili kukupooza wanakwambia lipa kwa awamu nne..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hivyo chukua 250,000+120,000 ndonupate tax clearance.
Ili kukupooza wanakwambia lipa kwa awamu nne..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app