Wanachokifanya TRA kwenye biashara ya mafuta ni kufilisi watu kwa makusudi

DeepPond

JF-Expert Member
Nov 18, 2017
40,454
99,086
Wakuu,

Kila kitu kilikua sawa mpk pale Mwezi 9 TRA walipopita kukagua mashine zao za efilling zinavofanya kazi na wakaelezwa khs usumbufu wa mashine zao za efilling kutoa mahesabu kwa wakati.

Ilipofika mwisho wa mwezi ripoti ya mwezi ikachelewa kutoka kwa Zaid ya siku kadhaa mbele,Ila Ilipotoka TU Kodi yao ikalipwa kwa wakati. Malalamiko ya ucheleweshaji huu wa ripoti walifikishiwa TRA na wao wakasema Haina shida endelea na KAZI watakuja kukagua shida nn. Ila hawakuja mpk mwezi ukaisha.

Ilipofika Mwezi wa 10 ripoti ya mwezi pia ikachelewa kutoka, ikabidi kuwafata wakasema itakua mfumo unasumbua, tuvute subira. Ripoti ilipotoka TU mda huo huo ikiwa mchakato wa kuilipa uko mbioni,Simu ikapigwa na TRA kufahamisha kua mfumo ushakaa sawa Kodi Yao ikalipwe.

Nimekwenda kulipia naambiwa kwenye mfumo kuna Deni la penalty ya ucheleweshaji kwa mwezi uliopita. Baada ya kuwafafanulia sana wakasema wameelewa niachane na hiyo penalty, nilipie TU kodi ya mwezi huu. Kodi yao ikalipwa vizuri tu.

Ilipofika Mwezi wa 11, kwa zaidi ya wiki 2 mashine ikawa inasumbua sana kutoa risiti. TRA walipotaarifiwa wakaja na kugusa gusa Kisha wakasema watarudi endelea kwanza kutoa huduma bila mashine tunalishughulikia, hawakurudi wakapotea mazima. Biashara ikaendelea bila mashine kutoa risiti.

Wamekuja kurudi wiki moja kabla mwezi haujaisha wakarekebisha na mashine ikaendelea kuchapa kazi mpk mwisho wa mwezi.

Mwisho wa mwezi umefika mashine ikawa haitoi mahesabu ya kodi. Baada ya kuwafata,wakasema nivute subira mfumo unalifanyia kazi, siku kadhaa mbele ripoti ikatoka na kodi Yao ikalipwa bila tatizo.

Mwezi wa 12 umefika mashine ikaanza kusumbua tena, TRA wameitwa wamegusa gusa Kisha wakasema watarudi,hawakurudi. Biashara ikawa inafanyika bila kutoa risiti. Ghafla unashangaa wanakuja kukukamata unauza mafuta bila kutoa risiti.

Unawaambia Mbona taarifa mnayo, wanasema barua iko wapi. unawaambia kua walikuja wenyewe wakaangalia wakasema watarudi,hawakutokea na barua hawakuacha. Wanakwambia ulifanya jitihada gani kuifatilia barua yako, Unabaki mdomo wazi maana walipokuacha hawakukawia taarifa kua inatakiwa barua.

Hujakaa sawa unaitwa na kukabidhiwa barua ya faini, unalalamika sana ila hakuna anaekusikiliza. Wanakwambia faini ni lazima kwanza ilipwe ndo mazungumzo mengine yataendelea tena ndani ya deadline ya siku chache sana walizo amua wao ukailipe kwa kutumia control namba uliyopewa, utajua mwenyewe pesa utapata wapi.

Unaamua kufatilia suala lako ngazi za juu uone watakusaidiaje maana faini Ni kubwa mno inakata mtaji, gafla unaskia na account zako zimezuiliwa, na sio account ya biashara ya mafuta TU, Bali Hadi account za binafs na za biashara nyngn zisizohusu mafuta nazo zimezuiliwa

Unawafata kuwauliza imekuaje Tena, wanakwambia umekaidi kulipa penaty uliyoandikiwa, pia una mlolongo wa kukaidi kulipa penalty kwa miezi ya nyuma. Wanaanza kukusomea Hadi zile penalty za ucheleweshaji wa mahesabu ya VAT ya mwisho wa mwezi Kwa miezi iliyopita waliyokuruhusu wao wenyewe uendelee na kazi.

Miezi ambayo wao wenyewe wanajua mashine zao ndo zilikua na shida ya mfumo na ulifuatilia Sana na walikupa majibu mepesi kua "Tunalifanyia kazi", na hata zile penalty baadhi ulisamehewa kwa mdomo, ila kumbe kwenye mfumo hawazikuondoa na Sasa wanazidai kwa Nguvu zote.

Yaan imefikia hatua pesa yao ya Kodi unayo ila namna ya kuwalipa inashindikana kwasababu ya mfumo wao mbovu wa efilling hautoi mahesabu kwa wakati.

Hivi hii nchi namna hii inaelekea wapi? Inafikia hatua mpk unaingiwa na mawazo mabaya kwamba Huenda mfumo wa efilling unahujumiwa kusudi ili mradi Watu wapigwe penalty za lazima pesa ipatikane.

Najua mawaziri, wabunge na Viongozi mbalimbali wa serikali wamo humu jf, plz Naombeni mlishughulikie hili bila kuangalia ni Nani kalalamika.

Sio vizur kushughulikia matatizo ya watu maarufu TU kisa wamepeleka malalamiko Yao kwenye media, ndo wanaitwa in person kwenye meza ya majadiliano.

Wajasiliamali wengi TU uku kwenye mafuta tunateseka sana hasa mwezi huu decemba na malalamiko yetu mengi tumeyafikisha Sana TRA ila hayasikilizwi Wala hatuitwi meza ya majadiliano. Tunaambiwa TU straght tulipe faini Ndo majadiliano yataendelea.

Serikali mnachotaka Nini, au mnataka mskie Watu wamejinyonga na kufa kisa wamefilisika. Maana kushikilia account za mtu Hadi zisizohusu mafuta Ni kutengeneza frustration Hadi kwenye biashara nyingine na kwenye mabenki tuna madeni lukuki, mikopo inasubiri marejesho.

Naombeni serikali mtambue kuwa kwenye mafuta Hakuna anayekwepa kulipa Kodi yenu , tatizo mazingira mliyoweka ya ulipaji Kodi yanatukwamisha Sana wajasiliamali.

NAWASILISHA tafadhali.
 
Wakuu,
Kila kitu kilikua sawa mpk pale Mwezi 9 TRA walipopita kukagua mashine zao za efilling zinavofanya kazi na wakaelezwa khs usumbufu wa mashine zao za efilling kutoa mahesabu kwa wakati

Ilipofika mwisho wa mwezi ripoti ya mwezi ikachelewa kutoka kwa Zaid ya siku kadhaa mbele,Ila Ilipotoka TU Kodi yao ikalipwa kwa wakati. Malalamiko ya ucheleweshaji huu wa ripoti walifikishiwa TRA na wao wakasema Haina shida endelea na KAZI watakuja kukagua shida nn. Ila hawakuja mpk mwezi ukaisha

Ilipofika Mwezi wa 10 ripoti ya mwezi pia ikachelewa kutoka, ikabidi kuwafata wakasema itakua mfumo unasumbua, tuvute subira. Ripoti ilipotoka TU mda huo huo ikiwa mchakato wa kuilipa uko mbioni,Simu ikapigwa na TRA kufahamisha kua mfumo ushakaa sawa Kodi Yao ikalipwe.

Nmekwenda kulipia naambiwa kwenye mfumo kuna Deni la penalty ya ucheleweshaji kwa mwezi uliopita.
Baada ya kuwafafanulia sana wakasema wameelewa niachane na hiyo penalty,nilipie TU kodi ya mwezi huu. Kodi yao ikalipwa vizuri tu.

Ilipofika Mwezi wa 11, kwa zaidi ya wiki 2 mashine ikawa inasumbua sana kutoa risiti. TRA walipotaarifiwa wakaja na kugusa gusa Kisha wakasema watarudi endelea kutoa huduma kutoa huduma bila mashine, hawakurudi wakapotea mazima. Biashara ikaendelea bila mashine kutoa risiti.

Wamekuja kurudi wiki moja kabla mwezi haujaisha wakarekebisha na mashine ikaendelea kuchapa kazi mpk mwisho wa mwezi.

Mwisho wa mwezi umefika mashine ikawa haitoi mahesabu ya kodi. Baada ya kuwafata,wakasema nivute subira mfumo unalifanyia kazi, siku kadhaa mbele ripoti ikatoka na kodi Yao ikalipwa bila tatizo.

Mwezi wa 12 umefika mashine ikaanza kusumbua, TRA wameitwa wamegusa gusa Kisha wakasema watarudi,hawakurudi. Biashara ikawa inafanyika bila kutoa risiti. Ghafla unashangaa kikosi kazi wanakuja kukukamata unauza mafuta bila kutoa risiti.

Unawaambia Mbona taarifa mnayo, wanasema barua iko wapi. unawaambia kua walikuja wakaangalia wakasema watarudi,hawakutokea na barua hawakuacha. Wanakwambia ulifanya jitihada gani kuifatilia barua. Unabaki mdomo wazi.

Hujakaa sawa unaitwa na kukabidhiwa barua ya faini, unalalamika sana ila hakuna anaekusikiliza. Wanakwambia faini ni lazima kwanza ilipwe ndo mazungumzo mengine yataendelea tena ndani ya deadline ya siku chache walizo amua wao ukalipe kwa kutumia control namba uliyopewa, utajua mwenyewe pesa utapata wapi.

Unaamua kufatilia suala lako ngazi za juu uone watakusaidiaje maana faini Ni kubwa mno, gafla unaskia na account zako zimezuiliwa.
na sio account ya biashara ya mafuta TU, Bali Hadi account za binafs na za biashara nyngn zisizohusu mafuta nazo zimezuiliwa

Unawafata kuwauliza imekuaje Tena, wanakwambia umekaidi kulipa penaty uliyoandikiwa, pia una mlolongo wa kukaidi kulipa penalty kwa miezi mitatu ya nyuma. Wanaanza kukusomea Hadi zile penalty za ucheleweshaji wa mahesabu ya VAT ya mwisho wa mwezi Kwa miezi iliyopita waliyokuruhusu wao wenyewe uendelee na kazi.

Miezi ambayo wao wenyewe wanajua mashine zao ndo zilikua na shida ya mfumo na ulifuatilia Sana na walikupa majibu mepesi kua "Tunalifanyia kazi"
na hata zile penalty baadhi ulisamehewa kwa mdomo, ila kumbe kwenye mfumo hawazikuondoa na Sasa wanazidai kwa Nguvu zote.

Yaan imefikia hatua pesa yao ya Kodi unayo ila namna ya kuwalipa inashindikana kwasababu ya mfumo wao mbovu wa efilling hautoi mahesabu kwa wakati.

Hivi hii nchi namna hii inaelekea wapi?
Inafikia hatua mpk unaingiwa na mawazo mabaya kwamba Huenda mfumo wa efilling unahujumiwa kusudi ili mradi Watu wapigwe penalty za lazima.

Najua mawaziri, wabunge na
Viongozi mbalimbali wa serikali wamo humu,Naombeni mlishughulikie hili bila kuangalia ni Nani kalalamika.

Sio vizur kushughulikia matatizo ya watu maarufu TU kisa wamepeleka malalamiko Yao kwenye media, ndo wanaitwa in person kwenye meza ya majadiliano.

Wajasiliamali wengi TU uku kwenye mafuta tunateseka sana hasa mwezi huu decemba na malalamiko yetu tumeyafikisha Sana TRA ila hayasikilizwi Wala hatuitwi meza ya majadiliano. Tunaambiwa TU straght tulipe faini Ndo majadiliano yataendelea.

Serikali mnachotaka Nini,
au mnataka mskie Watu wamejinyonga kisa wamefilisika. Maana kushikilia account za mtu Hadi zisizohusu mafuta Ni kutengeneza frustration Hadi kwenye biashara nyingine na kwenye mabenki tuna madeni lukuki, mikopo inasubiri marejesho.

Naombeni serikali mtambue kua kwenye mafuta Hakuna anayekwepa kulipa Kodi yenu , tatizo mazingira mliyoweka ya ulipaji Kodi yanatukwamisha Sana wajasiliamali.

NAWASILISHA tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hatuwezi kubinafsisha hii shirika la TRA tukawapa watu duniani huko wenye uweledi na vifaa vya kueleweka kwenye kukusanya kodi.

Mbona kama wafanyakazi wa serikali uwa wanajiona wao ndio wenye hakili na haki ya kuamua wao nanavyoona na sio kufuata miongozo ya kazi.

Tunasafari ngumu sana kama nchi tusipokuwa serious tutaishi kama watu tusio jielewa.
 
Kwani hatuwezi kubinafsisha hii shirika la TRA tukawapa watu duniani huko wenye uweledi na vifaa vya kueleweka kwenye kukusanya kodi.

Mbona kama wafanyakazi wa serikali uwa wanajiona wao ndio wenye hakili na haki ya kuamua wao nanavyoona na sio kufuata miongozo ya kazi.

Tunasafari ngumu sana kama nchi tusipokuwa serious tutaishi kama watu tusio jielewa.
Sahii kabisa mkuu,
Mifumo Yao ndo inafeli afu jumba bovu anaangushiwa anayeuza ambae Hana control yoyote ile na hiyo mifumo yao, This is not fair.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sahii kabisa mkuu,
Mifumo Yao ndo inafeli afu jumba bovu anaangushiwa anayeuza ambae Hana control yoyote ile na hiyo mifumo yao, This is not fair.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu kunafailure nyingi mno kwenye utendaji wa serikali na mashirika yake inafikia kipindi kama nchi na watu tunaoipenda nchi na kujielewa tutafute solution hata kwa gharama ila iwe ya kueleweka.

Mm sioni shida kama TRA ikibaki kama msimamizi wa kodi ila ukusanywaji na usimamizi wa vifaa vya kieletroniki vya kodi wakapewa kampuni kubwa na yenye uzoefu kutoka nje hii italeta utendaji wenye weledi na tutacopy management and professional zao angalau tutaeleweka basi.
 
Wakuu,
Kila kitu kilikua sawa mpk pale Mwezi 9 TRA walipopita kukagua mashine zao za efilling zinavofanya kazi na wakaelezwa khs usumbufu wa mashine zao za efilling kutoa mahesabu kwa wakati

Ilipofika mwisho wa mwezi ripoti ya mwezi ikachelewa kutoka kwa Zaid ya siku kadhaa mbele,Ila Ilipotoka TU Kodi yao ikalipwa kwa wakati. Malalamiko ya ucheleweshaji huu wa ripoti walifikishiwa TRA na wao wakasema Haina shida endelea na KAZI watakuja kukagua shida nn. Ila hawakuja mpk mwezi ukaisha

Ilipofika Mwezi wa 10 ripoti ya mwezi pia ikachelewa kutoka, ikabidi kuwafata wakasema itakua mfumo unasumbua, tuvute subira. Ripoti ilipotoka TU mda huo huo ikiwa mchakato wa kuilipa uko mbioni,Simu ikapigwa na TRA kufahamisha kua mfumo ushakaa sawa Kodi Yao ikalipwe.

Nmekwenda kulipia naambiwa kwenye mfumo kuna Deni la penalty ya ucheleweshaji kwa mwezi uliopita.
Baada ya kuwafafanulia sana wakasema wameelewa niachane na hiyo penalty,nilipie TU kodi ya mwezi huu. Kodi yao ikalipwa vizuri tu.

Ilipofika Mwezi wa 11, kwa zaidi ya wiki 2 mashine ikawa inasumbua sana kutoa risiti. TRA walipotaarifiwa wakaja na kugusa gusa Kisha wakasema watarudi endelea kwanza kutoa huduma bila mashine tunalishughulikia, hawakurudi wakapotea mazima. Biashara ikaendelea bila mashine kutoa risiti.

Wamekuja kurudi wiki moja kabla mwezi haujaisha wakarekebisha na mashine ikaendelea kuchapa kazi mpk mwisho wa mwezi.

Mwisho wa mwezi umefika mashine ikawa haitoi mahesabu ya kodi. Baada ya kuwafata,wakasema nivute subira mfumo unalifanyia kazi, siku kadhaa mbele ripoti ikatoka na kodi Yao ikalipwa bila tatizo.

Mwezi wa 12 umefika mashine ikaanza kusumbua tena, TRA wameitwa wamegusa gusa Kisha wakasema watarudi,hawakurudi. Biashara ikawa inafanyika bila kutoa risiti. Ghafla unashangaa kikosi kazi wanakuja kukukamata unauza mafuta bila kutoa risiti.

Unawaambia Mbona taarifa mnayo, wanasema barua iko wapi. unawaambia kua walikuja wenyewe wakaangalia wakasema watarudi,hawakutokea na barua hawakuacha. Wanakwambia ulifanya jitihada gani kuifatilia barua yako, Unabaki mdomo wazi maana walipokuacha hawakukawia taarifa kua inatakiwa barua.

Hujakaa sawa unaitwa na kukabidhiwa barua ya faini, unalalamika sana ila hakuna anaekusikiliza. Wanakwambia faini ni lazima kwanza ilipwe ndo mazungumzo mengine yataendelea tena ndani ya deadline ya siku chache sana walizo amua wao ukailipe kwa kutumia control namba uliyopewa, utajua mwenyewe pesa utapata wapi.

Unaamua kufatilia suala lako ngazi za juu uone watakusaidiaje maana faini Ni kubwa mno inakata mtaji, gafla unaskia na account zako zimezuiliwa.
na sio account ya biashara ya mafuta TU, Bali Hadi account za binafs na za biashara nyngn zisizohusu mafuta nazo zimezuiliwa

Unawafata kuwauliza imekuaje Tena, wanakwambia umekaidi kulipa penaty uliyoandikiwa, pia una mlolongo wa kukaidi kulipa penalty kwa miezi ya nyuma. Wanaanza kukusomea Hadi zile penalty za ucheleweshaji wa mahesabu ya VAT ya mwisho wa mwezi Kwa miezi iliyopita waliyokuruhusu wao wenyewe uendelee na kazi.

Miezi ambayo wao wenyewe wanajua mashine zao ndo zilikua na shida ya mfumo na ulifuatilia Sana na walikupa majibu mepesi kua "Tunalifanyia kazi"
na hata zile penalty baadhi ulisamehewa kwa mdomo, ila kumbe kwenye mfumo hawazikuondoa na Sasa wanazidai kwa Nguvu zote.

Yaan imefikia hatua pesa yao ya Kodi unayo ila namna ya kuwalipa inashindikana kwasababu ya mfumo wao mbovu wa efilling hautoi mahesabu kwa wakati.

Hivi hii nchi namna hii inaelekea wapi?
Inafikia hatua mpk unaingiwa na mawazo mabaya kwamba Huenda mfumo wa efilling unahujumiwa kusudi ili mradi Watu wapigwe penalty za lazima pesa ipatikane .

Najua mawaziri, wabunge na
Viongozi mbalimbali wa serikali wamo humu jf, plz Naombeni mlishughulikie hili bila kuangalia ni Nani kalalamika.

Sio vizur kushughulikia matatizo ya watu maarufu TU kisa wamepeleka malalamiko Yao kwenye media, ndo wanaitwa in person kwenye meza ya majadiliano.

Wajasiliamali wengi TU uku kwenye mafuta tunateseka sana hasa mwezi huu decemba na malalamiko yetu tumeyafikisha Sana TRA ila hayasikilizwi Wala hatuitwi meza ya majadiliano. Tunaambiwa TU straght tulipe faini Ndo majadiliano yataendelea.

Serikali mnachotaka Nini,
au mnataka mskie Watu wamejinyonga na kufa kisa wamefilisika. Maana kushikilia account za mtu Hadi zisizohusu mafuta Ni kutengeneza frustration Hadi kwenye biashara nyingine na kwenye mabenki tuna madeni lukuki, mikopo inasubiri marejesho.

Naombeni serikali mtambue kua kwenye mafuta Hakuna anayekwepa kulipa Kodi yenu , tatizo mazingira mliyoweka ya ulipaji Kodi yanatukwamisha Sana wajasiliamali.

NAWASILISHA tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
Hi ndo serikali ya ⏰mia
 
Wakuu,
Kila kitu kilikua sawa mpk pale Mwezi 9 TRA walipopita kukagua mashine zao za efilling zinavofanya kazi na wakaelezwa khs usumbufu wa mashine zao za efilling kutoa mahesabu kwa wakati

Ilipofika mwisho wa mwezi ripoti ya mwezi ikachelewa kutoka kwa Zaid ya siku kadhaa mbele,Ila Ilipotoka TU Kodi yao ikalipwa kwa wakati. Malalamiko ya ucheleweshaji huu wa ripoti walifikishiwa TRA na wao wakasema Haina shida endelea na KAZI watakuja kukagua shida nn. Ila hawakuja mpk mwezi ukaisha

Ilipofika Mwezi wa 10 ripoti ya mwezi pia ikachelewa kutoka, ikabidi kuwafata wakasema itakua mfumo unasumbua, tuvute subira. Ripoti ilipotoka TU mda huo huo ikiwa mchakato wa kuilipa uko mbioni,Simu ikapigwa na TRA kufahamisha kua mfumo ushakaa sawa Kodi Yao ikalipwe.

Nmekwenda kulipia naambiwa kwenye mfumo kuna Deni la penalty ya ucheleweshaji kwa mwezi uliopita.
Baada ya kuwafafanulia sana wakasema wameelewa niachane na hiyo penalty,nilipie TU kodi ya mwezi huu. Kodi yao ikalipwa vizuri tu.

Ilipofika Mwezi wa 11, kwa zaidi ya wiki 2 mashine ikawa inasumbua sana kutoa risiti. TRA walipotaarifiwa wakaja na kugusa gusa Kisha wakasema watarudi endelea kwanza kutoa huduma bila mashine tunalishughulikia, hawakurudi wakapotea mazima. Biashara ikaendelea bila mashine kutoa risiti.

Wamekuja kurudi wiki moja kabla mwezi haujaisha wakarekebisha na mashine ikaendelea kuchapa kazi mpk mwisho wa mwezi.

Mwisho wa mwezi umefika mashine ikawa haitoi mahesabu ya kodi. Baada ya kuwafata,wakasema nivute subira mfumo unalifanyia kazi, siku kadhaa mbele ripoti ikatoka na kodi Yao ikalipwa bila tatizo.

Mwezi wa 12 umefika mashine ikaanza kusumbua tena, TRA wameitwa wamegusa gusa Kisha wakasema watarudi,hawakurudi. Biashara ikawa inafanyika bila kutoa risiti. Ghafla unashangaa kikosi kazi wanakuja kukukamata unauza mafuta bila kutoa risiti.

Unawaambia Mbona taarifa mnayo, wanasema barua iko wapi. unawaambia kua walikuja wenyewe wakaangalia wakasema watarudi,hawakutokea na barua hawakuacha. Wanakwambia ulifanya jitihada gani kuifatilia barua yako, Unabaki mdomo wazi maana walipokuacha hawakukawia taarifa kua inatakiwa barua.

Hujakaa sawa unaitwa na kukabidhiwa barua ya faini, unalalamika sana ila hakuna anaekusikiliza. Wanakwambia faini ni lazima kwanza ilipwe ndo mazungumzo mengine yataendelea tena ndani ya deadline ya siku chache sana walizo amua wao ukailipe kwa kutumia control namba uliyopewa, utajua mwenyewe pesa utapata wapi.

Unaamua kufatilia suala lako ngazi za juu uone watakusaidiaje maana faini Ni kubwa mno inakata mtaji, gafla unaskia na account zako zimezuiliwa.
na sio account ya biashara ya mafuta TU, Bali Hadi account za binafs na za biashara nyngn zisizohusu mafuta nazo zimezuiliwa

Unawafata kuwauliza imekuaje Tena, wanakwambia umekaidi kulipa penaty uliyoandikiwa, pia una mlolongo wa kukaidi kulipa penalty kwa miezi ya nyuma. Wanaanza kukusomea Hadi zile penalty za ucheleweshaji wa mahesabu ya VAT ya mwisho wa mwezi Kwa miezi iliyopita waliyokuruhusu wao wenyewe uendelee na kazi.

Miezi ambayo wao wenyewe wanajua mashine zao ndo zilikua na shida ya mfumo na ulifuatilia Sana na walikupa majibu mepesi kua "Tunalifanyia kazi"
na hata zile penalty baadhi ulisamehewa kwa mdomo, ila kumbe kwenye mfumo hawazikuondoa na Sasa wanazidai kwa Nguvu zote.

Yaan imefikia hatua pesa yao ya Kodi unayo ila namna ya kuwalipa inashindikana kwasababu ya mfumo wao mbovu wa efilling hautoi mahesabu kwa wakati.

Hivi hii nchi namna hii inaelekea wapi?
Inafikia hatua mpk unaingiwa na mawazo mabaya kwamba Huenda mfumo wa efilling unahujumiwa kusudi ili mradi Watu wapigwe penalty za lazima pesa ipatikane .

Najua mawaziri, wabunge na
Viongozi mbalimbali wa serikali wamo humu jf, plz Naombeni mlishughulikie hili bila kuangalia ni Nani kalalamika.

Sio vizur kushughulikia matatizo ya watu maarufu TU kisa wamepeleka malalamiko Yao kwenye media, ndo wanaitwa in person kwenye meza ya majadiliano.

Wajasiliamali wengi TU uku kwenye mafuta tunateseka sana hasa mwezi huu decemba na malalamiko yetu tumeyafikisha Sana TRA ila hayasikilizwi Wala hatuitwi meza ya majadiliano. Tunaambiwa TU straght tulipe faini Ndo majadiliano yataendelea.

Serikali mnachotaka Nini,
au mnataka mskie Watu wamejinyonga na kufa kisa wamefilisika. Maana kushikilia account za mtu Hadi zisizohusu mafuta Ni kutengeneza frustration Hadi kwenye biashara nyingine na kwenye mabenki tuna madeni lukuki, mikopo inasubiri marejesho.

Naombeni serikali mtambue kua kwenye mafuta Hakuna anayekwepa kulipa Kodi yenu , tatizo mazingira mliyoweka ya ulipaji Kodi yanatukwamisha Sana wajasiliamali.

NAWASILISHA tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
TRA Tanzania
 
Tz kuna matatizo mawili kwenye Kodi.
1) watz wengi hawalipi kodi so serikali imekuwa inawabana Watu wale wale ili ipate kodi ya kuendesha serikali.
2) hata hao watu wachache wanaolipa kodi serikali imekuwa na matumiz mabaya ya fedha mpaka imefikia mahali watu wanakata tamaa ya kulipa kodi. Mfano magar mapya kila mwaka ya bei ghali na ripoti za CAG kutokufanyiwa kazi. So watu ni kama wameona kila mtu acheze anavyoweza kujiongeza apige
 
Tz kuna matatizo mawili kwenye Kodi.
1) watz wengi hawalipi kodi so serikali imekuwa inawabana Watu wale wale ili ipate kodi ya kuendesha serikali.
2) hata hao watu wachache wanaolipa kodi serikali imekuwa na matumiz mabaya ya fedha mpaka imefikia mahali watu wanakata tamaa ya kulipa kodi. Mfano magar mapya kila mwaka ya bei ghali na ripoti za CAG kutokufanyiwa kazi. So watu ni kama wameona kila mtu acheze anavyoweza kujiongeza apige
Sahii kabisa,
Tunanyonyana sisi kwa sisi,
Serikali imekua kama imekosa ubunifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu,
Kila kitu kilikua sawa mpk pale Mwezi 9 TRA walipopita kukagua mashine zao za efilling zinavofanya kazi na wakaelezwa khs usumbufu wa mashine zao za efilling kutoa mahesabu kwa wakati

Ilipofika mwisho wa mwezi ripoti ya mwezi ikachelewa kutoka kwa Zaid ya siku kadhaa mbele,Ila Ilipotoka TU Kodi yao ikalipwa kwa wakati. Malalamiko ya ucheleweshaji huu wa ripoti walifikishiwa TRA na wao wakasema Haina shida endelea na KAZI watakuja kukagua shida nn. Ila hawakuja mpk mwezi ukaisha

Ilipofika Mwezi wa 10 ripoti ya mwezi pia ikachelewa kutoka, ikabidi kuwafata wakasema itakua mfumo unasumbua, tuvute subira. Ripoti ilipotoka TU mda huo huo ikiwa mchakato wa kuilipa uko mbioni,Simu ikapigwa na TRA kufahamisha kua mfumo ushakaa sawa Kodi Yao ikalipwe.

Nmekwenda kulipia naambiwa kwenye mfumo kuna Deni la penalty ya ucheleweshaji kwa mwezi uliopita.
Baada ya kuwafafanulia sana wakasema wameelewa niachane na hiyo penalty,nilipie TU kodi ya mwezi huu. Kodi yao ikalipwa vizuri tu.

Ilipofika Mwezi wa 11, kwa zaidi ya wiki 2 mashine ikawa inasumbua sana kutoa risiti. TRA walipotaarifiwa wakaja na kugusa gusa Kisha wakasema watarudi endelea kwanza kutoa huduma bila mashine tunalishughulikia, hawakurudi wakapotea mazima. Biashara ikaendelea bila mashine kutoa risiti.

Wamekuja kurudi wiki moja kabla mwezi haujaisha wakarekebisha na mashine ikaendelea kuchapa kazi mpk mwisho wa mwezi.

Mwisho wa mwezi umefika mashine ikawa haitoi mahesabu ya kodi. Baada ya kuwafata,wakasema nivute subira mfumo unalifanyia kazi, siku kadhaa mbele ripoti ikatoka na kodi Yao ikalipwa bila tatizo.

Mwezi wa 12 umefika mashine ikaanza kusumbua tena, TRA wameitwa wamegusa gusa Kisha wakasema watarudi,hawakurudi. Biashara ikawa inafanyika bila kutoa risiti. Ghafla unashangaa kikosi kazi wanakuja kukukamata unauza mafuta bila kutoa risiti.

Unawaambia Mbona taarifa mnayo, wanasema barua iko wapi. unawaambia kua walikuja wenyewe wakaangalia wakasema watarudi,hawakutokea na barua hawakuacha. Wanakwambia ulifanya jitihada gani kuifatilia barua yako, Unabaki mdomo wazi maana walipokuacha hawakukawia taarifa kua inatakiwa barua.

Hujakaa sawa unaitwa na kukabidhiwa barua ya faini, unalalamika sana ila hakuna anaekusikiliza. Wanakwambia faini ni lazima kwanza ilipwe ndo mazungumzo mengine yataendelea tena ndani ya deadline ya siku chache sana walizo amua wao ukailipe kwa kutumia control namba uliyopewa, utajua mwenyewe pesa utapata wapi.

Unaamua kufatilia suala lako ngazi za juu uone watakusaidiaje maana faini Ni kubwa mno inakata mtaji, gafla unaskia na account zako zimezuiliwa.
na sio account ya biashara ya mafuta TU, Bali Hadi account za binafs na za biashara nyngn zisizohusu mafuta nazo zimezuiliwa

Unawafata kuwauliza imekuaje Tena, wanakwambia umekaidi kulipa penaty uliyoandikiwa, pia una mlolongo wa kukaidi kulipa penalty kwa miezi ya nyuma. Wanaanza kukusomea Hadi zile penalty za ucheleweshaji wa mahesabu ya VAT ya mwisho wa mwezi Kwa miezi iliyopita waliyokuruhusu wao wenyewe uendelee na kazi.

Miezi ambayo wao wenyewe wanajua mashine zao ndo zilikua na shida ya mfumo na ulifuatilia Sana na walikupa majibu mepesi kua "Tunalifanyia kazi"
na hata zile penalty baadhi ulisamehewa kwa mdomo, ila kumbe kwenye mfumo hawazikuondoa na Sasa wanazidai kwa Nguvu zote.

Yaan imefikia hatua pesa yao ya Kodi unayo ila namna ya kuwalipa inashindikana kwasababu ya mfumo wao mbovu wa efilling hautoi mahesabu kwa wakati.

Hivi hii nchi namna hii inaelekea wapi?
Inafikia hatua mpk unaingiwa na mawazo mabaya kwamba Huenda mfumo wa efilling unahujumiwa kusudi ili mradi Watu wapigwe penalty za lazima pesa ipatikane .

Najua mawaziri, wabunge na
Viongozi mbalimbali wa serikali wamo humu jf, plz Naombeni mlishughulikie hili bila kuangalia ni Nani kalalamika.

Sio vizur kushughulikia matatizo ya watu maarufu TU kisa wamepeleka malalamiko Yao kwenye media, ndo wanaitwa in person kwenye meza ya majadiliano.

Wajasiliamali wengi TU uku kwenye mafuta tunateseka sana hasa mwezi huu decemba na malalamiko yetu tumeyafikisha Sana TRA ila hayasikilizwi Wala hatuitwi meza ya majadiliano. Tunaambiwa TU straght tulipe faini Ndo majadiliano yataendelea.

Serikali mnachotaka Nini,
au mnataka mskie Watu wamejinyonga na kufa kisa wamefilisika. Maana kushikilia account za mtu Hadi zisizohusu mafuta Ni kutengeneza frustration Hadi kwenye biashara nyingine na kwenye mabenki tuna madeni lukuki, mikopo inasubiri marejesho.

Naombeni serikali mtambue kua kwenye mafuta Hakuna anayekwepa kulipa Kodi yenu , tatizo mazingira mliyoweka ya ulipaji Kodi yanatukwamisha Sana wajasiliamali.

NAWASILISHA tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kamwe usisahau barua, make sure kila makubaliano unayoingia nao kuwe na ushahidi wa maandishi
 
Back
Top Bottom