Msaada: Lodge gani ya bei poa Morogoro mjini??

Msaada: Lodge gani ya bei poa Morogoro mjini??

Mkuu mbona ukisafiri kwenda mikoa mingine huombi msaada JF? iweje Moro au una kumbukumbu za yaliyomkuta Mhe Malxxxxxx?
Usijali, nami nakuelekeza Delux Hotel karibu sana na Oasis Hotel.
Wishing u a happy stay.
 
huduma ya totoz sihitaji, nashukuru kwa michango yenu wakuu.
 
you guys mnajua mnafanya biashara hapa (Network Marketing) jamaa anapoenda moja ya hotel mnazotaja mwenye hotel anaenda tengeneza pesa but you? Do you get bonus? Now days kuna watu wanafanya hivi kwa malipo the word of mouth brings impact into business. I am a network marketer i refer people and i get paid. if you also wana do this business get in touch PM me. free consultation into this business, small start capital
 
Mkuu mbona ukisafiri kwenda mikoa mingine huombi msaada JF? iweje Moro au una kumbukumbu za yaliyomkuta Mhe Malxxxxxx?
Usijali, nami nakuelekeza Delux Hotel karibu sana na Oasis Hotel.
Wishing u a happy stay.

Una maana hilux? Wanaiba sana laptop pale be careful
 
Kuna Lodge zinaitwa B one Lodge ile ya pale Maskia jirani na Round About ni poa.
 
you guys mnajua
mnafanya biashara hapa (Network Marketing) jamaa anapoenda moja ya hotel
mnazotaja mwenye hotel anaenda tengeneza pesa but you? Do you get
bonus? Now days kuna watu wanafanya hivi kwa malipo the word of mouth
brings impact into business. I am a network marketer i refer people and i
get paid. if you also wana do this business get in touch PM me. free
consultation into this business, small start capital

Aminia Sir,job is everywhere
 
Aminia Sir,job is everywhere

thanks mkuu steveachi...hata wewe fikiria hapo watu wako bize wanataja mahoteli jamaa afikie hawajui kuwa wanawafanyia marketing wenye hizo hoteli bila kulipwa na wenye hoteli wanaenda tengeneza pesa, sasa kwa nini usiifanye in terms of business? Jamaa anapopata pesa kutokana na referal yako na wewe unatengeneza pesa?
 
nimefikia top life sio pabaya... Hali ya hewa morogoro safi sana. Napiga bia baridi kidogo then kesho vurugu za vikao.
 
Mkuu,
Usambara lodge ndio yenyewe. Pale unapata huduma executive kwa bei nzuri kabisa.
 
Ngoja nampigia simu malima halafu nitakuja kukujibu,, subiri usiondoke.. simu inaita.. ngoja....hallow malima... hallow..
 
Back
Top Bottom