BJBM
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 664
- 602
Habari wakuu,
Napenda niende moja kwa moja ktk mada husika kama inavyojieleza hapo juu. Nataka niingie ktk internet ya 4G kupitia moderm lkn nina upeo mdogo ktk kujua mtandao gani utanifaa.
Vigezo vyangu nahitaji mtandao wenye unafuu wa bundle na speed nzuri ya kudownload, napatikana maeneo ya bunju, Dar. Karibuni kwa ushauri
Napenda niende moja kwa moja ktk mada husika kama inavyojieleza hapo juu. Nataka niingie ktk internet ya 4G kupitia moderm lkn nina upeo mdogo ktk kujua mtandao gani utanifaa.
Vigezo vyangu nahitaji mtandao wenye unafuu wa bundle na speed nzuri ya kudownload, napatikana maeneo ya bunju, Dar. Karibuni kwa ushauri