Aise..sasa hiyo PM unaituma ikiwa empty mkuu? Hapo maana yake ni kuwa hujaweka hyo PM inahusu nn(a.k.a kichwa cha PM) na hakuna content kwenye kisanduku cha ujumbe.
Aise..sasa hiyo PM unaituma ikiwa empty mkuu? Hapo maana yake ni kuwa hujaweka hyo PM inahusu nn(a.k.a kichwa cha PM) na hakuna content kwenye kisanduku cha ujumbe.
Hebu nambie unatumia nini? Mob. Au laptop au ....
Ninatumia laptop, na kuna wakati mwingine hua nachangia mada fulani, message ninayoandika unakuta sio fupi, ila niki submit, inakuja error message kua your message is too short please lengthen your message at least 6 characters,
Hua sielewi tatizo nini.