Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Mamito,asa ukikubali baada ya harusi huwa kuna hane muni,
Na kinachofanyika huko nasikiaga ni kwa ajili ya wanandoa,
Asa utakifanya alafu kila mtu arudi na magegi yake kwao peke yake?
Km moyo umependa kubali tu yaishe mwenyewe c keshakimbia?
Na kinachofanyika huko nasikiaga ni kwa ajili ya wanandoa,
Asa utakifanya alafu kila mtu arudi na magegi yake kwao peke yake?
Km moyo umependa kubali tu yaishe mwenyewe c keshakimbia?