Msaada lodge nzuri Morogoro

Kama kuna Mkoa ambao leo hii nikiambiwa niuteue kuwa Kinara wa UKIMWI ( Solo Gitaa ) Tanzania nzima wala sitochelewa Kuutaja Mkoa wa Morogoro.
Hata mimi nasema hivyo kuanzia ma pub,.bar, mpka ma club na kuna hio.mitaa hiyo kama.

Mafiga
Mafisa
Chamwino

Huko ndo balaa wanawake wamekuwa kama kuku wa kisasa


Sijui sahivi hali ikoje huko

Morogoro ni balaa
 
Hata mimi nasema hivyo kuanzia ma pub,.bar, mpka ma club na kuna hio.mitaa hiyo kama.

Mafinga
Mafisa
Chamwino

Huko ndo balaa wanawake wamekuwa kama kuku wa kisasa


Sijui sahivi hali ikoje huko

Morogoro ni balaa

Mbona umepasahau na 'Saba Saba' pia?
 
 
Yote yanaweza kuwa majibu na sijui lodge nzuri kwako unaiangalia kwa perspective gani lakini mi nilikuta huduma safi na nimeipenda na nikahid pengine kama ningerudi ule mkoa ningefika pale

1. Kuna usalama ??
2. Maji ya moto (heaters) ?
3. AC ?
4. Packing ??
5. Mataulo masafi ??
6. Mashuka masafi ?
7. Usafi wa mazingira ??
8. Ambiance ??
9. Etc etc
 
1. Kuna usalama ??
2. Maji ya moto (heaters) ?
3. AC ?
4. Packing ??
5. Mataulo masafi ??
6. Mashuka masafi ?
7. Usafi wa mazingira ??
8. Ambiance ??
9. Etc etc

Najua kwa 15k huwezi kupata breakfast lkn hayo apo juu ni basic otherwise utatoka na kunguni, magonjwa ya ngozi, simu na laptop vimeibiwa usiku, utaondoka lodge bila kuoga asubuhi kwa sababu ya baridi, etc etc
 
1. Kuna usalama ??
2. Maji ya moto (heaters) ?
3. AC ?
4. Packing ??
5. Mataulo masafi ??
6. Mashuka masafi ?
7. Usafi wa mazingira ??
8. Ambiance ??
9. Etc etc
1. Kuna usalama ??
Hapo nilipoenda usalama ulikuwepo ndio ..pia imezungukwa na ukuta

2. Maji ya moto (heaters) ?
Hapana


3. AC ?
Ipo feni ile ya juu ya umeme

4. Packing ??
Sio kubwa

5. Mataulo masafi ??
Ndio

6. Mashuka masafi ?
Ni masafi meupe

7. Usafi wa mazingira ??
Wako vizuri

8. Ambiance ??
Mandhari ni mazuri sio mabaya

9.plus wahudumu wako vizuri kuhudumia unasikilizwa

Hio ni chini ya 15


Nb

Sasa ukiwa na bajeti kama 20k na kuendelea unaweza kuta nyengine ndo zina kama heaters.


Sasa kama mtoa mada mwenye bajeti ya 15k anashindwa vip kui enjoy hapo
 

Nimekubali Kunguru wa Manzese
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…