Msaada juu ya maswala kadhaa katika biashara ya vipodozi

Miss lb4lyf

Member
Sep 3, 2022
30
19
Habarini,, wakubwa heshima yenu,,, mimi ni muhitimu wa mwaka huu ni binti nna 23 yrs,sina mpango wala fikra kuusu kuajiriwa, naamini zaidi katika kujiajiri(biashara), Nimefanikiwa kuwezeshwa mtaji wa 5M, nataka kuingia kweny biashra ya vipodozi na urembo kwa ujumla, sababu kwanza naipenda, na ata nilichosomea niki aplly kweny biashara hii naona kabisa vinauwiyano, kipind nasoma nilishafany biashara ya salon ya kike na nimekua nikijifunza mambo mbali mbali kwenye vipodozi na urembo hivyo naona kua naweza fit kuliko kwenye biashara nyingine, Msaada wenu juu ya mambo yafuatyo

(1)Mambo ya muhimu ya kuzingatia kabla ya kuanza business hii
(2) Mambo ya kuzingatia katika kutafuta loction,mimi nipo dodoma
(3)mambo muhimu ya kuyaepuka katika kuendesha biashara hii,nitakaa mwenyewe sitaitji mfanyakazi kwa sasa
4) machimbo mazuri ya mzigo ya jumla kwa bei nzuri,ata kumi me ntayaangalia yote tu kupata zuri zaidi
4) jinsi ya ku win soko la biashara hii na wateja sehemu nitakayofungua
Na je kwa hii 5m Inatosha kwa kuanzia,

Asanteni naomba mchango wenu sana wana jamii forum na kama kuna chakuongezea pia ushauri nitafurah, Natanguliza shukrani
 
Una mawazo mazuri sana, kwanza kabisa mimi ni muhitimu wa chuo kikuu SUA 2020, Niko Iringa kibiashara, nilianza na urembo na sasa nina Ofisi ya Vipodozi

Urembo namaanisha vitu kama hereni, lipstick, makeups, vioo, vitana n.k

Vipodozi namaanisha lotion, mafuta ya mgando, spry, sabuni n.k

Kwenye izo biashara mbili ukiweza kuanza na urembo una faida kubwa kuliko vipodozi kwa uzoefu wangu

Naomba kuwasilisha
 
Una mawazo mazuri sana, kwanza kabisa mimi ni muhitimu wa chuo kikuu SUA 2020, Niko Iringa kibiashara, nilianza na urembo na sasa nina Ofisi ya Vipodozi

Urembo namaanisha vitu kama hereni, lipstick, makeups, vioo, vitana n.k

Vipodozi namaanisha lotion, mafuta ya mgando, spry, sabuni n.k

Kwenye izo biashara mbili ukiweza kuanza na urembo una faida kubwa kuliko vipodozi kwa uzoefu wangu

Naomba kuwasilisha
Nashukuru kwa mawazo
 
Dodoma ujipange haswaa kuna watu pale hawategemei mzigo wa kariakoo lazima ujikaze kwenda nao sawa

Umepanga kuanzaje biashara yako?

Yaani aina ya Vipodoz?
 
Dodoma ujipange haswaa kuna watu pale hawategemei mzigo wa kariakoo lazima ujikaze kwenda nao sawa


Umepanga kuanzaje biashara yako?

Yaani aina ya Vipodoz?
Kwanza nashukuru dada,heshima yako,mipango yangu ni kuanza na vipodozi kam mafuta,rosheni ,sabuni,serum,dawa za nywele,make up kwa ujumla na vyote vinavyo fanya vizuri sokoni,plan yangu nikuanza na pics chache chache lili kujua ni vipodoz vip vitakua na wateja wengi ndo niwe naweka vingi kidogo,pia sipo mjini lakini pia sio nje sana mji, ni Dar road kabla ya kisasa kwa kutika mjini,,eneo hilo mimi pia huwa napata shida kupat bidhaa zangu za urembo sababu hakuna duka zuri la urembo lililojikita na vipodozi tuuu ,dawa za nywele na mafuta unavikuta kweny maduka ya vitu vya nyumbani ivi, ko nimeona nianze na uku,kabla ya kwrny ku compit mjini ambapo yapo,lakin pia natamani kupata muongozo mzuri juu ya vipodozi vya kuanza navyo,ila kiufupi kwa maeneo ya uku kuna uhaba wa duka la vipodozi na urembo,Asanteee
 
Kwanza nashukuru dada,heshima yako,mipango yangu ni kuanza na vipodozi kam mafuta,rosheni ,sabuni,serum,dawa za nywele,make up kwa ujumla na vyote vinavyo fanya vizuri sokoni,plan yangu nikuanza na pics chache chache lili kujua ni vipodoz vip vitakua na wateja wengi ndo niwe naweka vingi kidogo,pia sipo mjini lakini pia sio nje sana mji,ni dar road kabla ya kisasa kwa kutika mjini,,eneo hilo mimi pia huwa napata shida kupat bidhaa zangu za urembo sababu hakuna duka zuri la urembo lililojikita na vipodozi tuuu ,dawa za nywele na mafuta unavikuta kweny maduka ya vitu vya nyumbani ivi, ko nimeona nianze na uku,kabla ya kwrny ku compit mjini ambapo yapo,lakin pia natamani kupata muongozo mzuri juu ya vipodozi vya kuanza navyo,ila kiufupi kwa maeneo ya uku kuna uhaba wa duka la vipodozi na urembo,Asanteee
Bila shaka maongezi yameamia PM
 
Habarini,, wakubwa heshima yenu,,, mimi ni muhitimu wa mwaka huu ni binti nna 23 yrs,sina mpango wala fikra kuusu kuajiriwa, naamini zaidi katika kujiajiri(biashara), Nimefanikiwa kuwezeshwa mtaji wa 5M, nataka kuingia kweny biashra ya vipodozi na urembo kwa ujumla, sababu kwanza naipenda, na ata nilichosomea niki aplly kweny biashara hii naona kabisa vinauwiyano, kipind nasoma nilishafany biashara ya salon ya kike na nimekua nikijifunza mambo mbali mbali kwenye vipodozi na urembo hivyo naona kua naweza fit kuliko kwenye biashara nyingine, Msaada wenu juu ya mambo yafuatyo

(1)Mambo ya muhimu ya kuzingatia kabla ya kuanza business hii
(2) Mambo ya kuzingatia katika kutafuta loction,mimi nipo dodoma
(3)mambo muhimu ya kuyaepuka katika kuendesha biashara hii,nitakaa mwenyewe sitaitji mfanyakazi kwa sasa
4) machimbo mazuri ya mzigo ya jumla kwa bei nzuri,ata kumi me ntayaangalia yote tu kupata zuri zaidi
4) jinsi ya ku win soko la biashara hii na wateja sehemu nitakayofungua
Na je kwa hii 5m Inatosha kwa kuanzia,

Asanteni naomba mchango wenu sana wana jamii forum na kama kuna chakuongezea pia ushauri nitafurah, Natanguliza shukrani
Habari vipi ulifikia wapi biashara yako ya vipodozi nataman kupata experience
 
Back
Top Bottom