Coolant
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,259
- 2,209
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu huu uongo mtakatifu
Kweli Lily, yani natamani nije pm kwako tuyajenge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu huu uongo mtakatifu
Pm kumefungwa na funguo imepoteaKweli Lily, yani natamani nije pm kwako tuyajenge
Tuyajenge hapa hapaPm kumefungwa na funguo imepotea
Tuyajenge hapa hapa
mjumbe hana tatizo kbs mkuu,wewe tuTukiyajenga hapa mjumbe atatubomolea maana sina imani na huyu mjumbe
wasiwasi wako ni kuwa katikati ya ujenzi shetani anaweza kuja kuiba cement!?mjumbe hana tatizo kbs mkuu,wewe tu
wasiwasi wako ni kuwa katikati ya ujenzi shetani anaweza kuja kuiba cement!?
wasiwasi wako ni kuwa katikati ya ujenzi shetani anaweza kuja kuiba cement!?
hakuna huduma yoyote inayotolewa pm mkuu,wewe baki na funguo yako tu😄😄Ukisikia hodi pm ujue ni mimi kwasababu nna masta key
😂😂😂 ila wewe ni mvamizi kweliShetan atasema nimejenga kwenye hifadhi ya barabara
Hata mimi
Hata kwa 20 anaenda au akienda ubungo kwa polisi kule ndani akilia shida wanampandisha basi bure asubuhi,,Sasa I'd ni ya mjumbe pia?
Uliijuaje jf?
It mpaka Mbeya ni 35 au hata 30 unakwenda, mjumbe hana hiyo 30? .
Acheni masihara, mambo ya utapeli na umalaya tushayachoka mujue.
Hata kwa 20 anaenda au akienda ubungo kwa polisi kule ndani akilia shida wanampandisha basi bure asubuhi,,
Na makonda walivyo na uchu hatakosa kula njiani
Kingine ambacho huwa tunafanyaThread closed maana naona kunawatu bado wanaakili za kitoto wanawaza utapeli hakuna mtu aliyehitaji pesa yako hapa wewe unaye andika ujinga tulihitaji msaada Wa lift tu kama ni kwenye IT au gari binafsi binti afike kwao full top na sio haya mambo yasiyo na msingi if you can't help ni vyema ukabaki kimya kuliko kujidhalishisha hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba namba ya mjumbeHabari za asubuhi waungwana Mimi ni binti Mwenye umri Wa miaka 20 kutoka Mbeya ila kwa sasa Niko Dar nilikuja kwajili ya kazi niliitwa na mama yangu Wa kambo nimepitia maisha ya unyanyasaji sana hivyo nmeamua kurudi nyumbani Mbeya na sina hela msaada ninaohitaji ni lift ya gari hadi mbeya au kama mtu anaweza nisaidia ticket au nipande hata IT maana niliyopitia hayaelezeki natamani kurudi Leo ama kesho hii Simu sio yangu ni ya Mjumbe maana nipo kwake kwa sasa Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu Mungu wangu ilikuwa kidogo tu nitume pesa
[emoji23][emoji23][emoji23] ila wewe ni mvamizi kweli
Hii Simu ni yangu Mimi hapa Mjumbe binti ameondoka na wife kwenda church mda si mrefu umeshindwa kuelewa topic Mkuu yeye a naomba asaidiwe lift au kama kunamtu anaenda huko Mimi nmempa msaada Wa kumuondoa hapo alipokuwa anakaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini usingeandika kuwa unamuombea msaada bali umempa aandike kama vile yeye ndie owner wa hii ID? Ina maana mjumbe umeshindwa kutumia akili ndogo tu ya kumsemea binti mpaka ukampa simu yako aingie JF mwenyewe aandike??Ngoja niliweke sawa hii thread aliandika Angel huyo binti ila saivi ametika na mke wangu kwenda kanisani msaada anao uhitaji ninamna ya kusafiri na sivinginevyo Mimi nmemsaidia kumtoa hapo alipokuwa anaishi kama Mjumbe but anahitaji kurudi mbeya maana hata cm hana kabakiwa na line nadhani hapo mtakuwa mmeelewa
Sent using Jamii Forums mobile app