Msaada: FM radio transmitter

Aleco Phd

Member
Jun 30, 2021
15
5
Heshima kwenu na Kheri ya mwaka mpya 2023!

Toka nikiwa primary nimevutiwa sana na kumiliki RADIO and TV stations kutoka na ukweli kwamba napenda sana journalism na social media kiujumla.

Baada ya kuhitimu chuo, 2016 (Not Journalism) nilifanikiwa kuanzisha kituo cha redio - local kijijini kwetu. Niliunda kijitransmitter kidogo na studio sikuwa na mixer wala vifaa vyovyote vya kisasa bali ni UFARAGUZI tu ulisaidia.Kituo kilirusha matangazo ndani ya kata moja tu kwa idhini ya serikali ya kijiji kwa miezi minne tu na niliachana nacho coz nilitakiwa nisafiri kwa muda mrefu.

Saivi nimeona fursa mahali, nimerudi hapa ili mchongo usinipite.
... ... ...

Niko hapa kuona msaada kwenu wataalamu wa ELECTRONICS. Nahitaji HOME-MADE FM RADIO TRANSMITTER pamoja na ANTENNA yake zinazoweza kutransmit at least mkoa mmoja (not less than1kW).
DM tufanye biashara kwa aliye tayari kunitengenezea tafadhali.

NB: Nahitaji home - made 'coz bajeti hairuhusu kuagiza za kizungu, pia ni imara na powerful zaidi.

Kwa sasa niko kanda ya ziwa.
Shukrani, MUNGU awabariki na mwaka ukawe wa mafanikio zaidi kwetu sote.
Amen.
 
Heshima kwenu na Kheri ya mwaka mpya 2023!

Toka nikiwa primary nimevutiwa sana na kumiliki RADIO and TV stations kutoka na ukweli kwamba napenda sana journalism na social media kiujumla.

Baada ya kuhitimu chuo, 2016 (Not Journalism) nilifanikiwa kuanzisha kituo cha redio - local kijijini kwetu. Niliunda kijitransmitter kidogo na studio sikuwa na mixer wala vifaa vyovyote vya kisasa bali ni UFARAGUZI tu ulisaidia.Kituo kilirusha matangazo ndani ya kata moja tu kwa idhini ya serikali ya kijiji kwa miezi minne tu na niliachana nacho coz nilitakiwa nisafiri kwa muda mrefu.

Saivi nimeona fursa mahali, nimerudi hapa ili mchongo usinipite.
... ... ...

Niko hapa kuona msaada kwenu wataalamu wa ELECTRONICS. Nahitaji HOME-MADE FM RADIO TRANSMITTER pamoja na ANTENNA yake zinazoweza kutransmit at least mkoa mmoja (not less than1kW).
DM tufanye biashara kwa aliye tayari kunitengenezea tafadhali.

NB: Nahitaji home - made 'coz bajeti hairuhusu kuagiza za kizungu, pia ni imara na powerful zaidi.

Kwa sasa niko kanda ya ziwa.
Shukrani, MUNGU awabariki na mwaka ukawe wa mafanikio zaidi kwetu sote.
Amen.
Siku ukitaka kizungu nistue
 
Back
Top Bottom