Tena maghorofa kabisahivi mmewahi kujenga nyie?
Tena maghorofa kabisahivi mmewahi kujenga nyie?
Naona kila mtu kaserereka kwa jinsi anavyo weza.
Ila kitaalamu na kwa kufwata hii document hapa chini tofali 45 au 60 kwa mfuko mmoja wa cement inatia shaka kama kweli unajali ubora.View attachment 1637334
NB: Naona attachment inasumbua, isipofunguka google "1 cement bag blocks simba cement" utaletewa link za simbacement fungua ujisomee.
Fungua link ya kwanza.
View attachment 1637341
Ni kweli mkuu. Wauza tofali wanafyatua 60 na zaidi hapo kwenye 50 umewapendelea sana.Huu ndo ukweli, nilifyatua tofali zangu 40 kwa mfuko na zilikuwa juu ya kiwango.... za mtaani zote ni 50 na zinatumika kila siku hatuoni hiki wanachoita kupukutika.
Hayo ni mawazo ya mtu asiyewahi kujenga, na ndiyo chanzo cha kujipa hofu.
Haya ndio walitaka kumletea Magufuli wakati wa kujenga bwawa la Nyerere. Ulichosema ni kweli tupu hakuna kitu hapo. Water should be clean for what?Achana na standards za kiwanda wewe, that’s way too perfect... eti water should be clean, sand should be dry!!
Uliona wapi?
Hapa tunaongea uhalisia huku saiti na sio kwenye makaratasi.
Tena maghorofa kabisa
Kama ulikuwepo vile... yaani tulikuwa tunapiga tofali 30 kwa mfuko ngoma inapanda tuu bila wasiwasi...hapo foreman ananiambia mzee hili ghorofa kwa tofali hizi mbona mpaka wajukuuUlikuwa kibarua, saidia fundi!
Unafahamu kuna nyumba zimejengwa na tofali 50+ kutoka kwenye mfuko mmoja wa cement na ni imara na hazijawahi kuleta shida kwa zaidi ya miaka 50 kwenye nyumba?Kama ulikuwepo vile...yaani tulikuwa tunapiga tofali 30 kwa mfuko ngoma inapanda tuu bila wasiwasi...hapo foreman ananiambia mzee hili ghorofa kwa tofali hizi mbona mpaka wajukuu
Mie hizo sizijui aisee mie najua hizi za mfuko mmoja tofali 30unafaham kuna nyumba zimejengwa na tofali 50+ kutoka kwenye mfuko mmoja wa cement na ni imara na hazijawahi kuleta shida kwa zaidi ya miaka 50 kwenye nyumba?
acheni kukariri , tafuteni maarifa
Rejea post #11
Kwa hiyo huo mchanganuo wa hiyo post una save ya 2m?
Kumbe hujui badala yake umekariri, sasa mimi nakushauri tafuta maarifaMie hizo sizijui aisee mie najua hizi za mfuko mmoja tofali 30
Haya ndio walitaka kumletea Magufuli wakati wa kujenga bwawa la Nyerere. Ulichosema ni kweli tupu hakuna kitu hapo. Water should be clean for what?
Ni kutisha watu tu wakati vitu vinawezekana
Achana na standards za kiwanda wewe,
Hapa tunaongea uhalisia huku saiti na sio kwenye makaratasi.
Standard ni 40 mkuu.Mkuu tofali 45 kwa mfuko 1 wa cement ni kawaida na matofali yanatoka imara
Ndio na huwa yanakuwa imara tu
Wee bwana mfuko tofali 45 hapo unajenga mabati juu ya matofali lakini sio nyumbakumbe hujui badala yake umekariri, sasa mimi nakushauri tafuta maarifa
Magufuli huyo huyo ndiye aliyeingiza siasa na kuishia kupata hosteli zenye "expansion joint" pale udsm (jalalani).
Soma vizuri na uelewe nilichoandika.'Expansion joint' ilisababishwa na ratio ya tofali?
Mjomba umeshawahi kujenga?Tofali 45 kwa mfuko? Si mchanga mtupu tu huo jamani....
Tofali 19 kwa mfuko!!! Ndio dili.