Msaada: Jinsi ya kutengeneza kituo (kidogo) cha fm radio

MC RAS PAROKO

JF-Expert Member
Feb 14, 2013
623
595
Habari wanajukwaa,
naamini kwenye jukwaa hili kuna wataalamu wa kada mbali mbali na ndio sababu ya jf kuheshimika na kuzidi kuwa na wanachama wengi tujipongeze kwa hilo. Bila kupoteza muda niende kwenye mada yangu ya msingi inayohusu jinsi ya kuunda kituo cha radio kwa kutumia vifaa vya radio vya kawaida kwani naamini inawezekana kwa yeyote anayefahamu tafadhali atujuze ni vifaa gani vinavyotumika na jinsi ya kuviunganisha viweze kufanya kazi ya kurusha matangazo. Natanguliza heshma kwenu wakuu naomba kuwasilisha..karibuni tujadiliane
 
Habari wanajukwaa,
naamini kwenye jukwaa hili kuna wataalamu wa kada mbali mbali na ndio sababu ya jf kuheshimika na kuzidi kuwa na wanachama wengi tujipongeze kwa hilo. Bila kupoteza muda niende kwenye mada yangu ya msingi inayohusu jinsi ya kuunda kituo cha radio kwa kutumia vifaa vya radio vya kawaida kwani naamini inawezekana kwa yeyote anayefahamu tafadhali atujuze ni vifaa gani vinavyotumika na jinsi ya kuviunganisha viweze kufanya kazi ya kurusha matangazo. Natanguliza heshma kwenu wakuu naomba kuwasilisha..karibuni tujadiliane
Radio Producer kuja hapa
 
Last edited by a moderator:
je kibali umepata? . kukwepa gharama unaweza tumia kompyuta tu na mambo yakajipa. kama utaki hiyo we tafuta mixa. microfoni. saund prosesa na transimita
 
Cc Radio Producer



Huyu jamaa ni mtaalam wa hayo tena ana
thread zake nyingi na nzuri zenye michanganua
ya A-Z kuhusu Radio Station.
 
jaribu kupeleka tangazo lako la biashara ktk kituo chochote cha fm alafu waambie lilushwe mara tatu kwa siku kisha lete majibu hapa
 
Habari wanajukwaa,
naamini kwenye jukwaa hili kuna wataalamu wa kada mbali mbali na ndio sababu ya jf kuheshimika na kuzidi kuwa na wanachama wengi tujipongeze kwa hilo. Bila kupoteza muda niende kwenye mada yangu ya msingi inayohusu jinsi ya kuunda kituo cha radio kwa kutumia vifaa vya radio vya kawaida kwani naamini inawezekana kwa yeyote anayefahamu tafadhali atujuze ni vifaa gani vinavyotumika na jinsi ya kuviunganisha viweze kufanya kazi ya kurusha matangazo. Natanguliza heshma kwenu wakuu naomba kuwasilisha..karibuni tujadiliane

Rafiki nilikuwa mbali bana si unajua maisha haya, niko busy kuweka sawa ofisi za kampuni yetu ambayo inashughulika na haya masuala (Radio Consult Company Limited).

Hebu jibu maswali yafuatayo kwanza:-

1. Unataka isikike umbali gani?
2. Una kampuni, taasisi yoyote iliyosajiriwa kiserikali?
3. Kwanini unataka kuanzisha radio?
4. Ni kweli uko tayari kuanzisha radio station?
Nakuwekea approx unatakiwa uwe na angalau Tshs 30,000,000/= full project kwa radio ndogo atleast coverage Kilometer 45-80.

Zaidi zaidi tuwasiliane kwa email hii consultancy@radiotz.com

Karibu sana!
 
Habari wanajukwaa,
naamini kwenye jukwaa hili kuna wataalamu wa kada mbali mbali na ndio sababu ya jf kuheshimika na kuzidi kuwa na wanachama wengi tujipongeze kwa hilo. Bila kupoteza muda niende kwenye mada yangu ya msingi inayohusu jinsi ya kuunda kituo cha radio kwa kutumia vifaa vya radio vya kawaida kwani naamini inawezekana kwa yeyote anayefahamu tafadhali atujuze ni vifaa gani vinavyotumika na jinsi ya kuviunganisha viweze kufanya kazi ya kurusha matangazo. Natanguliza heshma kwenu wakuu naomba kuwasilisha..karibuni tujadiliane

unapaswa uwe na vitu vifuatavyo
1. Transmitter ya fm
2. antena yake
3. Studio ya kurushia matangazo
4. sehem ya mnara wa kufungia antenna
5. Ftequency ya kurushia toka TCRA
6. Mafundi na watangazaji
7. Busines plan ya radio (commercial au community)
8. Eneo lenye usalama wa kutosha (liwe na geti ikiwezekana)
9. Uwe na memorandum na shareholders wa station (hairuhusiwi kwa mtu binafsi kumiliki 100% lazima kuwe na watu wengine ambao watasimama badala yako kama hautakuwepo)
10. Uwe na ratiba ya vipindi kwa wiki nzima
11. UWE NA KIBALI CHA KURUSHA MATANGAZO toka TCRA
 
unapaswa uwe na vitu vifuatavyo
1. Transmitter ya fm
2. antena yake
3. Studio ya kurushia matangazo
4. sehem ya mnara wa kufungia antenna
5. Ftequency ya kurushia toka TCRA
6. Mafundi na watangazaji
7. Busines plan ya radio (commercial au community)
8. Eneo lenye usalama wa kutosha (liwe na geti ikiwezekana)
9. Uwe na memorandum na shareholders wa station (hairuhusiwi kwa mtu binafsi kumiliki 100% lazima kuwe na watu wengine ambao watasimama badala yako kama hautakuwepo)
10. Uwe na ratiba ya vipindi kwa wiki nzima
11. UWE NA KIBALI CHA KURUSHA MATANGAZO toka TCRA
dah kumbe nishidah sana aiseee mmmh basi tengeneza internet radio tuu
 
Back
Top Bottom