Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,831
- 3,063
Wakuu naomba msaada kwa wanaojua fukwe nzuri zinazopatikana ukanda wa kunduchi kuwe na misosi na vinywaji ila ziwe ni za free.
Weekend yangu leo nataka nikaimalizie huko. Maskani hakukaliki tanesco washafanya yao. Ahsanteni
Weekend yangu leo nataka nikaimalizie huko. Maskani hakukaliki tanesco washafanya yao. Ahsanteni