ameshauriwa haelewi ananingangania mimi eti nimsaidie mimi kweli siwezi kuwa bibi harusi fekihuyo mwanaume si awe mbunifu sometimes uongo hauepukiki. Mfano anaweza sema mtarajiwa wangu amepatwa na kipanda uso gafla na kupelekwa india kwa matibabu zaidi. Hivyo tusubiri akirudi tutapeana tarehe ya harusi wakati huo huo atafute demu mwingine fasta kuliko kufunga ndoa ya kisanii. Smile, usikubali kamwe.
na heri anionje kuliko anioe
na heri anionje kuliko anioe
sio mimi mkuu mbona unanimind mie? Yaani ametuabisha sana mamake yupo hosptal amelazwawatoto wakike siku hizi wamekuwa wehu tareh 5.11 kuna mdada aliolewa tareh 6.11 alfajri akamtoroka mmewe kaenda ubungo kapanda bus hadi tabora kafuata libuzi lake. Tatizo wanawake wanatamaa ndio maana nyoka aliwadanganya kama aumpendi mtu from the begin kuwa muwazi sio kuficha hisia badala ya kudanganyika na vizawadi na pesa.
ameshauriwa haelewi ananingangania mimi eti nimsaidie mimi kweli siwezi kuwa bibi harusi feki
Mbona hujaweka picha yako halisi kama ulivyoahidi... Tungejua kama unafaa kukaa kama bibi harusi feki au lah.Kuna mtoto wa mama yetu mdogo wa kike ndoa yake inatakiwa kufungwa jumamosi hii toka jpili siku moja baada ya send off katoweka nyumban ijuzi katuma sms yupo sweden hataki kuolewa yupo na mzungu wake wa siku nyingibwana harusi kachanganyikiwa hataki kubadili sherehe yeye na ndugu zake wananiomba nikae kama bibi harusi nifoji tukitoka hapo kila mtu na maisha yake mimi kiukweli siwezi nimekataa bado wananisumbua naombeni ushauri jamani nipo serias
Kwa Kweli kama ni kuwa bibi harusi feki usikubali lakini kama ni bibi harusi wa ukweli kubali yaishe, jamaa apate anachokihitaji , ila kumbuka huyo ada aliyekimbia ndo hataweza kukanyaga kwako na mzungu wake kwa aibu - lolameshauriwa haelewi ananingangania mimi eti nimsaidie mimi kweli siwezi kuwa bibi harusi feki
Mbona hujaweka picha yako halisi kama ulivyoahidi... Tungejua kama unafaa kukaa kama bibi harusi feki au lah.
Tatizo mabinti wengi wa kibongo mkipata wazungu mnaona ni ukombozi, au mmetoka mikononi mwa utumwa, kumbe utamu wa asili kwa ajili yenu tunao sisi waswahili wenzenu.