Msaada - Jinsi ya kulipia akaunti ya Gmail

Si lazima iwe BankABC.
Waweza tumia Equity / CRDB / UBA / etl
Angalia ni benk ipi ipo eneo husika , nenda kaulize huduma
Asante sana kwa ushauri wako, binafsi sihitaji Visa card ambayo imeunganishwa na account yangu, nilitaka kupata ya BancABC kwa sababu ntakuwa najaza pesa pekee na nafanya manunuzi na si kupitia account yangu ya Benki ambayo benki zingine zinafanya hivyo.
 
Hata Mimi hiyo ya BancABC naona ni nzuri zaidi kwasababu inakuweka salama na taarifa zako za akaunti ya benki.
Na hii unaweza ukatop up pale unapohitaji kufanya transaction nimeipenda ntaitafuta
 
nilitaka kupata ya BancABC kwa sababu ntakuwa najaza pesa pekee na nafanya manunuzi na si kupitia account yangu ya Benki
Nimekuelewa vyema

Si kweli kuwa ni benki ABC pekee inayotoa cash card,

Zipo pia benk zingine kama Equity , UBA, hata NMB kwa sasa, unapewa card ndani ya dakika chache baada ya kujaza fomu

Ndio sababu nilishauri angalia benki iliyo karibu nawe.
 
Nashukuru mkuu imeshakubali ku link na paypal na purchase nkafanya bila kujaza verification code vip itakuwa na usumbufu wowote bila kuijaza hyo code??
 
Nashukuru mkuu imeshakubali ku link na paypal na purchase nkafanya bila kujaza verification code vip itakuwa na usumbufu wowote bila kuijaza hyo code??
Haina usimbufu. Wowote.

Karibu
 
Naomba kujuzwa wadau,delivery ya mzigo uliokwisha lipia inakuaje kwa mimi wa mkoani?Na kwa nini kwa kitumia kadi za viza ambazo zina link na account yako inasemekana sio nzuri kwakuwa unakuwa ume expose acc.details zako,ina maana hawa ebay na wengineo hawaaminiki kiasi hicho?
 
Mwl. Msaada wako lazima niconfirm kad ya bank baada ya kuilink na pay pal ili niweze kuitumia je kama unatumia kaz ya Equity nawezaje kupata zile code za kuconfirm.. Nazipataje na wapi baada ya PayPal kukata ile dollar 1.8...
 
Reactions: Dyf
Nazipataje na wapi baada ya PayPal kukata ile dollar 1.8...
Nenda tawi la benki kalibu nawe - omba account statement utazona codes husika kwenye huo muamala wa 1.8usd
Mwl. Msaada wako lazima niconfirm kad ya bank baada ya kuilink
Si lazima ,kikubwa ni kufanikiwa ku_link card husika.
Fanya manunuzi na muamala utakamilika bila tatizo.
Zoezi la ku_confirm kadi utafanya wakati wowote.
 
Reactions: Dyf
Baada ya kufanya transaction nawezaje kuangalia statement za online transaction.. Kwa bank ya Equity mkuu samahan kwa maswal kidogo. Au app ya Ezzy247. Inaonyesha pia.
 
Reactions: Dyf
Baada ya kufanya transaction nawezaje kuangalia statement za online transaction.
Baada ya kufanya manunuzi
- Utapokea sms - ikiwa na taarifa zote muhimu kuhusu huo muamala
- Pia ukiangalia kwenye app utaona muamala husika.
Au app ya Ezzy247. Inaonyesha pia.
Taarifa utakayopata ni kiasi cha fedha kilichokatwa
Ukiitaji details zaidi ya hayo malipo
- Ingia paypal na click muamala husika
- Pia waweza kwenda benki na kuomba account statement
 
Reactions: Dyf
Shukrani
 
Kwa sasa wanafanya kwa tsh 15'000, badala ya kiwango cha awali cha 5'000.

itagata , uzuli wa bankABC utaweza anza kuitumia kadi yako ndani ya dk.30 baada ya kukamilisha ujazaji wa fomu. Na kuweka kiasi unachotaka kutumia.
Hivi mkuu kati ya Card ya usd na ya Tsh ipi ina makato madogo? nauliza hivyo kwa sababu nilikuwa na card ya usd sasa unakuta nimedeposit $100 lakini nakuta nina $70, mpaka ikabidi niachane nao niende equity, makato yao sikuyaelewa, hebu nifafanulie kidogo
 
nauliza hivyo kwa sababu nilikuwa na card ya usd sasa unakuta nimedeposit $100 lakini nakuta nina $70,
Inatakiwa ufahamuaina tofauti tofauti account katika benki husika.
Kuna account zenye makato na accountzisizo na makato.
Pitaia hii thread:
Hivyo fanya uchaguzi sahihi wa benki na aina ya account unayohitaji.
Hivi mkuu kati ya Card ya usd na ya Tsh ipi ina makato madogo?
Sio card ya USD au TZS.
Bali unatakiwa kujua nia aina gani ya account yenye makato kidogo aua isiyo na makato kabisa.
 
Hivi bancABC naweza ipata mkoani.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…