Msaada: Lodge gani ya bei poa Morogoro mjini??

Msaada: Lodge gani ya bei poa Morogoro mjini??

Nenda google andika adam malima hon -morogoro utaona hotel nzuri kweli ina mizuka wa kutupa uitaji kwenda club kununuaa inakuja bar ushindwe mwenyewe yatakoyukuta usiite wahindishi wa habari umeibiwa pls
 
Ngoja nampigia simu malima halafu nitakuja kukujibu,, subiri usiondoke.. simu inaita.. ngoja....hallow malima... hallow..

HAHAAAA...HAHAHA..
TEHW..TEHE..TEHEE..
YAN WOTE WAMEANDKA POST ZAKUCHEKESHA ILA YAKO NOMAAAAAA.. MKUU DAA JF RAHA SANAAAA
NAOSOMA HII POST SA7 uck sahv yan ucmgz wote umeisha!!
 
nimefikia top life sio pabaya... Hali ya hewa morogoro safi sana. Napiga bia baridi kidogo then kesho vurugu za vikao.

mkuu pisces makushaur umalzie cku zako pale Rombo Lorge ipo maeneo ya barbar ya kwnd Bomani kumetulia sana pale ; AC pia imo kwa 25 tu na misosi ya nguvu ipo bla kusahau nyam choma na larger moto-bardiii..
 
Mkuu, nenda Sofia Hotel. Ipo mjini kabisa na bei poa. Ipo pembeni ya Abood Bus.
 
B one Lorge za Mahita zimetapakaa karibu mitaa yote ya Morogoro
 
Inategemea unataka za upande gani mwanakwetu, Kama Msamvu nyuma ya Ukuta wa Stand ya Mkoa kuna Japrima,Executive, Zawadi, Gwami, Fiesta n.k. California(Iringa road-hii 35,000)
Kama town city centre kuna River View, Gwami (zote za mtu m1 na ile ya Msamvu), Mopalmo, Sawaka inn(Boma road kama unapandisha kwa mkuu wa mkoa)
Halaf kuna De Job Lodge ipo Misufini barabara ya kwenda SUA nayo ya ukweli ya Mjerumani flani hv
 
Nendeni hotel za maana kama za adam malima hata ukiibiwa bastolauna uhakika wa kuipata
 
Lala hotel kuanzia 50k, kuna vibaka sana hapo wa funguo na madirishani
 
Bei poa na nzuri kiasi chake ni White House...ni 25 tu.sio mbaya sana!!
 
Mbona hukuweka Budget yako!? Au Sababu kuna waTu wengine hata 200,000 kwao ni Bei Nafuu. Okay ilka kama unaweza kuafford 50 to 60 Maelfu ya Hela. There's one palce tulivu "Hillux" Hapo utafurahia.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom