Msaada. Makadirio ya kodi kutoka TRA

Lipa ya huo muhula mmoja ambayo umesema then kwenye makadirio ya mwezi wa nne nenda na barua ya kupunguziwa kodi pamoja na kitabu cha mauzo
Hiki kitabu, unaandika mauzo kila siku au unaandika kila ukiuza bidhaa?
 
Ndugu yangu acha tu. Yani muda huu niko kitandani naona hadi ujinga kwenda kufungua biashara.
Nenda kafanye kazi acha kulia ... Hii nchi ukiwa goi goi hutoboi. Hakuna mtu anafanya kazi au biashara kwenye hii nchi ameridhika kwa kila kitu. Nenda kafanye utajua michezo yote ndani ya game. TRA wana negotiation room ukiona Kodi kubwa Cha msingi tunza kumbukumbu za mauzo.

Ninachojua kwasasa ukiwa na biashara mpya utapewa Grace period ya miezi 6 bila kulipa kodi ili ujue trend ya biashara yako. Amka kitandani kafungue goli ndugu. Hii nchi kila mtu anabanwa ukiogopa umepotea.
 
Haukutakiwa kwenda huko wewe ungefanya biashara kwanza mpaka baadae mtaji ukikua ndio ufuate hizo taratibu, sasa mtaji wa laki sita ukitoa na hizo kodi inabaki ela ambayo ukiifanyia kazi utapata vidonda vya streess maana duka la bidhaaa lina vitu vingi vidogo vidogo na hivi vitu unatakiwa uwe na mtaji ili uwe navyo, kama huna hivyo wateja wanaokuja wanakuuliza bidhaa ambazo huna, Hapo utakosa hamu ya biashara sababu unaona huna kitu unachouza zaidi ya kusumbua akili na kujipa wasi wasi
 
Nenda kafanye kazi acha kulia ... Hii nchi ukiwa goi goi hutoboi. Hakuna mtu anafanya kazi au biashara kwenye hii nchi ameridhika kwa kila kitu. Nenda kafanye utajua michezo yote ndani ya game. TRA wana negotiation room ukiona Kodi kubwa Cha msingi tunza kumbukumbu za mauzo.

Ninachojua kwasasa ukiwa na biashara mpya utapewa Grace period ya miezi 6 bila kulipa kodi ili ujue trend ya biashara yako. Amka kitandani kafungue goli ndugu. Hii nchi kila mtu anabanwa ukiogopa umepotea.
Hakuna graceperiod mzee. Ni kuwa baada ya miezi sita unalipa 125,000 ambayo ni sawa tu ungelipa baada ya miezi mitatu mitatu.
 
ukisoma michango ya wanaJF unagundua wazi watu hawana elimu ya kodi, ila kama ilivyo kawaida yetu tunadhani tunajua kumbe ni kinyume. Jana nilikuwa ofisi za TRA nilienda kufanyiwa makadirio kwenye kibiashara changu kidogo. Muda nipo foleni nilishuhudia watu watatu wanalia.

Wamekadiriwa kodi kubwa. Mimi naamini sivyo. Maafisa wa TRA wanakukadiria kodi kadri unavyojieleza. Ukienda kwake ukaropoka-ropoka kodi itakuwa kubwa. ni vizuri kama hujui mambo ya kodi, upate ushauri wa kitaalamu kabla hujaenda kuropoka na baadae kutoa machozi.

Cha msingi na kikubwa jitahidi kupata uelewa wa kodi, pitia kwenye website yao wameweka tax laws. Ukitaka interpretation, visit their offices.
 
Haukutakiwa kwenda huko wewe ungefanya biashara kwanza mpaka baadae mtaji ukikua ndio ufuate hizo taratibu, sasa mtaji wa laki sita ukitoa na hizo kodi inabaki ela ambayo ukiifanyia kazi utapata vidonda vya streess maana duka la bidhaaa lina vitu vingi vidogo vidogo na hivi vitu unatakiwa uwe na mtaji ili uwe navyo, kama huna hivyo wateja wanaokuja wanakuuliza bidhaa ambazo huna, Hapo utakosa hamu ya biashara sababu unaona huna kitu unachouza zaidi ya kusumbua akili na kujipa wasi wasi
Nadhani hii ni mistake nilifanya. Lengo langu lilikuwa kupata TIN na lesseni ili niweze kuwa huru kuliko kukimbia kimbia
 
Jamaa muoga Sana. Cha msingi awaambie TRA ataanza kulipa kodi baada ya miezi 6 Kama grace period na inaruhusiwa.
Nimepewa miezi 6 lakini actually sio grace period. Nimeambiwa miezi 6 ikiisha nilipe 62.5 *2==125,000. Sasa logic ya grace period ni nini?
 
ukisoma michango ya wanaJF unagundua wazi watu hawana elimu ya kodi, ila kama ilivyo kawaida yetu tunadhani tunajua kumbe ni kinyume. Jana nilikuwa ofisi za TRA nilienda kufanyiwa makadirio kwenye kibiashara changu kidogo. Muda nipo foleni nilishuhudia watu watatu wanalia. Wamekadiriwa kodi kubwa. Mimi naamini sivyo. Maafisa wa TRA wanakukadiria kodi kadri unavyojieleza. Ukienda kwake ukaropoka-ropoka kodi itakuwa kubwa. ni vizuri kama hujui mambo ya kodi, upate ushauri wa kitaalamu kabla hujaenda kuropoka na baadae kutoa machozi.
Cha msingi na kikubwa jitahidi kupata uelewa wa kodi, pitia kwenye website yao wameweka tax laws. Ukitaka interpretation, visit their offices.
Mkuu mimi niliulizwa mtaji nikawambia 600,000 na ndio mtaji. Na mauzo ni 5,000-10,000 per day so far. Hayo ni mauzo. Sasa hio mil 10 ya mauzo per year wametoa wapi?
 
Toa hongo uwe unalipa elfu 90.
Kwa nini nitoe hongo.? Hii ni nchi yetu sote. Tuwe fair. Kuna jamaa jirani anaduka kubwa sana analipa 80,000 kwa mwaka. Mimi nakamtaji ka kusave boom naambiwa 250,00 0. Shame on them.
 
Wakuu za leo.
Katika kupambana na maisha nikaamua kuanzisha duka la rejareja almaarufu la mangi mitaa ya hapa Mwanza.
Nikaenda TRA kusajili TIN bana jamaa wakakadiria kodi nilipe 250,000 kwa mwaka. Sasa yaani nimeshindwa hata cha kuongea nawaambia mimi kwa hii miezi miwili kwa siku hardly naweza pata 10,000. Ikiwa siku nzuri atleast naweza pata 15,000. Hapo hujatoa pango, umeme n.k, Kwa mwezi unaweza ishia na faida ya 50,000. sasa hii kodi ya 250,000 wameitoa wapi. Hafu wanasema mauzo yangu kwa mwaka ni mil 9.6 aseee nimejuta.
Sasa nimeamua kuachana na hii biashara bora nishinde nalala tu. Mtaji wenyewe laki 6.
Je. wakuu hii kodi 250,000 ni reasonable Kweli?
Hafu mbona kama wao wamekaa tu wanakukadiria ili ufeli ubaki na umasikini wako.
Nimeanza namna ya kuacha hii biashara, Kodi ikiisha tu naenda zangu kulima. Sasa ni namna gani naweza sitisha hili kadirio.
Asante
Rudi hapo ofcn kamuone meneja wa eneo husika face to face ukiwa na barua ya lalalamiko lako kodi yko utapunguzwa
 
Back
Top Bottom