dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,809
- 61,675
Tz hakuna load shedding labda kama hujui load shedding maana yakeload shedding
sema 'outage' inatosha
Tz hakuna load shedding labda kama hujui load shedding maana yakeload shedding
Kwanza nitoe shukrani zangu za dhati kwa Tanesco kwa kunijibu kabla sijaweka namba yaombi.namba ya malipo control namba ambayo nilituma kufanya malipo naomba kuuliza kihalali mteja anatakiwa kungojea siku Ngapi kupata huduma ya umeme toka alipofanya malipo. Nikipata jibu Hilo nitakuwa na uwezo Wa kujua kama ni mechelewa au Mimi Nina haraka. Nikisha pata jibu nitaweka vielelezo vyote na tanguliza shukraniNdugu Mteja
Tafadhali onesha namba ya ombi au namba ya simu uliyofanyia maombi ya kuunganishiwa umeme kwa hatua zaidi
Habari, Tunapenda kukujulisha kuwa muda wa kufungiwa umeme inategemeana na umbali kati ya nyumba yako na miundombinu ya umemeKwanza nitoe shukrani zangu za dhati kwa Tanesco kwa kunijibu kabla sijaweka namba yaombi.namba ya malipo control namba ambayo nilituma kufanya malipo naomba kuuliza kihalali mteja anatakiwa kungojea siku Ngapi kupata huduma ya umeme toka alipofanya malipo. Nikipata jibu Hilo nitakuwa na uwezo Wa kujua kama ni mechelewa au Mimi Nina haraka. Nikisha pata jibu nitaweka vielelezo vyote na tanguliza shukrani