lamar69
Member
- Jan 13, 2018
- 42
- 20
Habari zenu ndugu zangu,
Naomba nipate muundo wa barua ya uhamisho kutoka Chuo kwenda Chuo kwa mtu yoyote anayefahamu. Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza ninayehitaji kuhama kutoka Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) kwenda University of Dar es Salaam (UDSM). Naombeni msaada wenu ndugu zangu.
Ahsanteni.
Naomba nipate muundo wa barua ya uhamisho kutoka Chuo kwenda Chuo kwa mtu yoyote anayefahamu. Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza ninayehitaji kuhama kutoka Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) kwenda University of Dar es Salaam (UDSM). Naombeni msaada wenu ndugu zangu.
Ahsanteni.