ankai
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 3,280
- 4,236
Wakuu kwema, ebhana nahitaji kumfatilia mtu mpaka nimfikie alipo kwa kutumia simu au kifaa chochote ila uyu mtu hatumii simu ya smartphone anatumia simu ya kawaida ivyo naomba kwa yeyote mwenye kujua naweza kutumia njia gani kumtrack huyu mtu mpaka nikamfikia alipo tafadhali naomba sana anisaidie maana naamini atakuwa msaada na kwa wengine
Natanguliza shukrani sana kwa yeyote ambaye atajitokeza kunisaidia katika ili tatizo langu naombeni sana wadau mnisaidie najua humu kuna magwiji kweli kweli tafadhali naomba ushauri wenu huyu mtu anatumia simu ya kawaida na siyo smartphone!!
Natanguliza shukrani sana kwa yeyote ambaye atajitokeza kunisaidia katika ili tatizo langu naombeni sana wadau mnisaidie najua humu kuna magwiji kweli kweli tafadhali naomba ushauri wenu huyu mtu anatumia simu ya kawaida na siyo smartphone!!