Msaada: Kuanzisha Computer training centre

Msaada: Kuanzisha Computer training centre

geometry

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2014
Posts
466
Reaction score
359
Shikamooni mana wengi humu ni wakubwa kwangu
Naombeni kwa yoyote anaeweza kunipa mchango wa kimawazo kuhusu kuanzisha computer training centre wazo lolote lile litakuwa la maana kwangu
 
Anza na details za mradi kwanza uko wapi? Una startup capital ya kiasi gani na je unaoperate mwenyewe au unaajiri waalimu? Na taratibu za kisheria usisahau ccm inataka kodi yako
 
Anza na details za mradi kwanza uko wapi? Una startup capital ya kiasi gani na je unaoperate mwenyewe au unaajiri waalimu? Na taratibu za kisheria usisahau ccm inataka kodi yako

Nipo maeneo ya Goba Dar
Nina capital ya 3M
Nitaanza ku operate mwenyew
 
iyo kazi itakucost sana fanya mradi mwingine huo hauna ela sana sasa hvi mtu anajua computer bila kufundishwa anza na ufugaji wa kuku kama unapenda au mitumba m3 nyingi sana ...mi nimeanza kufuga kuku 6 sasa hvi nina kuku 50 tumia akili sio lazima kuku
 
ni mradi mzuri sana ila lazima uwe na target nzuri ili kupata wateja kwani watu wanasema kuwa wanajua computer siku hizi kumbe sio hivyo wakipewa mtihani wanabugi sana kwani ni muhimu sana
lazima wakuregiste veta kwanza au unaweza kuaaanza alafu wakuja kukutembelea kuona mazingira kwanza.
 
iyo kazi itakucost sana fanya mradi mwingine huo hauna ela sana sasa hvi mtu anajua computer bila kufundishwa anza na ufugaji wa kuku kama unapenda au mitumba m3 nyingi sana ...mi nimeanza kufuga kuku 6 sasa hvi nina kuku 50 tumia akili sio lazima kuku

wewe kweli mburula kujua kuchat facebook sio kujua computer, computer ina mambo mengi sana ambayo inabidi ujue kwa kusomea sio kujua kuchat ndio ukajua umejua computer
 
Back
Top Bottom