Msaada: Kutegua Mume toka mapenzi ya kichawi (Limbwata)

Msaada: Kutegua Mume toka mapenzi ya kichawi (Limbwata)

Alilishwa nyama iliyopikiwa kwenye jiko maalum,
lazima ataapishwe. Vinginevyo maombi kama mnayo Imani.
 
wee naye unaamini ushirikina...uchawi wa mapenzi upo kiunoni mwako na kama hautoshi upo kwenye ulimi wako.....jipange wenzako watakupanga ohohhhhh.

Wacha nusubiri kupangwa. Nimeshindwa kujipanga mie
 
hujafikwa ndiyo maana unasema aidha wewe ndiye√√
Nakwambia hivyo cause usije ukapata umpendaye ukadhani kuna kuloga mtu Kwa hivyo, mwanaume akimpata mwanamke anayejua udhaifu wake atamsikiliza tu bila kulogwa, Nyie endeleeni na yenu na kama unataka kuloga kaloge tu, Ila huyo ndugu yenu anaroho mbaya tu au kawachoka anasimsingizia Mke wake, wekeni heshima msimjali muone.
 
kati ya mke hasiyebughudiwa na ndugu Wa mume, huyu anaweza Shika namba moja, kila Mtu Upande wa Mume Hana Kidomo Na ndoa Yao Ila Hali Ilipofikia Sasa Ni Mbaya, Kwani Anadikiri Mpaka Kumtisha Mumewe Kuwa Atamuua endapo Hatafanya Kile Anachokitaka
Hakuna Mume Anayekubali Mkewe Kuchukuliwa Na Wengine Naye Akajua
Hapo Kwenye Kujigmba Kuwa Atamuua Ndugu Yetu , Pameniumiza Sana Nikaona Hili Suala Lisifike Mbali!!

Anamtisha mume kuwa atamuua?? Hili si ni kosa la kuwahusisha polisi? Au hayo maneno (matishio) hamkuyarekodi? Na ushahidi hamna?

Kuhusu kuchukuliwa na wengine hapo sijapaelewa.... mna ushahidi mkononi? Je mkiongea na ndugu yenu anasemaje?
 
Khaa!!Nyie badala ya kutumia akili zenu kutafuta mali zenu mnashinda kwa waganga kutaka mpewe mali za bure za babu/baba/mjomba/kaka yenu. Huo wala si uzezeta ni penzi tu limekolea. Hivi mmewahi kujiuliza anachokipata kutoka kwa mkewe wakiwa faragha? Muacheni ainjoi mali zake. :msela:
 
Namfahamu jamaa mmoja, yeye akimuona mke wake yaan anatetemeka kabisa utadhan mwanafunzi kamuona mwalimu mkali.Kama alikuwa anaongea sauti mpaka inaanza kutoa kigugumizi, unamuona kabisa moyo wake unaenda mbio kwa homu utafikiri kaona Simba, maisha haya!!.Mke akikohoa tu jamaa anaitikia naam, akiambiwa fabya haraka sana nenda dukani kachukue kitu fulani walai jamaa anakimbia mbio kama msukule live.Watu wana dhambi mbaya sana.


Mke mpaka anapeleka mpaka wanaume wake nyumbani na akiwa na hao wanaume anamtuma jamaa ebu kamnunulie mgeni wangu soda, na jamaa anaenda, ukikutana nae ukamwambia ebu tupige story kidogo atakwambia aisee nitachelewa home, ngoja nikimbie kwanza wife atachukia maana kanituma nimpelekee mgeni wake soda.yaan wanawake wengine ni nuksi.


Jamaa kabla alikuwa mtu makini sana, lakin ata kiuchumi sasa anaporomoka tu maana ni kama ana kitu ndani kafungwa, sio yule tena.Hivyo uliposema hii walai naelewa unamaanisha nin.
 
cha msingi hapo ni kuwa na imani halafu wale waliowapa siri muwafate muongee nao vizur wawaonyeshe huyo mganga aliyefanya hivyo nanyi mkamkomboe kwa huyohuyo mganga maana waganga huwa vigeugeu
 
Kama mama yake yupo dawa imepatikana,mama achukue mkojo wake kidogo amwekee kijana wake kwenye chai ndo imetoka hivo,limbwata kwisha kazi na jamaa atarudi ktk hali ya kawaida...jaribuni mkishindwa mje mnipige
 
kama mama yake yupo dawa imepatikana,mama achukue mkojo wake kidogo amwekee kijana wake kwenye chai ndo imetoka hivo,limbwata kwisha kazi na jamaa atarudi ktk hali ya kawaida...jaribuni mkishindwa mje mnipige

Hii inafanya kazi hii?na kwanin ni mkojo wa mama tu?ebu dadafua.
 
Kama mume karidhika nyie kinawauma nini?????

Mume anapewa kila mahaba ya kumlegeza nyie mnasema limbwata,


Leo nimeamini ndugu wa mume mna gubu loh!!!!!!!.
 
Back
Top Bottom