Msaada jamani, Nashindwa kumuambia

Msaada jamani, Nashindwa kumuambia

Miaka 18 kwa mvulana bado sana kujitambua kwa maswala ya kimapenzi as far as i understand without liability, hebu tulia kwanza muache na binti asome na akue, then ukianza twenty something then ujiulize if u still have the same feelings on that girl .....j2 njemaa
 
Miaka 18 kwa mvulana bado sana kujitambua kwa maswala ya kimapenzi as far as i understand without liability, hebu tulia kwanza muache na binti asome na akue, then ukianza twenty something then ujiulize if u still have the same feelings on that girl .....j2 njemaa

unaushaur mzur xana ila kwa hili swala haina jinsi inabd 2 unipe ushaur wa kunisaidia mda huu maana nateseka
 
Jamani naombeni mnishauri kuna msichana mzuri ameamia mtaani kwetu na huwa anakuja kuchota maji nyumbani tatizo nashindwa kumwambia naombeni ushauri wenu wana j.f
Ng'oa hiyo bomba hapo nyumbani kwani ndio inasababisha huyo she anakuja nyumbani nawe umuonapo unapata mfadhaiko. Utakuwa umetatua tatizo maana hatakuja tena nyumbani.
 
Jamani naombeni mnishauri kuna msichana mzuri ameamia mtaani kwetu na huwa anakuja kuchota maji nyumbani tatizo nashindwa kumwambia naombeni ushauri wenu wana j.f
Unabalehe vibaya wewe! Kaa chonjo watakuumbua!
 
Hahahaaa...
Demu akichomoa basi unamfungulia mashitaka ya kupuuza mamlaka zilizowekwa kisheria.

hata kama hutaki kucheka ukiingia jf tu lazima meno yawe nje. Hahahahahahaahahahahahhahhhaaahaahhahhahhhhhaaaa!!!!
 
Back
Top Bottom