Msaada kutokomeza wezi?

Msaada kutokomeza wezi?

taekwondo

Senior Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
131
Reaction score
244
Habari za leo wanajamvi?

Naleta kwenu mada hii nikiwa na majonzi baada ya leo alfajiri kupigwa flat yangu Hisense 55inch.

Wezi wamefungua lock za alminium window na kupindisha nondo kisha wakazama ndani na kufanya yao.

Kiukweli hii hali inaumiza sana.

Naombeni ushauri wa security gani ya kuweka kuwazuia hawa watu.
 
Mimi nataka vile vikamera vidogo maana wanakijiji wamenigeuza mimi mfugaji wao .
CCTV camera hazisaidii sana maana wezi wanajiandaa na kuficha sura zao. Hata electric fence kuna namna watu wanapita bila kuzigusa.

Mbwa wanasaidia sana ingawa nao wanaweza kupigwa sumu dk 5 tu chali. Mie niliibiwa gari nina mbwa, camera, electric fence, ukuta kozi 11, geti la umeme na alarm ila wajinga walifanya yao na mbwa wote wanne walikufa kwa sumu.

Wezi wakipania hawakukosi
 
Habari za leo wanajamvi?
Naleta kwenu mada hii nikiwa na majonzi baada ya leo alfajiri kupigwa flat yangu Hisense 55inch.
Wezi wamefungua lock za alminium window na kupindisha nondo kisha wakazama ndani na kufanya yao.Kiukweli hii hali inaumiza sana..Naombeni ushauri wa security gani ya kuweka kuwazuia hawa watu.
Huu wizi umerudi kwa kasi, last week walibeba nchi 70 kwangu nakurupuka kuuliza uliza na jirani yangu nae kapigwa usiku huo huo. Sijui wanatumia dawa gani washenzi hawa.
 
Back
Top Bottom