Msaada kwa Mimi Angel kurudi nyumbani

Msaada kwa Mimi Angel kurudi nyumbani

Habari za asubuhi waungwana Mimi ni binti Mwenye umri Wa miaka 20 kutoka Mbeya ila kwa sasa Niko Dar nilikuja kwajili ya kazi niliitwa na mama yangu Wa kambo nimepitia maisha ya unyanyasaji sana hivyo nmeamua kurudi nyumbani Mbeya na sina hela msaada ninaohitaji ni lift ya gari hadi mbeya au kama mtu anaweza nisaidia ticket au nipande hata IT maana niliyopitia hayaelezeki natamani kurudi Leo ama kesho hii Simu sio yangu ni ya Mjumbe maana nipo kwake kwa sasa Asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, Huyu ni binti kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana binti ila mkeo hajambo??View attachment 1018541

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Simu ni yangu Mimi hapa Mjumbe binti ameondoka na wife kwenda church mda si mrefu umeshindwa kuelewa topic Mkuu yeye a naomba asaidiwe lift au kama kunamtu anaenda huko Mimi nmempa msaada Wa kumuondoa hapo alipokuwa anakaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Story yako ya mwanzo na hii ya mwisho haviendani.
Mambundamu kwenye post yako ya kwanza hukusema wewe ni mjumbe na unamtafutia binti msaada.
Ulijidai wewe ni binti..baada ya kuumbuliwa ndio unabadili story.
Acha hizi mambo..
 
Nahisi kuna utapeli hapa. Ukitaka usaidiwe weka namba yako. Tukutane sehemu unipe kimoja nijiridhishe kwamba wewe kweli ni mwanamke ndio nikupe tiketi na hela ya kula njiani.
Otherwise tutakua tunachangia midume
 
Sitaiacha JF kamwe maana si kwa uhondo huu. Yaani kila taarifa zipo, udangayia kushoto wadau wanakuumbulia kulia.
 
Hii Simu ni yangu Mimi hapa Mjumbe binti ameondoka na wife kwenda church mda si mrefu umeshindwa kuelewa topic Mkuu yeye a naomba asaidiwe lift au kama kunamtu anaenda huko Mimi nmempa msaada Wa kumuondoa hapo alipokuwa anakaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unauwezo wa kununua IST huwezi kushindwa kumpa nauli ya kuludi kwao mbeya,nyinyi ndio mnasababisha wenye matatizo serious wasipate msaada,sababu ya utapeli na upumbavu wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sahv ni ngumu kumuamn mtu hasa huku mitandaoni cha kufanya we changisha huko huko mtaani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom