Barnaba mbalale
Member
- Apr 4, 2014
- 55
- 6
- Thread starter
- #81
Unabalehe vibaya wewe! Kaa chonjo watakuumbua!
hata mbuyu ulianza kama mchicha
Unabalehe vibaya wewe! Kaa chonjo watakuumbua!
Soma wewe mapenzi yatakufikisha wapi
kwan m2 huwez kupenda ukiwa unasoma!swala ni kujitambua 2
xa nifanyaje!!
Hebu kamalizie home work huko angalia hata uandikaji wako wa kitotoo!! Balehe kazi kweli kweli.
Kuna wengine production ya hormones huchelewa kwa hiyo balehe huenda mpaka miaka 22-24. Kwa hiyo wewe kuwa na 18 years bado sana!miaka 18 kwan mtoto! Wacha kuzngua joh
Kuna wengine production ya hormones huchelewa kwa hiyo balehe huenda mpaka miaka 22-24. Kwa hiyo wewe kuwa na 18 years bado sana!
Kuna wengine production ya hormones huchelewa kwa hiyo balehe huenda mpaka miaka 22-24. Kwa hiyo wewe kuwa na 18 years bado sana!
Jaman me ndo nimefall in lov hvo
18 tosha sana kuwa Dem !
22 - 24 akianza huko ndo atakuwa vokoless kabisa !
weka video.
Kama vipi mwambie tu kwamba ebana mie nakuzimia sana na mind nikufahmu kwa undani niachie namba ya simu kama vp....akikataa basi..kwani shing ngapi@@????
video ya nin
walio serious watamwabia.