Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 53,666
- 99,361
Maneno mnayaumba kwa kadiri ya matakwa yenu halafu mumsingizie Koffi?
Uikale chini nikupe bhandi mukubwa yangu. Ule patrol Koffi huwa hatamki matusi. Anatamka... "uma inauma "!Na si vinginevyo. Nitatafuta tafsiri yake (wimbo ule) nikuleteeniSi ndio maana tunauliza tueleweshwe ili tusipoteze maana ya Mwenye muziki wake.
kibantu hicho we unaita kouma inauma ye anamaanisha kingine ,.kuna mahali watu kwao kusema fira ni namba 4 we utasema wanatukana kila ikitajwa,pussy ni kupiga busu we utasema ni wanamaanisha lile tobo.Labda ni maneno ya ki lingala ila yana sounda kama kiswahili.
Ndio ni nyimbo ya kitambo.kibantu hicho we unaita kouma inauma ye anamaanisha kingine ,.kuna mahali watu kwao kusema fira ni namba 4 we utasema wanatukana kila ikitajwa,pussy ni kupiga busu we utasema ni wanamaanisha lile tobo.
jiongeze alafu we umekuja mjini lini?hii nyimbo hata yeye Mopao ukimuuliza haikumbuki
Kabisa, Wabongo ni mafundi wa kuzusha.Maneno mnayaumba kwa kadiri ya matakwa yenu halafu mumsingizie Koffi?