Yelawolf49
Member
- Sep 20, 2017
- 73
- 65
Wasalaam ndugu zangu.
Hali iliyonikuta ni kuwa nlikua na biashara ndogo nliachiwa uendeshwaji wake kwangu na shule ikawa changamoto ikafa nikahangaika na vitu vingine sasa nataka kufungua biashara mpya napata taarifa kwa watu kuwa itabidi nilipie kodi miaka 4 nlokua nimefunga ile biashara. Je ni kweli? Na hizo penalty zikoje maana nimeshindwa kwenda hata TRA.
Asanteni
Hali iliyonikuta ni kuwa nlikua na biashara ndogo nliachiwa uendeshwaji wake kwangu na shule ikawa changamoto ikafa nikahangaika na vitu vingine sasa nataka kufungua biashara mpya napata taarifa kwa watu kuwa itabidi nilipie kodi miaka 4 nlokua nimefunga ile biashara. Je ni kweli? Na hizo penalty zikoje maana nimeshindwa kwenda hata TRA.
Asanteni