Msaada kwa yeyote aliyemaliza form 6 2016

Msaada kwa yeyote aliyemaliza form 6 2016

mbona wengine wana andikiwa not passed A-level result kama una hyo DEE
Huyo harusiwi,Anaeruhusiwa ni mwenye point 4 kwenye masomo mawili na sio matatu.Mbona watu wanakuelimisha lakini umegoma kuelewa.
 
Watu wanawaelimisha lakini hamtaki kuelewa.Mimi nimemuombea mtu mwenye CEE na kakubaliwa.
kakubaliwa na nani?????...........kama hujui tcu.....program yao haikatai inabeba tuu mwisho wa siku atakaa nyumbani.......unatakiwa uwe na angalau d 2 kwenda degree i mean mwisho 3.13
 
kakubaliwa na nani?????...........kama hujui tcu.....program yao haikatai inabeba tuu mwisho wa siku atakaa nyumbani.......unatakiwa uwe na angalau d 2 kwenda degree i mean mwisho 3.13
You mean mwisho div 3 ya point kumi na tatu.

Mtu mwenye DDF ana 3 ya 15 haendi chuo?.

AEE two ya point 11 haendi chuo?.

CEE three ya point 13 haendi chuo?.

Tatizo lako hufatilii mambo na kikubwa zaidi hujui lakini hujui kama hujui.

Kigezo kikubwa cha TCU ni uwe na point nne kwenye masomo mawili na sivinginevyo.Ukiwa na CE,DD, BE,AE,kwenye combination yako unaenda chuo.
 
NINA D MBILI NA C MOJA NILIMALIZA 2014 ninashindwa kuaply wanasema inatakiwa c2 sasa na ili tangazo cjaelewa inakuaje apo


hawa wanaokomaa kwamba ni lazima uwe na 2D's ndo uende chuo inamaana hawakuona hii Public Resolution notice ya tarehe 16 nini?, maana kuna mtu kakomaa huko juu kwamba kuna mtu ana C+E+E amekataliwa chuo, labda atuambie yeye ameenda ku aplly kwenye system gani[/QUOTE]
n
 
NINA D MBILI NA C MOJA NILIMALIZA 2014 ninashindwa kuaply wanasema inatakiwa c2 sasa na ili tangazo cjaelewa inakuaje apo


hawa wanaokomaa kwamba ni lazima uwe na 2D's ndo uende chuo inamaana hawakuona hii Public Resolution notice ya tarehe 16 nini?, maana kuna mtu kakomaa huko juu kwamba kuna mtu ana C+E+E amekataliwa chuo, labda atuambie yeye ameenda ku aplly kwenye system gani
n[/QUOTE]
Bro, soma guidebook, Waliomaliza mwaka 2014 na mwaka 2015 inabidi uwe na minimum C mbili......Principle ni C mbili minimum so hapo huwez kwenda degree
 
NINA D MBILI NA C MOJA NILIMALIZA 2014 ninashindwa kuaply wanasema inatakiwa c2 sasa na ili tangazo cjaelewa inakuaje apo


hawa wanaokomaa kwamba ni lazima uwe na 2D's ndo uende chuo inamaana hawakuona hii Public Resolution notice ya tarehe 16 nini?, maana kuna mtu kakomaa huko juu kwamba kuna mtu ana C+E+E amekataliwa chuo, labda atuambie yeye ameenda ku aplly kwenye system gani
n[/QUOTE]
D2 au point 4 ni kwa wale waliomaliza mwaka huu 2016. ila kwa wale wa 2015 na 2014 ni C2 kwasababu mlipita kwa BRN..... marks zenu zilikuwa chini sana.
 
Back
Top Bottom