Msaada kiwanja Ku-Date

Msaada kiwanja Ku-Date

Idea....mpeleke B bar pale sinza kuna kitimoto Matata sana, fanya kilo rost na ndizi tatu, mixer pilipili na tubia tuwili, hachomoki huyo sheri....
 
Kama lengo ni kuwa mchumba na baadae umuoe, na huna mkwanja kiivile, nunua nyanya, pilipili hoho, nazi, karoti, vitunguu, mchelele/viazi, matunda, nyama ya ng`ombe/kuku/samaki etc. Pika chakula hapo unapoishi, tengeneza juisi na andaa matunda, umkaribishe mpate chakula. Akipenda anaweza kuja mkapika pamoja huku mkiongea. Mkimaliza kula unaweza kumtembeza mtaani kwenu apajue huku mkiendelea na maongezi. Lakini kama malengo ni kupiga tu mzigo, then nakushauri hata ukakope VIKOBA ili umpeleke sehemu za "kishua". BE REAL, young man!
Huu ndio ushauri wa kiutu uzima, WENYEWE MNAANZA KUTUHARIBU KWA SHOWOFF ZA KIJINGA, Na kujionyesha uko vizuri ni bora akujue vyema kama mwenza wangu kapuku, ila kujificha uhalisihia wako na akaja akajua unafake hiyo life hata kuamini hata kwa jambo moja na ujue atakudharau na baada atakumwaga tu.
 
Amekwambia umtoe out na sio ukifika huko u date. . Kama huna hela usihangaike kumtoa out ya gharama. As far as out is concerned we mwingize ndan umtoe nje uepushe gharama mkuu.
NB:- hapo nje kwenu si kuna kiwanja?
 
Kama hujui pa kumpeleka, chances are higher hujui hata cha kumuambia. And the fact kwamba unamuabudu kuwa "mtoto wa kishua"...that's a recipe for a disaster date/relationship. So, good luck.
 
uyo demu clearly anataka mkuno wa muhogo asilia..
show ya kibabe ndo itakutoa...we anavosema mtoke outing iyo ni code anakupa uchanganye na zako..kuna outing gani unadhani apa bongo compared na nje anapotoka..cha msingi zingatia yafuatayo...
-hakikisha una gari, naye awe nalo muwe kimsafara zaidi, mkamate mwambie tufwatane ..mpeleke cape town fish market..
- andaa kama laki ya shots na cocktail ( jifanye wehu upo kwenye good mood tuu for no reason - wakishua wanapendaga ppl who dare ) so mchana mchana unaagiza long island yako unagonga glass unamuagizia na yeye mixer na shots mbili tatu..
- uwe na laki nyingine ya incase tu apo kama akitaka ale, nawe huna budi ..ila cha msingi divert story kwenye kumpeleka akapafahamu kwako..yani uuweumebajet kama una masaaa 5 , tumia 2 hrs cape town 3 hrs kwako..
- atlist jipige promo ungependa akaonje mapish yako n.k yan uwe charming full umechangamka...
-baada ya shots na cocktail mbil tatu hakikishaa mnaendaa kwako ,,
- huko sidhan kama ntakushauri maana wewe na assume ni mwanume na si wakiume

ANGALIZO

-Kama huna geto , hunywi , hanywi , huna ata min. 200k ya kuchoma chap utafeli theory yangu
-elewa kitu kimoja , mwanamke ana mindset ya ajabu , hatabiriki, anavyokubali kuonana na wewe jua ka assume ur different na exposure aliokua nayo
-wanawake wa waliokulia nje wakirudi dar most of their company inakua imeolewa, so naye anakua na mchecheto wa kusettle down na kuanza familia, so ndo chance yako yaku prove urself, if your broke, atlist make her settle for the good dick mkuu..ukiwa shallow vyote atakukimbia in a first date..
--if in general wewe unajijua ndani moyon kabisa ur not charmin , not talkative au in general introgenic features zimezid, bas chances of my theory ku fail kwako ni kubwa...

All the best..leta marejesho
 
Wadau, Mi ni mshamba kidogo wa maeneo ya kudatia.
Hapa nina miadi na mtoto wa kishua, amenambia nimtoe out tukapige story ila sasa sijui nitampeleka wapi? Mtoto anarudi kutoka ma mtoni week ijayo.
Msaada haraka maana sijuia pa kwenda. Ila pawe cheap kidogo maana sina mkwanjwa. Na iwe rahisi kufika hata kwa daladala.
Iwe sehem tulivu ambayo nitapia nae story hata masaa matano.
Lengo langu badae awe mchumba.
upo wap
 
Kama lengo ni kuwa mchumba na baadae umuoe, na huna mkwanja kiivile, nunua nyanya, pilipili hoho, nazi, karoti, vitunguu, mchelele/viazi, matunda, nyama ya ng`ombe/kuku/samaki etc. Pika chakula hapo unapoishi, tengeneza juisi na andaa matunda, umkaribishe mpate chakula. Akipenda anaweza kuja mkapika pamoja huku mkiongea. Mkimaliza kula unaweza kumtembeza mtaani kwenu apajue huku mkiendelea na maongezi. Lakini kama malengo ni kupiga tu mzigo, then nakushauri hata ukakope VIKOBA ili umpeleke sehemu za "kishua". BE REAL, young man!
amtembezee kitaa? mambo ya lugumi hayo
 
Kama lengo ni kuwa mchumba na baadae umuoe, na huna mkwanja kiivile, nunua nyanya, pilipili hoho, nazi, karoti, vitunguu, mchelele/viazi, matunda, nyama ya ng`ombe/kuku/samaki etc. Pika chakula hapo unapoishi, tengeneza juisi na andaa matunda, umkaribishe mpate chakula. Akipenda anaweza kuja mkapika pamoja huku mkiongea. Mkimaliza kula unaweza kumtembeza mtaani kwenu apajue huku mkiendelea na maongezi. Lakini kama malengo ni kupiga tu mzigo, then nakushauri hata ukakope VIKOBA ili umpeleke sehemu za "kishua". BE REAL, young man!
Hii comment naona wa Beijing wameilike sana. Kumbe wanapenda kupikiwa?! Ngoja, nianze mazoezi na mimi.
 
Ha ha ha be real kaka,sio lazima viwanja vya town unaweza kutoka nje ya mji kidogo tafuta eneo lolote lenye miti mizuri ya kivuli kaa naye hapo uongee naye,usitumie akili nyingi wakati yy ni mtu kama ww
 
Ukikosea mwanzo jiandae kujuta baadae usijaribu kufanya kitu nje ya uwazo wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom