Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,186
- 3,421
- Thread starter
- #21
Umesomea DUCE? Wewe ni mwalimu wa somo gani?
English & History
Umesomea DUCE? Wewe ni mwalimu wa somo gani?
English & History
Nikiwa kama katibu wa walimu hapa JF nasema umetuangusha sana
Kaa hivyo hivyo na mawazo yako yakizamani
OK..nikajua wa Kiswahili.
Nikiwa kama mdau wa story uliyoanzisha kule halafu leo hujaweka mwendelezo nasema, UMETUANGUSHA SANA!
Tafuta hela zako binafsi, maisha yako yatapokuwa safi unavyohic anza sasa kuchumbia..
kwani ufukara wa familia yako na ndoa yenu unahisi vitarelate
Hey my bro amka wacha kuogopa mapenzi hayana macho background tupa kule inaezekana huyo ndo atakuwa daraja ntafurahi ukija leta jibu kuwa umeweza na umekuwa baba
Si lazima upewe kwa kutafuta anaweza akawa huyo ndo umepangiwa ili upate kupitia kwake tizama nia yake na hitajio lako huwenda upo sehem sahihi kwa taaluma yako hutashindwa kumpa test ndogo ndogo za kupima uelewa wake juu ya maisha ili asije akawa anafikiri na kwako atakuta kama vya kwao
Unapenda umaskini???
mungu ndo kakupangia utoke kimtindo huo sasa unazubaa nini
Inawezekana ikawa kweli, ila mimi ufikiria nitamwaibisha kwa wazazi wake baada ya kujua background yangu.
Inawezekana ikawa kweli, ila mimi ufikiria nitamwaibisha kwa wazazi wake baada ya kujua background yangu.