Msaada kwa Mimi Angel kurudi nyumbani

Msaada kwa Mimi Angel kurudi nyumbani

Thread closed maana naona kunawatu bado wanaakili za kitoto wanawaza utapeli hakuna mtu aliyehitaji pesa yako hapa wewe unaye andika ujinga tulihitaji msaada Wa lift tu kama ni kwenye IT au gari binafsi binti afike kwao full top na sio haya mambo yasiyo na msingi if you can't help ni vyema ukabaki kimya kuliko kujidhalishisha hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjomba kama umeweza taka gari ya 4M uwezi shindwa mpa 30000.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja niliweke sawa hii thread aliandika Angel huyo binti ila saivi ametika na mke wangu kwenda kanisani msaada anao uhitaji ninamna ya kusafiri na sivinginevyo Mimi nmemsaidia kumtoa hapo alipokuwa anaishi kama Mjumbe but anahitaji kurudi mbeya maana hata cm hana kabakiwa na line nadhani hapo mtakuwa mmeelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakyanani sielewi kabisaa naona maruweruwe, nahitaji hiyo laini ili na mimi niingie jf kupitia laini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za asubuhi waungwana Mimi ni binti Mwenye umri Wa miaka 20 kutoka Mbeya ila kwa sasa Niko Dar nilikuja kwajili ya kazi niliitwa na mama yangu Wa kambo nimepitia maisha ya unyanyasaji sana hivyo nmeamua kurudi nyumbani Mbeya na sina hela msaada ninaohitaji ni lift ya gari hadi mbeya au kama mtu anaweza nisaidia ticket au nipande hata IT maana niliyopitia hayaelezeki natamani kurudi Leo ama kesho hii Simu sio yangu ni ya Mjumbe maana nipo kwake kwa sasa Asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Nicheki inbox
 
Hawa ndio wale wa ile hela tuma kwenye Namba hii.
 
Huenda kweli hapo ulipo kuna binti mwenye tatizo lakini uandishi wako baada ya kutatua unaongezea tatizo ukiangalia hapa mjini pana mengi watu wanapigwa kila siku.

Cha kwanza wakati wa kuandika kwanini uliamua kuvaa uhusika kama wewe ndio binti? Ule mwandiko ni wako.

Mbeya ni kubwa kwa eneo usiifananishe kama dar hivyo ulitakiwa kufafanua, mtu anaweza kuwa anatokea ileje huko akapewa lift ya it ikamuacha uyole ni majanga nengine.

Title ya thread yako ingesimeka Anahitaji msaada wa kurudi mbeya, watu wangekutoa wewe, sasa Mara Angel kaandika yeye mwenyewe mara kaenda kanisani duuh

Wenga namba yake tukimsalimia ugonile akijibu tutajua tu kweli 'embombo jelipo'

Samahani, hivi wewe ni mjumbe wa chama gani? Swali hili halihusiani na Angel hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwako ni ubaruku Mimi ni mjumbe Wa AU
Huenda kweli hapo ulipo kuna binti mwenye tatizo lakini uandishi wako baada ya kutatua unaongezea tatizo ukiangalia hapa mjini pana mengi watu wanapigwa kila siku.

Cha kwanza wakati wa kuandika kwanini uliamua kuvaa uhusika kama wewe ndio binti? Ule mwandiko ni wako.

Mbeya ni kubwa kwa eneo usiifananishe kama dar hivyo ulitakiwa kufafanua, mtu anaweza kuwa anatokea ileje huko akapewa lift ya it ikamuacha uyole ni majanga nengine.

Title ya thread yako ingesimeka Anahitaji msaada wa kurudi mbeya, watu wangekutoa wewe, sasa Mara Angel kaandika yeye mwenyewe mara kaenda kanisani duuh

Wenga namba yake tukimsalimia ugonile akijibu tutajua tu kweli 'embombo jelipo'

Samahani, hivi wewe ni mjumbe wa chama gani? Swali hili halihusiani na Angel hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za asubuhi waungwana Mimi ni binti Mwenye umri Wa miaka 20 kutoka Mbeya ila kwa sasa Niko Dar nilikuja kwajili ya kazi niliitwa na mama yangu Wa kambo nimepitia maisha ya unyanyasaji sana hivyo nmeamua kurudi nyumbani Mbeya na sina hela msaada ninaohitaji ni lift ya gari hadi mbeya au kama mtu anaweza nisaidia ticket au nipande hata IT maana niliyopitia hayaelezeki natamani kurudi Leo ama kesho hii Simu sio yangu ni ya Mjumbe maana nipo kwake kwa sasa Asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mwandiko sio wa Angel, kaeni chonjo wakware

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseeee mkuu umesahau nyuzi zako za nyuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom