Panda Allys Bus ya Bariadi au gari zinazoenda Musoma Utashuka Maswa hapo utapata Gari za MeatuWADAU,
NAOMBA MUONGOZO, NATAKA KWENYE MEATU DC, MKOA WA SIMIYU KUANGALIA FURSA YA MIFUGO. MABASI GANI NIPANDE KUTOKEA DAR TO MEATU NA NI MASAA MANGAPI YANACHUKUA? PIA KIJIJI GANI KUNA MNADA MKUBWA WA MIFUGO? ASANTENI.
Au aende mpaka Mkalama singida atapata gari za kutoka Mkalama mpaka MeatuPanda Allys Bus ya Bariadi au gari zinazoenda Musoma Utashuka Maswa hapo utapata Gari za Meatu
Lakini unaweza kufuata ushauri wa mdau hapo juu, Bariadi kuna mnada mkubwa wa mifugo pia
Meatu kitambo sana pale town panaitwa MhunzeAu aende mpaka Mkalama singida atapata gari za kutoka Mkalama mpaka Meatu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Mhunze ni MwanuziMeatu kitambo sana pale town panaitwa Mhunze
Panda gari toka Dar mpaka singida mjini halafu panda gari inayoitwa Tunda Best au gari yeyote mpka MeatuWadau,
Naomba muongozo, nataka kwenda Meatu Dc, mkoa wa Simiyu kuangalia fursa ya mifugo. Mabasi gani nipande kutokea Dar to Meatu na ni masaa mangapi yanachukua? Pia kijiji gani kuna mnada mkubwa wa mifugo?
Asanteni.
Meatu Dume Sana Maarufu Mwanhuzi Sasa Ikitamkwa Kisukuma Oops UtachekaSio Mhunze ni Mwanuzi
Mwanhuzi ndo makao makuu ya wilaya ya MeatuMeatu Dume Sana Maarufu Mwanhuzi Sasa Ikitamkwa Kisukuma Oops Utacheka
Ukikutana Na Wenyeji Ukiwaambia Unakwenda Meatu Inakuwa Ngumu KukuelekezaMwanhuzi ndo makao makuu ya wilaya ya Meatu
Ahsante sana mkuu!Pia unaweza fika mnada wa SENANI-maswa mifugo mingi. Ukiwa na barabara ya maswa bariadi. Unashuka kijiji cha NGULINGULI then unaenda BUSHASHI Hadi mwabayanda ndo SENANI ulipo
Meatu kitambo sana pale town panaitwa Mhunze
Meatu Sijui, ila Bariadi Town kuna Soko kubwa la mnada wa Ng'ombe na Mbuzi, Jumanne na Jumamosi kama bado hawajabadilisha.
Sio kweli mhunze ni kishapu, meatu ni mwanhuziMeatu kitambo sana pale town panaitwa Mhunze