taekwondo
Senior Member
- Oct 6, 2016
- 131
- 244
Habari za leo wanajamvi?
Naleta kwenu mada hii nikiwa na majonzi baada ya leo alfajiri kupigwa flat yangu Hisense 55inch.
Wezi wamefungua lock za alminium window na kupindisha nondo kisha wakazama ndani na kufanya yao.
Kiukweli hii hali inaumiza sana.
Naombeni ushauri wa security gani ya kuweka kuwazuia hawa watu.
Naleta kwenu mada hii nikiwa na majonzi baada ya leo alfajiri kupigwa flat yangu Hisense 55inch.
Wezi wamefungua lock za alminium window na kupindisha nondo kisha wakazama ndani na kufanya yao.
Kiukweli hii hali inaumiza sana.
Naombeni ushauri wa security gani ya kuweka kuwazuia hawa watu.