Kigger
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 805
- 710
Habari wadau wa wa jf! Naamini wazima basi mapema leo hii tunajifunza namna ya kufungua kituo cha zadio (online radio), lazima uwe na malengo nini unaenda kufanya ili uweze kufanya kitu kizuri zaidi.
Mahitaji
1) Logo
2) Jina la radio
3) Website
4) Email (gmail)
Baada ya kuwa na mahitaji hayo tunaazisha radio kupitia simu ya mkononi na kama hauna website pia usiwaze ili lakini directories nyingi awawezi kusubmit kituo cha cha radio bila we site chache tu ndizo ninaweza ambazo nazo hazina wasikilizaji wengi kama tunein,radio garden,simple radio, ambazo zina wasikilizaji wengi awawezi kukuweka kama huna website.
Kwenye kuazisha kituo cha radio (online radio) lazima tutumia server za watoa huduma mbali mbali kama utahitaji server ya bure au ya kulipia inategemea na wewe utakavo pendelea.
Nitawapa server chache ambazo ni nzuri.
ZA BURE
ZENO- hii site utaazisha bure kituo cha utapangilia list ya nyimbo na vipindi unaweza kuaweka hadi nyimbo 500
Kungia zeno andika tool.zeno.fm
Dashboard za zeno nilianza na hii na sasa natumia radiolize
ZA KULIPIA
1) RADIOLIZE - Hii ni nzuri mno ila utahitaji kulipia kiasi kuanzi dola 5 kila mwezi nawanakupa wastani wa gb 5 na kuendelea izo gb 5+ utapangilia vipindi vyako na nyimbo pamoja na matangazo,sasa ile zeno haina kupangilia vipindi unaweka kwenye flash vitajiplay bila kua na mtiririko mzuri,pia radiolize itaonyesha vizuri msikilizaji alipo kama yupo ilala,chanika na amesikiliza kwa muda gani na anatumia simu gani itaonyesha,kuingia kwenye website ya ilifungue radio radiolize.com
Hiii ni dashboard ya kutuo changu natumia radiolize
Kama utahitaji kulipia utahitaji uwe na MasterCard au utumie lipa kwa mpesa
Kuhusu faida utakayo ipata inategemea na jinsi wewe utakavo endesha na kuwekeza ,faida ipo
Mahitaji
1) Logo
2) Jina la radio
3) Website
4) Email (gmail)
Baada ya kuwa na mahitaji hayo tunaazisha radio kupitia simu ya mkononi na kama hauna website pia usiwaze ili lakini directories nyingi awawezi kusubmit kituo cha cha radio bila we site chache tu ndizo ninaweza ambazo nazo hazina wasikilizaji wengi kama tunein,radio garden,simple radio, ambazo zina wasikilizaji wengi awawezi kukuweka kama huna website.
Kwenye kuazisha kituo cha radio (online radio) lazima tutumia server za watoa huduma mbali mbali kama utahitaji server ya bure au ya kulipia inategemea na wewe utakavo pendelea.
Nitawapa server chache ambazo ni nzuri.
ZA BURE
ZENO- hii site utaazisha bure kituo cha utapangilia list ya nyimbo na vipindi unaweza kuaweka hadi nyimbo 500
Kungia zeno andika tool.zeno.fm
Dashboard za zeno nilianza na hii na sasa natumia radiolize
ZA KULIPIA
1) RADIOLIZE - Hii ni nzuri mno ila utahitaji kulipia kiasi kuanzi dola 5 kila mwezi nawanakupa wastani wa gb 5 na kuendelea izo gb 5+ utapangilia vipindi vyako na nyimbo pamoja na matangazo,sasa ile zeno haina kupangilia vipindi unaweka kwenye flash vitajiplay bila kua na mtiririko mzuri,pia radiolize itaonyesha vizuri msikilizaji alipo kama yupo ilala,chanika na amesikiliza kwa muda gani na anatumia simu gani itaonyesha,kuingia kwenye website ya ilifungue radio radiolize.com
Hiii ni dashboard ya kutuo changu natumia radiolize
Kama utahitaji kulipia utahitaji uwe na MasterCard au utumie lipa kwa mpesa
Kuhusu faida utakayo ipata inategemea na jinsi wewe utakavo endesha na kuwekeza ,faida ipo