Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,771
- 27,504
Kuoa kaoa yeye kero mpate nyie muacheni kwani lazima yeye ndio asaidie
Kauli inaonyesha wewe ni MTU WA aina gani?/ yapo mambo mengine siyo kabisa tuwe na huruma binadamu
Kuoa kaoa yeye kero mpate nyie muacheni kwani lazima yeye ndio asaidie
Huku kwetu Njombe waganga wapo unachopaswa kufanya ni kuiba chupi ya huyo ndugu yako na kumpelekea mganga na ikishwa fanywa mambo unamrudishia kila kitu kitakuwa sawa eti.
anaingia masjid au church?imani ya huyu mume nina mashaka nayo kwakweli!
Nimsaidieje ndugu?
ahahahahaa,,....kweli maajabu hayawezi kuisha duniani.
hili nalo ni ajabu kati ya maajabu mengi ya duniani. hivi nyie ndugu wa bwana haruc mnaona tabu sana mtu kumsikiliza mkewe na kutawaliwa na mkewe?...au mulitaka ndugu yenu atawaliwe na nyumba ndogo ndio mujuwe mkewe hajui kumtuliza ndugu yenu?....
kwa ushauri wangu...nyie muacheni yuko mikono safi ya mkewe...ingekuwa ni nyumba ndogo jamaa katelekeza mke na watoto ningewapa namba ya mtaalamu wa tiba asili na jamaa yenu angepona..ila haya ya ntu na ntuwe mie naona shida somoooo.
basi nenda muhimbili mtafute dr. Stewart mbelwa.huyu haingii kokote mkuu
Mtegemea cha ndugu hufa masikini, jaribuni kuhangaika na yenu na huo uchawi munaouona utapotea wenyewe but inaonekana wazi mnaomfatilia wote nyie niwazembe hamtaki kujishughulisha muringie kazi za mikono yenu naaamini hamtaona uchawi.
usiombe yakufike hayomtegemea cha ndugu hufa masikini, jaribuni kuhangaika na yenu na huo uchawi munaouona utapotea wenyewe but inaonekana wazi mnaomfatilia wote nyie niwazembe hamtaki kujishughulisha muringie kazi za mikono yenu naaamini hamtaona uchawi.
nai Kasema Hayo Usemayo, Hakuna Anayependa kumpoteza Ndugu Yake Hata Kidogo
Mke kumroga Mume hasimjue mtoto Wake Na Mtoto Hasiwe na mapenzi kwa mume na ndugu wa mume we unaona sawa?
Hujui wewe
nenda kigoma kibondo kijiji kinaitwa kumsenga mpakani na burundi au aende kasulu maeneo ya titye au manyovu ,nai kasema hayo usemayo, hakuna anayependa kumpoteza ndugu yake hata kidogo
mke kumroga mume hasimjue mtoto wake na mtoto hasiwe na mapenzi kwa mume na ndugu wa mume we unaona sawa?
Hujui wewe
hujafikwa ndiyo maana unasema aidha wewe ndiye√√aah wapi hakuna kitu kama hicho huyo mwanaume hataki yeye kutoa hizo huduma ndo maana munaona hivyo hebu achaneni naye musaidie huyo mtoto muone kama mtaona hizo dawa huyo anaroho mbaya tu na wala siyo uchawi.
Hebu hizo no za mtaalam nipe nataka nimlimbwate mtu
ahahahahaa,,....kweli maajabu hayawezi kuisha duniani.
hili nalo ni ajabu kati ya maajabu mengi ya duniani. hivi nyie ndugu wa bwana haruc mnaona tabu sana mtu kumsikiliza mkewe na kutawaliwa na mkewe?...au mulitaka ndugu yenu atawaliwe na nyumba ndogo ndio mujuwe mkewe hajui kumtuliza ndugu yenu?....
kwa ushauri wangu...nyie muacheni yuko mikono safi ya mkewe...ingekuwa ni nyumba ndogo jamaa katelekeza mke na watoto ningewapa namba ya mtaalamu wa tiba asili na jamaa yenu angepona..ila haya ya ntu na ntuwe mie naona shida somoooo.
wee naye unaamini ushirikina...uchawi wa mapenzi upo kiunoni mwako na kama hautoshi upo kwenye ulimi wako.....jipange wenzako watakupanga ohohhhhh.