Msaada kwa Mimi Angel kurudi nyumbani

Msaada kwa Mimi Angel kurudi nyumbani

Ngoja niliweke sawa hii thread aliandika Angel huyo binti ila saivi ametika na mke wangu kwenda kanisani msaada anao uhitaji ninamna ya kusafiri na sivinginevyo Mimi nmemsaidia kumtoa hapo alipokuwa anaishi kama Mjumbe but anahitaji kurudi mbeya maana hata cm hana kabakiwa na line nadhani hapo mtakuwa mmeelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjumbe wa mtaa gani hapa Dar? Tutafute namna ya kufika hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja niliweke sawa hii thread aliandika Angel huyo binti ila saivi ametika na mke wangu kwenda kanisani msaada anao uhitaji ninamna ya kusafiri na sivinginevyo Mimi nmemsaidia kumtoa hapo alipokuwa anaishi kama Mjumbe but anahitaji kurudi mbeya maana hata cm hana kabakiwa na line nadhani hapo mtakuwa mmeelewa

Sent using Jamii Forums mobile app

Hebu acha kumsingizia huyo binti kuwa ndo aliandika Angel

Kwa hiyo uandishi wa Angel uko sambamba kabisa?
 
Habari za asubuhi waungwana Mimi ni binti Mwenye umri Wa miaka 20 kutoka Mbeya ila kwa sasa Niko Dar nilikuja kwajili ya kazi niliitwa na mama yangu Wa kambo nimepitia maisha ya unyanyasaji sana hivyo nmeamua kurudi nyumbani Mbeya na sina hela msaada ninaohitaji ni lift ya gari hadi mbeya au kama mtu anaweza nisaidia ticket au nipande hata IT maana niliyopitia hayaelezeki natamani kurudi Leo ama kesho hii Simu sio yangu ni ya Mjumbe maana nipo kwake kwa sasa Asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app

Tapeli wewe. Kwa hili hujajipanga.
 
Thread closed maana naona kunawatu bado wanaakili za kitoto wanawaza utapeli hakuna mtu aliyehitaji pesa yako hapa wewe unaye andika ujinga tulihitaji msaada Wa lift tu kama ni kwenye IT au gari binafsi binti afike kwao full top na sio haya mambo yasiyo na msingi if you can't help ni vyema ukabaki kimya kuliko kujidhalishisha hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za asubuhi waungwana Mimi ni binti Mwenye umri Wa miaka 20 kutoka Mbeya ila kwa sasa Niko Dar nilikuja kwajili ya kazi niliitwa na mama yangu Wa kambo nimepitia maisha ya unyanyasaji sana hivyo nmeamua kurudi nyumbani Mbeya na sina hela msaada ninaohitaji ni lift ya gari hadi mbeya au kama mtu anaweza nisaidia ticket au nipande hata IT maana niliyopitia hayaelezeki natamani kurudi Leo ama kesho hii Simu sio yangu ni ya Mjumbe maana nipo kwake kwa sasa Asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Mcheki jamaa humu anaitwa aisee. Anaswag kama zako Ila ye alijifanya ametoka Kigoma wewe unaenda Mbeya. Mnaweza kuyajenga mkawanasa wengi.
 
Back
Top Bottom