Mmavele jr
Senior Member
- Aug 14, 2014
- 130
- 53
mwambie aombe tu na Kama alikosea arudie tena asione hasara kutoa elfu 50 CE imekubalika kama kigezo cha kwenda chuo kikuu japo ni minimum qualification ila kwa science haachwi huyooAnadai kaambiwa hajafaulu kuanza kuchukua degrée kutokana na maelezo yake na ameshapply kupitia cheti cha form 4 anaenda kuanza Sijui diploma .
TCU na ndalichako wanatofautiana tatizo linakuja ukilazimisha Kuapply na CEE si anaweza kuja kukutumbua siku za usoni?