TRA ondoeni Kodi ya Pango kwa mfanyabiashara

welding1682

JF-Expert Member
Aug 20, 2019
1,695
3,593
Haiwekani mimi nimepanga frem labda laki moja kwa mwezi, nakuja kutaka tin namba mnaniambia niletee mkataba wa pango, nikasheleta mnaniambia nilipe 10% ya Kodi niliyolipa kwa mwaka halafu mimi nikamdai mwenye fremu.

Kwanini TRA msiweke utaratibu wa wenye fremu kulipa Kodi wenywewe? Inaumiza sana hasa sisi wenye mitaji midogo na ndiyo tunaanza biashara.
 
Haiwekani Mimi nimepanga frem labda laki moja kwa mwezi nakuja kutaka tin namba mnaniambia niletee mkataba wa pango , nikasheleta mnaniambia nilipe asilimia kumi ya Kodi niliyolipa kwa mwaka alafu Mimi nikamdai mwenye fremu,
Kwanini TRA msiweke utaratibu wa wenye fremu kulipa Kodi wenywewe inaumiza sana hasa sisi wenye mitaji midogo na ndiyo tunaanza biashara.
Uko sw mwenye flame au nyumba ya biashara lafanya biashara anapaswa kulipa Kodi Kama wafanyabiara wengine wanalipa kodi
 
Sio kila mmoja wetu anaweza kuzungumzia kodi kisa tu amepata TECNO yake Phantom au ITEL au INFINIX.

Kodi ya Zuio inalipwa na mmiliki halisi wa JENGO/FRAME/STORE yako.

Kwakuwa umelipa pango kwa mwenye Frame, hapa maana yake ni kwamba mwenye Frams ameingiza kipato hivyo ana wajibu wa kulipa kodi. So kutokana na urahisi wa Mfanyabiashara kwenda TRA basi sheria ikamtaka kuzuia 10% ya Pango aliyopaswa kumlipa mwenye frame na kuiwasilisha TRA kwa niaba ya MMILIKI.

Kama frame ni yako, basi utapeleka uthibitisho wa umiliki huo ikiwa sambamba na hati ya jengo hilo au kama imesajiliwa kwenye mfumo wa majengo wa TRA basi unasema na hukatwi kodi hiyo.

Ndugu zangu, kama hamjui kitu ni bora kumtafuta jirani yako akupe elimu sahihi, au anzisha uzi ambao utakufanya ueleweshwe na sio unafungua uzi as if unauelewa na unachokisema kumbe ni BOGAZ SIMAMA TUOMBE.
 
Sio kila mmoja wetu anaweza kuzungumzia kodi kisa tu amepata TECNO yake Phantom au ITEL au INFINIX.

Kodi ya Zuio inalipwa na mmiliki halisi wa JENGO/FRAME/STORE yako.

Kwakuwa umelipa pango kwa mwenye Frame, hapa maana yake ni kwamba mwenye Frams ameingiza kipato hivyo ana wajibu wa kulipa kodi. So kutokana na urahisi wa Mfanyabiashara kwenda TRA basi sheria ikamtaka kuzuia 10% ya Pango aliyopaswa kumlipa mwenye frame na kuiwasilisha TRA kwa niaba ya MMILIKI.

Kama frame ni yako, basi utapeleka uthibitisho wa umiliki huo ikiwa sambamba na hati ya jengo hilo au kama imesajiliwa kwenye mfumo wa majengo wa TRA basi unasema na hukatwi kodi hiyo.

Ndugu zangu, kama hamjui kitu ni bora kumtafuta jirani yako akupe elimu sahihi, au anzisha uzi ambao utakufanya ueleweshwe na sio unafungua uzi as if unauelewa na unachokisema kumbe ni BOGAZ SIMAMA TUOMBE.
Kwa nini mmekabe aliyepangishwa badala ya mmiliki, hivi unategemea mmiliki atakubali kurudisha hiyo pesa ?
 
Kwa nini mmekabe aliyepangishwa badala ya mmiliki, hivi unategemea mmiliki atakubali kurudisha hiyo pesa ?
Kata kwenye PANGO usichoelewa nini? Kama pango kwa mwezi ni 1 Milion basi 100k unapelekea TRA na 900k unampa mwenye fremu hapo shida hiyo ndio maana ya WITHHOLDING TAX
 
Sio kila mmoja wetu anaweza kuzungumzia kodi kisa tu amepata TECNO yake Phantom au ITEL au INFINIX.

Kodi ya Zuio inalipwa na mmiliki halisi wa JENGO/FRAME/STORE yako.

Kwakuwa umelipa pango kwa mwenye Frame, hapa maana yake ni kwamba mwenye Frams ameingiza kipato hivyo ana wajibu wa kulipa kodi. So kutokana na urahisi wa Mfanyabiashara kwenda TRA basi sheria ikamtaka kuzuia 10% ya Pango aliyopaswa kumlipa mwenye frame na kuiwasilisha TRA kwa niaba ya MMILIKI.

Kama frame ni yako, basi utapeleka uthibitisho wa umiliki huo ikiwa sambamba na hati ya jengo hilo au kama imesajiliwa kwenye mfumo wa majengo wa TRA basi unasema na hukatwi kodi hiyo.

Ndugu zangu, kama hamjui kitu ni bora kumtafuta jirani yako akupe elimu sahihi, au anzisha uzi ambao utakufanya ueleweshwe na sio unafungua uzi as if unauelewa na unachokisema kumbe ni BOGAZ SIMAMA TUOMBE.
Wewe ndiyo bogasi, kwann wenywewe Tra wasiweke mfumo wakudai Kodi kwa mwenye frem wambane MFANYABIASHARA,
Alaf mwenye nyumba Gani atakubali kukurudishia
TRA inapaswa kuweka mfumo yenyewe ya kudai hii Kodi kwa mwenye nyumba!
 
Kata kwenye PANGO usichoelewa nini? Kama pango kwa mwezi ni 1 Milion basi 100k unapelekea TRA na 900k unampa mwenye fremu hapo shida hiyo ndio maana ya WITHHOLDING TAX
Una fikiria ni rahis hivyo, wenye fremu hawakuli hiyo kitu kwa kigezo kama Kuna Kodi hiyo TRA iwafate wenywewe ni uvivu wa kufikiri tu kumjazia mtu mmoja kodi!
 
Haiwekani mimi nimepanga frem labda laki moja kwa mwezi, nakuja kutaka tin namba mnaniambia niletee mkataba wa pango, nikasheleta mnaniambia nilipe 10% ya Kodi niliyolipa kwa mwaka halafu mimi nikamdai mwenye fremu.

Kwanini TRA msiweke utaratibu wa wenye fremu kulipa Kodi wenywewe? Inaumiza sana hasa sisi wenye mitaji midogo na ndiyo tunaanza biashara.
Hawawezi kumfuata mwenye nyumba maana kodi ya majengo / makazi wamehamishia kwenye umeme nchi hii hatari
 
Sio kila mmoja wetu anaweza kuzungumzia kodi kisa tu amepata TECNO yake Phantom au ITEL au INFINIX.

Kodi ya Zuio inalipwa na mmiliki halisi wa JENGO/FRAME/STORE yako.

Kwakuwa umelipa pango kwa mwenye Frame, hapa maana yake ni kwamba mwenye Frams ameingiza kipato hivyo ana wajibu wa kulipa kodi. So kutokana na urahisi wa Mfanyabiashara kwenda TRA basi sheria ikamtaka kuzuia 10% ya Pango aliyopaswa kumlipa mwenye frame na kuiwasilisha TRA kwa niaba ya MMILIKI.

Kama frame ni yako, basi utapeleka uthibitisho wa umiliki huo ikiwa sambamba na hati ya jengo hilo au kama imesajiliwa kwenye mfumo wa majengo wa TRA basi unasema na hukatwi kodi hiyo.

Ndugu zangu, kama hamjui kitu ni bora kumtafuta jirani yako akupe elimu sahihi, au anzisha uzi ambao utakufanya ueleweshwe na sio unafungua uzi as if unauelewa na unachokisema kumbe ni BOGAZ SIMAMA TUOMBE.

Kwaiyo ulichoandika unaona ni sawa? Au Wewe Ndio bogus mwenyewe? Do you think udhaifu wa TRA kwenye kukusanya hiyo 11% ya kodi unapaswa kufidiwa kwa kumminya mfanyabiashara? I thought ungeonyesha mechanism nzuri ya namna gani TRA wangeweza kukusanya hii kodi kwa mwenye jengo na sio eti mpangaji alipe halafu akadai that’s absurd!!
 
Sio kila mmoja wetu anaweza kuzungumzia kodi kisa tu amepata TECNO yake Phantom au ITEL au INFINIX.

Kodi ya Zuio inalipwa na mmiliki halisi wa JENGO/FRAME/STORE yako.

Kwakuwa umelipa pango kwa mwenye Frame, hapa maana yake ni kwamba mwenye Frams ameingiza kipato hivyo ana wajibu wa kulipa kodi. So kutokana na urahisi wa Mfanyabiashara kwenda TRA basi sheria ikamtaka kuzuia 10% ya Pango aliyopaswa kumlipa mwenye frame na kuiwasilisha TRA kwa niaba ya MMILIKI.

Kama frame ni yako, basi utapeleka uthibitisho wa umiliki huo ikiwa sambamba na hati ya jengo hilo au kama imesajiliwa kwenye mfumo wa majengo wa TRA basi unasema na hukatwi kodi hiyo.

Ndugu zangu, kama hamjui kitu ni bora kumtafuta jirani yako akupe elimu sahihi, au anzisha uzi ambao utakufanya ueleweshwe na sio unafungua uzi as if unauelewa na unachokisema kumbe ni BOGAZ SIMAMA TUOMBE.
Wewe ni mjinga ila haujijui, kinacholalamikiwa hapa sio uhalali wa hoyo kodi bali ni mbinu za ukusanyaji wake. Badala ya kuhangaika na mfanya biashara ambaye kapangishwa kwanini TRA isitengeneze mfumo wa kuikusanya hiyo kodi kwa mpangishaji?
 
Wewe ni mjinga ila haujijui, kinacholalamikiwa hapa sio uhalali wa hoyo kodi bali ni mbinu za ukusanyaji wake. Badala ya kuhangaika na mfanya biashara ambaye kapangishwa kwanini TRA isitengeneze mfumo wa kuikusanya hiyo kodi kwa mpangishaji?
Anayemjua mmiliki ni TRA au MFANYABIASHARA?

Kwakuwa mfanyabiashara ana uhusiano wa moja kwa moja na Mmiliki wa FRAME hivyo ni rahisi kukusanya kodi hiyo kupitia kwa Mfanyabiashara.

Mfano halisi ni kama PAYE, unadhani SERIKALI haijui watu wake, si ungekuwa unapata mshahara then ww mwenyewe unaenda TRA kulipa kodi yako. But kutokana na urahisi kwa anayelipa Mshahara anaweza kuikata juu kwa juu ndio sheria inamtaka aikate kabisa.

So hii ni sawa na PAYE tu. Kwamba Mfanyabiashara atalazimika kumkata MMILIKI wa Frame kwakuwa yy ndio ana nafasi ya kuikata hiyo pesa na kuipelekea TRA.
 
Anayemjua mmiliki ni TRA au MFANYABIASHARA?

Kwakuwa mfanyabiashara ana uhusiano wa moja kwa moja na Mmiliki wa FRAME hivyo ni rahisi kukusanya kodi hiyo kupitia kwa Mfanyabiashara.

Mfano halisi ni kama PAYE, unadhani SERIKALI haijui watu wake, si ungekuwa unapata mshahara then ww mwenyewe unaenda TRA kulipa kodi yako. But kutokana na urahisi kwa anayelipa Mshahara anaweza kuikata juu kwa juu ndio sheria inamtaka aikate kabisa.

So hii ni sawa na PAYE tu. Kwamba Mfanyabiashara atalazimika kumkata MMILIKI wa Frame kwakuwa yy ndio ana nafasi ya kuikata hiyo pesa na kuipelekea TRA.
Fact
 
Lawama wanapewa TRA kwakua ndio wanakutana na mlipakodi moja kwa moja, ishu hapo ni namna utaratibu ulivyoweka si rafiki kwa mlipakodi, muda mwingine wamiliki wa majengo wanatishia kuwafukuza wapangaji kisa hio kodi, kwaio inabidi mlipakodi amlipie tu mwenye nyumba au ahame, serikali labda iangalie namna nyingine ya kuipata kodi hiyo kirahisi.
 
Back
Top Bottom