Daktari wa Meno
JF-Expert Member
- Sep 5, 2019
- 509
- 1,617
Unaposema hakuna mtu wa kufanya hivyo humu nakuona kama unadharau hili jukwaa.Mkuu Ufahamu hilo nikosa kisheria sasa nitoe maelezo yakufanya hiyo kaz then niingie matatizoni labda DM
Unaposema hakuna mtu wa kufanya hivyo humu nakuona kama unadharau hili jukwaa.Mkuu Ufahamu hilo nikosa kisheria sasa nitoe maelezo yakufanya hiyo kaz then niingie matatizoni labda DM
M2 mbili ndo nini mzee sijakuelewa kaka!!Kama ni very urgent weka ubaoni mita 5 kama ni ya kuifatilia ki normally utaweka ubaoni mita 2...Upfront.
Kama una iweza hii kazi tafadhali njoo Dm tuelewane mzee nitakulipa pls wala hautofanya bure mkuu
Unaposema hakuna mtu wa kufanya hivyo humu nakuona kama unadharau hili jukwaa.
Nisiponyamaza utanifanya nini?We Ujaelewa nilichomaanisha bora unyamaze tu.
Kaka msigombane kwa sababu ya huu pls mi nahitaji msaada apa wazee na si namna hii maana ntashindwa mkianza haya!!Nisiponyamaza utanifanya nini?
Kaka nimeuliza mita 5 na mita mbili ndio nini nieleweshe mzeeKama ni very urgent weka ubaoni mita 5 kama ni ya kuifatilia ki normally utaweka ubaoni mita 2...Upfront.
Ivi why watu mnakuwaga na mawazo hasi kwenye kila kitu inamaana sisi watu wa kawaida hatuwezi kuwa na shida ya aina hii mpaka wawe watu wabaya!Teeth linaweka mtego wake, muda c mrefu litavua thamaki, acheni tamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
itamke kama ulivyoandika mkuu.
Teeth nao wapo kimya covid19 imeweka uthawa!! watu hawaendi kichwa kichwa mwanangu(in askofu maboya voice).Teeth linaweka mtego wake, muda c mrefu litavua thamaki, acheni tamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu pm nimekutumiaWakuu kwema, ebhana nahitaji kumfatilia mtu mpaka nimfikie alipo kwa kutumia simu au kifaa chochote ila uyu mtu hatumii simu ya smartphone anatumia simu ya kawaida ivyo naomba kwa yeyote mwenye kujua naweza kutumia njia gani kumtrack uyu mtu mpaka nikamfikia alipo tafadhali naomba sana anisaidie maana naamini atakuwa msaada na kwa wengine
Natanguliza shukran sana kwa yeyote ambaye atajitokeza kunisaidia katika ili tatizo langu naombeni sana wadau mnisaidie najua umu kuna magwiji kweli kweli tafadhali naomba ushauri wenu uyu mtu anatumia simu ya kawaida na siyo smartphone!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna applicatipn inauzwa..unachofanya nikuweka namba ya simu then kila ukimpgia inakua inaonyesha alipoApana wala hajaniibia mkuu kama unaweza kuifanya hii kazi tafadhali njoo Dm tufanye maongezi ili unifanyie kazi yangu mzee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una sh ngpi nikuuzie applicatMkuu tafadhali nahitaji msaada sana sana kwa ili naomba kama unaye mtu anayeweza kulifanya hili basi nisaidie kiongozi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiaje??mimi kuna mtu ananifuatilia na sijui jinsi ya kumzuia..help please