Msaada juu ya kaka yangu, nifanyeje?

Msaada juu ya kaka yangu, nifanyeje?

Naomba tu ushauri jinsi yakumwambia aondoke bila ugonvi. Pia nilitaka kumwambia mme wangu mamaangu kaniomba nisimwambie ndo kasema anakuja kuongea nae. Ndi kinachomleta maza. Kama kweli mtu unamweshim nduguyo huwezi mfukuza kama mbwa nitumie njia gani yayeye kuondoka bila kuleta shida kwenye famila.
Hapa umeeleweka km maza wako ndo kinachomleta hapo basi msubirie, atamalizana nae
 
Naomba tu ushauri jinsi yakumwambia aondoke bila ugonvi. Pia nilitaka kumwambia mme wangu mamaangu kaniomba nisimwambie ndo kasema anakuja kuongea nae. Ndi kinachomleta maza. Kama kweli mtu unamweshim nduguyo huwezi mfukuza kama mbwa nitumie njia gani yayeye kuondoka bila kuleta shida kwenye famila.
Kwan bro ana mpango wa kukaa hapo hadi lini.....?

Muulize ana mpango gan kwa saiz wa maisha yake...?

Akikujibu hilo swali hapo utajua umwambie nn
 
Duuh!!yani mtu wa 35 of age anafanya umalaya
 
Mi nimeolewa miaka miwili iliopita lakini kutokana kutafta maisha mme wangu anaishi nchi za nje kutafta maisha nakweli mungu mwena tunaendelea vyema pamoja kwamba hayuko hapa.

Alimchukuaga kakaangu kamtaftia kazi huko kakaangu kutokana natabia yake nakujingiza katika kazi flani akawa deported

Kutokana kwamba nimtu wastarehe sana hela aliokua nayo ilivyoisha tukakubalina pamoja na mme wangu aje tuishi pamoja hapa Arusha maana hakuna watu wengi sana nyumbani.
Sasa kilichonifanya niandike hii post kakaangu anabadilisha wasichana mpaka naogopa kila siku lazima alete mwanamke napia alishawahi kumleta sister hadi.

Kwaupande wangu naumia jinsi anavyo chezea watoto wawatu wengine wanakua namatumaini kwamba atawaoa kumbe hana huu mpango. Ambao tumezoweana kwa haraka wananipigia cm wakilia juu yake wala hata yy hana habari
Namweshim sana maana he is over 35 kwahyo amenizidi ka miaka 10. Natafta jinsi yakuongea nae nashindwa
Naomba mnisaidie nifanyeje aweze kuwa na msichana moja tu basi hata wawili sio kukutana kwenye corridor na sura mpya kila cku.

Lakini pia tangu j. Mosi iliopita alileta mwanamke moja nimkubwa kama mamayetu kama 45-50 alafu cjawahi kuona akika na mwanamke mda mrefu hivo amejichubua vibaya sema mstarabu alafu anjituma sana jikoni. Pili huyu mama msafi sana pamoja kwamba ni mnene ila anajitahidi kazi hapa napale Sasa naona kakaangu kafika kwamara yakwanza naona akitoka kazini kuwahi nyumbani kumchukua bibie nakwenda Mjini kupooza koo. Sina shida nahuyu mama sema mamaangu mwezi wa10 anakuja nyumbani nahuyu mama naona ndo kafika hadi naona anazungmzia kuweka banda lakuku.

Ebu naomba mnishauri jinsi yakumwambia either aondokena huyu mamaake mlezi maana yetu nae sio habba atokubali kwa jinsi navyo mjua mama pia ana pressure, au huyu mama aondoke mwenyewe maana kaka hata hajigusi wala kumhofia maza. Nifanyeje wakuu
Una ushahidi hao wasichana anakuja nao home anawalalaga? Maana umesema alishagaleta hadi sister! Wakati sister huwa hawana mambo hayo.....
Chunguza vizuri huenda ni watu anaoshiriiana nao katika kazi zake.
 
Kwan bro ana mpango wa kukaa hapo hadi lini.....?

Muulize ana mpango gan kwa saiz wa maisha yake...?

Akikujibu hilo swali hapo utajua umwambie nn
Anajenga, angekua amemaliza sema starehe.
 
Una ushahidi hao wasichana anakuja nao home anawalalaga? Maana umesema alishagaleta hadi sister! Wakati sister huwa hawana mambo hayo.....
Chunguza vizuri huenda ni watu anaoshiriiana nao katika kazi zake.
Wanalala chumba kimoja sasa cjawahi fuatilia zaidi wanafanyaga nini ndani japo kwakawaida lazima nikujamiana unless otherwise
 
Na wswas na mtoa mada Mara anasema Naomba mxada Mara mama anakuja kuongea nae Mara naogop kumwambia.. Aaaakh!!! Unanvuruga
 
Wanalala chumba kimoja sasa cjawahi fuatilia zaidi wanafanyaga nini ndani japo kwakawaida lazima nikujamiana unless otherwise
Basi fanya utafiti kwanza. Huyo kaka 'ako alpokuwa deported unasema alijiingiza kwenye shughuli fulani ndio sababu. Je alijiingiza kwenye ushoga?
Nauliza kwa nia njema tuu...
 
Wanalala chumba kimoja sasa cjawahi fuatilia zaidi wanafanyaga nini ndani japo kwakawaida lazima nikujamiana unless otherwise

Ww ukilala na mumeo chumb kimoja mnfanyaga nn?!
 
Na wswas na mtoa mada Mara anasema Naomba mxada Mara mama anakuja kuongea nae Mara naogop kumwambia.. Aaaakh!!! Unanvuruga
Pamoja nakwamba anakuja mama ila namimi niwe nachakuongea nae.
 
aisee ana miaka 35 na bado unaishi nae na umeruhusu nyumba yako iafanye gesti...hivi mumeo akija na hizi taabia za kakako nae anazitazama tu au hua anahama.
Huu ugojwa umeulea wewe dada, siku ya kwanza alivyoleta demu humo ndani ndio hapo hapo ulitakiwa ukatae kata kata hizo tabia chafu sasa kashaloea ndio sababu mama anakuja unaona ipo tatizo.
Tatizo ni wewe au hua unafaidi mapishi ya hao akina kuletwa nini?
Nyumba yako lazima uiheshimu
 
Back
Top Bottom