Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,699
- 40,900
Za inches ngapi?Tofali 45 kwa mfuko? Si mchanga mtupu tu huo jamani.
Tofali 19 kwa mfuko!!! Ndio dili.
Za inches ngapi?Tofali 45 kwa mfuko? Si mchanga mtupu tu huo jamani.
Tofali 19 kwa mfuko!!! Ndio dili.
Imebambaa mkuuWatu mnabwabwaja tu ili muonekane wazee wa viwango, ni aidha mnaishi kwa shemeji hamjui kitu au lengo lenu ni kukatisha tamaa wenzenu...
We jamaa mfuko mmoja tofali 45? Hizo tofali zitakuwa michnga mitupuUpo wapi mkuu?
Kila mfuko mmoja wa cement toa tofali 45...
Uko sahihi kabisa na hiyo kwa cement namba 42.5 angalau utoe tofali 35 zenye ubora wa hali ya juu kabisa ila kwa sement namba 32.5 angalau tofali 25 hapo utapata tofali zenye ubora wa hali ya juu na zisizo pukutika tena hasa kama unajenga nyumba yako binafsi usijibailie ili upate nyumba imara kabisaNi vema tujifunze kufuata viwango (sisi sio wa kwanza kufyatua tofali, walishafyatuaga wenzetu huko miaka ya nyuma) ndio maana ikaonekana ni vema kuweka viwango katika kila kitu kinachofanyika...
sawa mzee wa Ujenzi wa PDFWe jamaa mfuko mmoja tofali 45? Hizo tofali zitakuwa michnga mitupu
Mkuu tofali 45 kwa mfuko? Si zita pukutika?Upo wapi mkuu?
Kila mfuko mmoja wa cement toa tofali 45...
hapanaMkuu tofali 45 kwa mfuko? Si zita pukutika?
Mende ndio nini? UfafanuziSure, ni kweli mfuko wa cement unatoa tofali hadi 50 na zinakuwa imara, cha msingi ni uchanganyaji mzuri na kuimwagilia vizuri hata wiki kama una maji ya kutosha!
Kupata tofali 4800 inabidi anunue mifuko 107 ya cement kwa idadi ya 45 kwa kila mfuko.
Mende moja ya 14.5 - 16m3 inachapa mifuko 21 hadi 24 ,Tukiweka Average ya mifuko 22 kwa mende hivyo itakulazimu kununua Mende 5.....Sio kila mchanga unafaa kwa tofali....Mchanga unatakiwa uwe laini kama mpana inabidi waumix na udongo kama ule wa kifusi.
Kukodisha mashine ni elfu 5 kwa siku na gharama za ufundi ni elfu 5 kwa mfuko, mafundi wakiwa watatu wanaweza kupiga mifuko 10 kwa siku, kwahiyo kwa idadi ya mifuko 107 wataimaliza kwa siku 11.
Gharama:-
1. Cement 16,000 x 107 = 1,712,000/=
2. Mchanga Mende 5 = 200,000 x 5 = 1,000,000/=
3. Gharama za mashine = 11 x 5,000/= 55,000/=
4. Gharama za ufundi = 5,000/= x 107 = 535,000/=
Kwakuwa utamwagilia mwenyewe na maji unayo uliyochimba bwawa(ya mvua) basi hatutajumlisha gharama zake.
Grand Total = 3,302,000/= Hapo utaokoa Tsh 1,500,000/= kama utanunua kwa @ Tsh 1000 kwa kila tofali hadi Site.
Mende ndio nini? Ufafanuzi
Shukrani kwa kunielewesha
Naombeni ujazo wa haya malori kwa anayejua tafadhali:1: Mfuko mmoja 42 ..tofali 40 (standard)
2: Mfuko mmoja fundi ni 6,000 (elfu sita)
3: Kwa siku fundi anapiga mifuko 10
4: Mchanga mende ni 220,000-240,000....mende mbili zinapiga tofali hizo na kubaki labda wasijaze vizuri
5: Tofali mchawi maji, power to you
Mende kuna yenye 17m3 na 20m3Naombeni ujazo wa haya malori kwa anayejua tafadhali:
Mende, Mbaula, Faw, Fuso, Bajaji
Hii cc Mahondaw unakua ushaiset mkuu, ukishakoment inakuja automatically
Hizi mnazonunua huwa wanafyatua hafi50 mpaka 60mda flaniMfuko mmoja tofalli 45?
Tofali 45 kwa mfuko? Si mchanga mtupu tu huo jamani.
Tofali 19 kwa mfuko!!! Ndio dili.
Hivi mkuu tofali moja hutumia mchanga chepe ngapi na cement chepe ngapi? Au kwa kutumia vile vindoo vidogo unapima kiasi gani?Kwa gari ya 4.7qm kila trip mifuko7, na kila mfuko unatoa tofali 40 za nchi5
Chukua 40tofali gawanya kwa 50kg utapata jibu.Hivi mkuu tofali moja hutumia mchanga chepe ngapi na cement chepe ngapi? Au kwa kutumia vile vindoo vidogo unapima kiasi gani?
hapa hata mimi nimeshangaa na hiyo cement ya kutoa hizo tofauli 45 ni cement gani? maana hata 42.5 yenyewe ukitoa zaid ya tofali 35 tu ujue hizo tofali hata kuku akidonoa anaingia ndani.Duh hatari mfuko mmoja tofali 45...hilo tofali au mchanga