situjadiriane

Member
Jan 5, 2023
28
37
Ndugu Wana jamvi naomba munisaidie, hivi iliuunganishiwe umeme na Tenesco unatakiwa kufanya nini?

Mimi ni mwenyeji Wa Mwanza, nimefanya jitihada zote ili niunganishiwe umeme imeshindikana. Ndio maana nauliza wanaounganishiwa umeme wanatumia njia gani?
 
Ukiwapa pesa NZURI wale Jamaa wa Emergency 🦺 wanakuja kukufungia Usiku mnene, Ofisi inajua wako kwenye dharura kumbe wako kwako wanapiga kazi
 
Ndugu Wana jamvi naomba munisaidie, hivi iliuunganishiwe umeme na Tenesco unatakiwa kufanya nini?

Mimi ni mwenyeji Wa Mwanza, nimefanya jitihada zote ili niunganishiwe umeme imeshindikana. Ndio maana nauliza wanaounganishiwa umeme wanatumia njia gani?
Upo mwanza sehemu gani?je umeshalipia au upo kwenye stage gani?
 
Ndugu Wana jamvi naomba munisaidie, hivi iliuunganishiwe umeme na Tenesco unatakiwa kufanya nini?

Mimi ni mwenyeji Wa Mwanza, nimefanya jitihada zote ili niunganishiwe umeme imeshindikana. Ndio maana nauliza wanaounganishiwa umeme wanatumia njia gani?
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, TANESCO kwenye suala la kuunganisha umeme siku hizi hawana longolongo, kuna site kadhaa mikoa tofauti nilikua na simamia katika kipindi cha mwisho wa mwaka 2022. Na kila nilipofikia suala la umeme haikichukua zaidi ya siku 5 mpaka kuunganishwa na huduma kwa site zotee na hapo hata ofisi za TANESCO sijafika.
Kikubwa tumia application yao ya NIKONEKT unai-download app store.
 
Ndugu Wana jamvi naomba munisaidie, hivi iliuunganishiwe umeme na Tenesco unatakiwa kufanya nini?

Mimi ni mwenyeji Wa Mwanza, nimefanya jitihada zote ili niunganishiwe umeme imeshindikana. Ndio maana nauliza wanaounganishiwa umeme wanatumia njia gani?
Ndugu Mteja

Tafadhali onesha namba ya ombi au namba ya simu uliyofanyia maombi ya kuunganishiwa umeme kwa hatua zaidi
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, TANESCO kwenye suala la kuunganisha umeme siku hizi hawana longolongo, kuna site kadhaa mikoa tofauti nilikua na simamia katika kipindi cha mwisho wa mwaka 2022. Na kila nilipofikia suala la umeme haikichukua zaidi ya siku 5 mpaka kuunganishwa na huduma kwa site zotee na hapo hata ofisi za TANESCO sijafika.
Kikubwa tumia application yao ya NIKONEKT unai-download app store.
Tunashukuru kwa ushuhuda mzuri
 
…@tanesco na kubadilisha laini kutoka two phase kwenda three phase inachukua siku ngapi baada ya malipo?
 
Welldone Tanesco!,kitendo cha kujibu within mins mmenifariji sana, Tanesco tatizo la load shedding lipo kote hasa hapa SADC ila naomba mjitahidi kuendelea kutafuta vyanzo mbadala ili kupunguza makali, mfano ruhusini watu binafsi wazalishe umeme then wawauzie.
 
Fanya haya kabla ya kuomba umeme
1 fanya wayaring ya nyumba yako
2 weka chuma la kupokelea umeme
3 hakikisha waya wa kupokelea umeme uweweka
Kisha

Utajaza fom ya kuomba kuingiziwa umeme kwa njia ya simu (nikonekt)
Utapata namba ya fomu bada ya kuomba kwa kujaza taarifa sahihi kulingana na taarifa zako za kitambilisho chako cha taifa.
Namba hiyo ukiipata na ukitulia nayo basi tatizo sio tanesco tena
Namba hiyo ipeleke kwa mkandalasi alieidhinishwa na tanesco wenyewe,
Ukiisha ipeleka tu huko kazi yako imekwisha
Kwani...
Mkandalasi ataijaza na kuituma tanesco
(Kumbuka mkandalasi akiituma tu taarifa yako na wewe unapata ujumbe kwenye simu yako kwa njia ya sms)

Baada ya hapo utapimiwa na surveyors wa tanesco ...utasubiri kidogo kupata control number ambayo utalipia bei iliyoainishwa kulingana na ulipo
Kisha utafungiwa umeme

[mention]TANESCO [/mention] kama kuna sehemu nmekosea nisahihisheni
 
Welldone Tanesco!,kitendo cha kujibu within mins mmenifariji sana, Tanesco tatizo la load shedding lipo kote hasa hapa SADC ila naomba mjitahidi kuendelea kutafuta vyanzo mbadala ili kupunguza makali, mfano ruhusini watu binafsi wazalishe umeme then wawauzie.

Ni changamoto
Ila ki uharisia kutengeneza mradi mwingine wa umeme kwa haraka ni ghali na sio rahisi kiasi hicho
Muhimu wangefanya power backup ya maana tu
 
Ni changamoto
Ila ki uharisia kutengeneza mradi mwingine wa umeme kwa haraka ni ghali na sio rahisi kiasi hicho
Muhimu wangefanya power backup ya maana tu
Fair enough mkuu ila umeme wa upepo, solar energy, coal, hep(umeme huu upo sana hasa kwenye private hospital, au monasteries)ziada yake Tanesco wanaweza nunua, na ushauri mwingine Tanesco wabakiwe na kazi ya kusambaza umeme wasiwe wazalishaji, uzalishaji wapewe wengine,elewa CHINA 🇨🇳 umeme mwingi unazalishwa na private providers
 
Ndugu Wana jamvi naomba munisaidie, hivi iliuunganishiwe umeme na Tenesco unatakiwa kufanya nini?

Mimi ni mwenyeji Wa Mwanza, nimefanya jitihada zote ili niunganishiwe umeme imeshindikana. Ndio maana nauliza wanaounganishiwa umeme wanatumia njia gani?
Tanesco wamekujibu hapo chini, PM informations zako kwao ikiwa ni pamoja na namba ya ombi
 
Back
Top Bottom