Mnaokosoa kolabo ya Diamond & Koffi msome HAPA

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,229
22,306
Natumaini mko wazima. Kwanza nimshukuru Mungu kwa neema zake. Pia nitoe pole kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kwa kuingia mgogoro na wanachama wake nguli waliokipigania kwa muda mrefu. Siwezi kuongelea hilo hapa ila tambueni msimamo wangu ni kama wa Mh Ndugai na Mh Polepole. Leo nitaongelea suala la huu wimbo wa Komredi Diamond Platinumz akishirikiana na Koffi Olomide (Mopao Mokonzi). Kiukweli wimbo ni mzuri wenye viwango vyote vya kimataifa. Binafsi niseme kada Diamond kakiletea chama heshima na taifa kwa ujumla. Bendera ya chama na taifa kazipeperusha vyema.

Lakini wakati wengi tunasifia kuna baadhi wameibuka na ukosoaji ambao leo nimeamua kutolea ufafanuzi. Mambo yafuatayo yameibuka;

1. Koffi kazingua kutoimba.
2. Alichofanya ni kutaja majina tu kitu ambacho hakina maana.
3. Diamond kaimba mashairi dhaifu.

Mambo mawili ya mwanzo nitautolea ufafanuzi kwa pamoja, Koffi kutoimba na kutajataja majina. Ikumbukwe taratibu za muziki wa kikongo zina utofauti kidogo na Bongo Fleva. Kule wanamuziki huimba LIVE na band. Na kwa taratibu zao huwa ndani ya bendi kuna watu wanaitwa marapa/Animators/Atalaku ambao kazi yao ni kuimba kwa sauti kama za kupayuka pale sebene la kwenye wimbo linapoanza. Wasiojua muziki wa congo ni kwamba nyimbo zao zote huanza kwa kuimba na baadae kufuatiwa na sebene ambapo hao marapa huanza kuimba. Na karibu hit songs zote za Congo huanza na sebene mwanzo mpaka mwisho. Hivyo basi huwezi sikia mwanamuziki mwingine zaidi ya rapa wa bendi akiimba kuanzia mwanzo hadi mwisho wa wimbo. Koffi Olomide kama ilivyo kwa wamiliki wengine wa bendi congo kina JB Mpiana, Werrason, Fally Ipupa na wengine huwa sio rapa. Sio rahisi kuwasikia wakifanya kazi hiyo. Zamani kwenye albamu zake za mwanzo kama V12, Koffi alijitahidi kufanya Animations hata Fally Ipupa kwenye Bakandja alipambana. Tukirudi kwenye point ni kwamba wimbo wa Diamond ni kama ulikuwa sebene mwanzo mwisho hivyo kwa Mopao ilikuwa sawa kabisa kubaki kwenye utaratibu wake ili kuleta ladha kamili ya Mopao.

Sasa kutokana na Koffi kutoimba kwenye hizo hitsongs huishia kuwa back vocalist ambapo huimba kwenye viitikio ambavyo Animator atawaimbisha. Na jambo lingine ambalo hulifanya ni kutaja majina ya watu au makampuni. Hapo kwenye kutaja majina tuangalie kitu kiitwacho MABANGA.

MABANGA ni nini? Huu ni utaratibu wa kutaja majina ya watu kwenye nyimbo kwa malipo ya kiasi fulani cha pesa. Kwa taarifa zisizo rasmi sana ni kwamba ukitaka utajwe kwenye wimbo na Fally Ipupa itabidi ulipie hadi US$1000. Lakini ukiachana na Mabanga ni kwamba kutaja majina huleta ladha fulani nzuri kwenye nyimbo zao. Pia majina mengine hutajwa tu bila kulipiwa. Kwenye wimbo wa Diamond Koffi kataja majina ya familia yake. Ni ngumu kwa wimbo wenye mahadhi ya kikongo kutokuwa na hivyo vionjo vya kutaja majina. Diamond kafanya vyema kwenda sawa na nini wananchi hasa wacongo wanataka. Kibiashara iko sahihi.

Kuhusu Diamond kuimba mashairi mepesi ni hoja ya kupuuzwa na wapenda maendeleo wote. Muziki ni hisia zako tu. Kama wimbo haukupi hisia za kuufurahia achana nao haukuhusu. Kwa mfano hitsong FIESTA ya R Kelly una maana gani? Thong song ya Sisqo una maana gani? Fagilia ya Mr Nice je? Lakini zote zilitikisa ulimwengu. Cha muhimu ni kwenda sawa na BASATA huku ukigusa hisia za wateja. Nihitimishe kwa kuwataka kama taifa tumpongeze Diamond kwa kazi kubwa anayofanya.
 
Natumaini mko wazima. Kwanza nimshukuru Mungu kwa neema zake. Pia nitoe pole kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kwa kuingia mgogoro na wanachama wake nguli waliokipigania kwa muda mrefu. Siwezi kuongelea hilo hapa ila tambueni msimamo wangu ni kama wa Mh Ndugai na Mh Polepole. Leo nitaongelea suala la huu wimbo wa Komredi Diamond Platinumz akishirikiana na Koffi Olomide (Mopao Mokonzi). Kiukweli wimbo ni mzuri wenye viwango vyote vya kimataifa. Binafsi niseme kada Diamond kakiletea chama heshima na taifa kwa ujumla. Bendera ya chama na taifa kazipeperusha vyema.

Lakini wakati wengi tunasifia kuna baadhi wameibuka na ukosoaji ambao leo nimeamua kutolea ufafanuzi. Mambo yafuatayo yameibuka;
1. Koffi kazingua kutoimba.
2. Alichofanya ni kutaja majina tu kitu ambacho hakina maana.
3. Diamond kaimba mashairi dhaifu.

Mambo mawili ya mwanzo nitautolea ufafanuzi kwa pamoja, Koffi kutoimba na kutajataja majina. Ikumbukwe taratibu za muziki wa kikongo zina utofauti kidogo na Bongo Fleva. Kule wanamuziki huimba LIVE na band. Na kwa taratibu zao huwa ndani ya bendi kuna watu wanaitwa marapa/Animators/Atalaku ambao kazi yao ni kuimba kwa sauti kama za kupayuka pale sebene la kwenye wimbo linapoanza. Wasiojua muziki wa congo ni kwamba nyimbo zao zote huanza kwa kuimba na baadae kufuatiwa na sebene ambapo hao marapa huanza kuimba. Na karibu hit songs zote za Congo huanza na sebene mwanzo mpaka mwisho. Hivyo basi huwezi sikia mwanamuziki mwingine zaidi ya rapa wa bendi akiimba kuanzia mwanzo hadi mwisho wa wimbo. Koffi Olomide kama ilivyo kwa wamiliki wengine wa bendi congo kina JB Mpiana, Werrason, Fally Ipupa na wengine huwa sio rapa. Sio rahisi kuwasikia wakifanya kazi hiyo. Zamani kwenye albamu zake za mwanzo kama V12, Koffi alijitahidi kufanya Animations hata Fally Ipupa kwenye Bakandja alipambana. Tukirudi kwenye point ni kwamba wimbo wa Diamond ni kama ulikuwa sebene mwanzo mwisho hivyo kwa Mopao ilikuwa sawa kabisa kubaki kwenye utaratibu wake ili kuleta ladha kamili ya Mopao.

Sasa kutokana na Koffi kutoimba kwenye hizo hitsongs huishia kuwa back vocalist ambapo huimba kwenye viitikio ambavyo Animator atawaimbisha. Na jambo lingine ambalo hulifanya ni kutaja majina ya watu au makampuni. Hapo kwenye kutaja majina tuangalie kitu kiitwacho MABANGA.

MABANGA ni nini? Huu ni utaratibu wa kutaja majina ya watu kwenye nyimbo kwa malipo ya kiasi fulani cha pesa. Kwa taarifa zisizo rasmi sana ni kwamba ukitaka utajwe kwenye wimbo na Fally Ipupa itabidi ulipie hadi US$1000. Lakini ukiachana na Mabanga ni kwamba kutaja majina huleta ladha fulani nzuri kwenye nyimbo zao. Pia majina mengine hutajwa tu bila kulipiwa. Kwenye wimbo wa Diamond Koffi kataja majina ya familia yake. Ni ngumu kwa wimbo wenye mahadhi ya kikongo kutokuwa na hivyo vionjo vya kutaja majina. Diamond kafanya vyema kwenda sawa na nini wananchi hasa wacongo wanataka. Kibiashara iko sahihi.

Kuhusu Diamond kuimba mashairi mepesi ni hoja ya kupuuzwa na wapenda maendeleo wote. Muziki ni hisia zako tu. Kama wimbo haukupi hisia za kuufurahia achana nao haukuhusu. Kwa mfano hitsong FIESTA ya R Kelly una maana gani? Thong song ya Sisqo una maana gani? Fagilia ya Mr Nice je? Lakini zote zilitikisa ulimwengu. Cha muhimu ni kwenda sawa na BASATA huku ukigusa hisia za wateja. Nihitimishe kwa kuwataka kama taifa tumpongeze Diamond kwa kazi kubwa anayofanya.
No Limit Soldiers, Master P and Bujibujilet us Phart farm
 
Natumaini mko wazima. Kwanza nimshukuru Mungu kwa neema zake. Pia nitoe pole kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kwa kuingia mgogoro na wanachama wake nguli waliokipigania kwa muda mrefu. Siwezi kuongelea hilo hapa ila tambueni msimamo wangu ni kama wa Mh Ndugai na Mh Polepole. Leo nitaongelea suala la huu wimbo wa Komredi Diamond Platinumz akishirikiana na Koffi Olomide (Mopao Mokonzi). Kiukweli wimbo ni mzuri wenye viwango vyote vya kimataifa. Binafsi niseme kada Diamond kakiletea chama heshima na taifa kwa ujumla. Bendera ya chama na taifa kazipeperusha vyema.

Lakini wakati wengi tunasifia kuna baadhi wameibuka na ukosoaji ambao leo nimeamua kutolea ufafanuzi. Mambo yafuatayo yameibuka;
1. Koffi kazingua kutoimba.
2. Alichofanya ni kutaja majina tu kitu ambacho hakina maana.
3. Diamond kaimba mashairi dhaifu.

Mambo mawili ya mwanzo nitautolea ufafanuzi kwa pamoja, Koffi kutoimba na kutajataja majina. Ikumbukwe taratibu za muziki wa kikongo zina utofauti kidogo na Bongo Fleva. Kule wanamuziki huimba LIVE na band. Na kwa taratibu zao huwa ndani ya bendi kuna watu wanaitwa marapa/Animators/Atalaku ambao kazi yao ni kuimba kwa sauti kama za kupayuka pale sebene la kwenye wimbo linapoanza. Wasiojua muziki wa congo ni kwamba nyimbo zao zote huanza kwa kuimba na baadae kufuatiwa na sebene ambapo hao marapa huanza kuimba. Na karibu hit songs zote za Congo huanza na sebene mwanzo mpaka mwisho. Hivyo basi huwezi sikia mwanamuziki mwingine zaidi ya rapa wa bendi akiimba kuanzia mwanzo hadi mwisho wa wimbo. Koffi Olomide kama ilivyo kwa wamiliki wengine wa bendi congo kina JB Mpiana, Werrason, Fally Ipupa na wengine huwa sio rapa. Sio rahisi kuwasikia wakifanya kazi hiyo. Zamani kwenye albamu zake za mwanzo kama V12, Koffi alijitahidi kufanya Animations hata Fally Ipupa kwenye Bakandja alipambana. Tukirudi kwenye point ni kwamba wimbo wa Diamond ni kama ulikuwa sebene mwanzo mwisho hivyo kwa Mopao ilikuwa sawa kabisa kubaki kwenye utaratibu wake ili kuleta ladha kamili ya Mopao.

Sasa kutokana na Koffi kutoimba kwenye hizo hitsongs huishia kuwa back vocalist ambapo huimba kwenye viitikio ambavyo Animator atawaimbisha. Na jambo lingine ambalo hulifanya ni kutaja majina ya watu au makampuni. Hapo kwenye kutaja majina tuangalie kitu kiitwacho MABANGA.

MABANGA ni nini? Huu ni utaratibu wa kutaja majina ya watu kwenye nyimbo kwa malipo ya kiasi fulani cha pesa. Kwa taarifa zisizo rasmi sana ni kwamba ukitaka utajwe kwenye wimbo na Fally Ipupa itabidi ulipie hadi US$1000. Lakini ukiachana na Mabanga ni kwamba kutaja majina huleta ladha fulani nzuri kwenye nyimbo zao. Pia majina mengine hutajwa tu bila kulipiwa. Kwenye wimbo wa Diamond Koffi kataja majina ya familia yake. Ni ngumu kwa wimbo wenye mahadhi ya kikongo kutokuwa na hivyo vionjo vya kutaja majina. Diamond kafanya vyema kwenda sawa na nini wananchi hasa wacongo wanataka. Kibiashara iko sahihi.

Kuhusu Diamond kuimba mashairi mepesi ni hoja ya kupuuzwa na wapenda maendeleo wote. Muziki ni hisia zako tu. Kama wimbo haukupi hisia za kuufurahia achana nao haukuhusu. Kwa mfano hitsong FIESTA ya R Kelly una maana gani? Thong song ya Sisqo una maana gani? Fagilia ya Mr Nice je? Lakini zote zilitikisa ulimwengu. Cha muhimu ni kwenda sawa na BASATA huku ukigusa hisia za wateja. Nihitimishe kwa kuwataka kama taifa tumpongeze Diamond kwa kazi kubwa anayofanya.
Katupiga huyu mwamba
 
Natumaini mko wazima. Kwanza nimshukuru Mungu kwa neema zake. Pia nitoe pole kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kwa kuingia mgogoro na wanachama wake nguli waliokipigania kwa muda mrefu. Siwezi kuongelea hilo hapa ila tambueni msimamo wangu ni kama wa Mh Ndugai na Mh Polepole. Leo nitaongelea suala la huu wimbo wa Komredi Diamond Platinumz akishirikiana na Koffi Olomide (Mopao Mokonzi). Kiukweli wimbo ni mzuri wenye viwango vyote vya kimataifa. Binafsi niseme kada Diamond kakiletea chama heshima na taifa kwa ujumla. Bendera ya chama na taifa kazipeperusha vyema.

Lakini wakati wengi tunasifia kuna baadhi wameibuka na ukosoaji ambao leo nimeamua kutolea ufafanuzi. Mambo yafuatayo yameibuka;
1. Koffi kazingua kutoimba.
2. Alichofanya ni kutaja majina tu kitu ambacho hakina maana.
3. Diamond kaimba mashairi dhaifu.

Mambo mawili ya mwanzo nitautolea ufafanuzi kwa pamoja, Koffi kutoimba na kutajataja majina. Ikumbukwe taratibu za muziki wa kikongo zina utofauti kidogo na Bongo Fleva. Kule wanamuziki huimba LIVE na band. Na kwa taratibu zao huwa ndani ya bendi kuna watu wanaitwa marapa/Animators/Atalaku ambao kazi yao ni kuimba kwa sauti kama za kupayuka pale sebene la kwenye wimbo linapoanza. Wasiojua muziki wa congo ni kwamba nyimbo zao zote huanza kwa kuimba na baadae kufuatiwa na sebene ambapo hao marapa huanza kuimba. Na karibu hit songs zote za Congo huanza na sebene mwanzo mpaka mwisho. Hivyo basi huwezi sikia mwanamuziki mwingine zaidi ya rapa wa bendi akiimba kuanzia mwanzo hadi mwisho wa wimbo. Koffi Olomide kama ilivyo kwa wamiliki wengine wa bendi congo kina JB Mpiana, Werrason, Fally Ipupa na wengine huwa sio rapa. Sio rahisi kuwasikia wakifanya kazi hiyo. Zamani kwenye albamu zake za mwanzo kama V12, Koffi alijitahidi kufanya Animations hata Fally Ipupa kwenye Bakandja alipambana. Tukirudi kwenye point ni kwamba wimbo wa Diamond ni kama ulikuwa sebene mwanzo mwisho hivyo kwa Mopao ilikuwa sawa kabisa kubaki kwenye utaratibu wake ili kuleta ladha kamili ya Mopao.

Sasa kutokana na Koffi kutoimba kwenye hizo hitsongs huishia kuwa back vocalist ambapo huimba kwenye viitikio ambavyo Animator atawaimbisha. Na jambo lingine ambalo hulifanya ni kutaja majina ya watu au makampuni. Hapo kwenye kutaja majina tuangalie kitu kiitwacho MABANGA.

MABANGA ni nini? Huu ni utaratibu wa kutaja majina ya watu kwenye nyimbo kwa malipo ya kiasi fulani cha pesa. Kwa taarifa zisizo rasmi sana ni kwamba ukitaka utajwe kwenye wimbo na Fally Ipupa itabidi ulipie hadi US$1000. Lakini ukiachana na Mabanga ni kwamba kutaja majina huleta ladha fulani nzuri kwenye nyimbo zao. Pia majina mengine hutajwa tu bila kulipiwa. Kwenye wimbo wa Diamond Koffi kataja majina ya familia yake. Ni ngumu kwa wimbo wenye mahadhi ya kikongo kutokuwa na hivyo vionjo vya kutaja majina. Diamond kafanya vyema kwenda sawa na nini wananchi hasa wacongo wanataka. Kibiashara iko sahihi.

Kuhusu Diamond kuimba mashairi mepesi ni hoja ya kupuuzwa na wapenda maendeleo wote. Muziki ni hisia zako tu. Kama wimbo haukupi hisia za kuufurahia achana nao haukuhusu. Kwa mfano hitsong FIESTA ya R Kelly una maana gani? Thong song ya Sisqo una maana gani? Fagilia ya Mr Nice je? Lakini zote zilitikisa ulimwengu. Cha muhimu ni kwenda sawa na BASATA huku ukigusa hisia za wateja. Nihitimishe kwa kuwataka kama taifa tumpongeze Diamond kwa kazi kubwa anayofanya.
Ile nyimbo ni Takataka na Mondi anajua hilo,
 
Hivi huu mwimbo kuna watu wanakaa na kuusikiliza!!??..aisee mi nimeshindwa yaani ni mziki ambao umeshindwa kushawishi masikio yangu
 
Wimbo ni mbovu. Beat ni ile ya kawaida zilizozoeleka.

Hoja eti nyimbo zote za kikongo huanza slow kisha kuja sebene ni uongo. 100 kilos, feux de lamour, associe n.k hazina hiko unachodai.

Sijawahi kukutana na wimbo Koffi kashirikishwa na msanii wa genre nyingine halafu huo wimbo ukawa mzuri.

Huu wimbo ni komedi nyingine ndiyo maana inatolewa maelezo hapa ili usikilizwe.
 
Wimbo ni mbovu. Beat ni ile ya kawaida zilizozoeleka.

Hoja eti nyimbo zote za kikongo huanza slow kisha kuja sebene ni uongo. 100 kilos, feux de lamour, associe n.k hazina hiko unachodai.

Sijawahi kukutana na wimbo Koffi kashirikishwa na msanii wa genre nyingine halafu huo wimbo ukawa mzuri.

Huu wimbo ni komedi nyingine ndiyo maana inatolewa maelezo hapa ili usikilizwe.
Katika wachangiaji wote wa huu uzi wewe umeonyesha kufahamu vizuri muziki. Hongera sana
 
Natumaini mko wazima. Kwanza nimshukuru Mungu kwa neema zake. Pia nitoe pole kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kwa kuingia mgogoro na wanachama wake nguli waliokipigania kwa muda mrefu. Siwezi kuongelea hilo hapa ila tambueni msimamo wangu ni kama wa Mh Ndugai na Mh Polepole. Leo nitaongelea suala la huu wimbo wa Komredi Diamond Platinumz akishirikiana na Koffi Olomide (Mopao Mokonzi). Kiukweli wimbo ni mzuri wenye viwango vyote vya kimataifa. Binafsi niseme kada Diamond kakiletea chama heshima na taifa kwa ujumla. Bendera ya chama na taifa kazipeperusha vyema.

Lakini wakati wengi tunasifia kuna baadhi wameibuka na ukosoaji ambao leo nimeamua kutolea ufafanuzi. Mambo yafuatayo yameibuka;

1. Koffi kazingua kutoimba.
2. Alichofanya ni kutaja majina tu kitu ambacho hakina maana.
3. Diamond kaimba mashairi dhaifu.

Mambo mawili ya mwanzo nitautolea ufafanuzi kwa pamoja, Koffi kutoimba na kutajataja majina. Ikumbukwe taratibu za muziki wa kikongo zina utofauti kidogo na Bongo Fleva. Kule wanamuziki huimba LIVE na band. Na kwa taratibu zao huwa ndani ya bendi kuna watu wanaitwa marapa/Animators/Atalaku ambao kazi yao ni kuimba kwa sauti kama za kupayuka pale sebene la kwenye wimbo linapoanza. Wasiojua muziki wa congo ni kwamba nyimbo zao zote huanza kwa kuimba na baadae kufuatiwa na sebene ambapo hao marapa huanza kuimba. Na karibu hit songs zote za Congo huanza na sebene mwanzo mpaka mwisho. Hivyo basi huwezi sikia mwanamuziki mwingine zaidi ya rapa wa bendi akiimba kuanzia mwanzo hadi mwisho wa wimbo. Koffi Olomide kama ilivyo kwa wamiliki wengine wa bendi congo kina JB Mpiana, Werrason, Fally Ipupa na wengine huwa sio rapa. Sio rahisi kuwasikia wakifanya kazi hiyo. Zamani kwenye albamu zake za mwanzo kama V12, Koffi alijitahidi kufanya Animations hata Fally Ipupa kwenye Bakandja alipambana. Tukirudi kwenye point ni kwamba wimbo wa Diamond ni kama ulikuwa sebene mwanzo mwisho hivyo kwa Mopao ilikuwa sawa kabisa kubaki kwenye utaratibu wake ili kuleta ladha kamili ya Mopao.

Sasa kutokana na Koffi kutoimba kwenye hizo hitsongs huishia kuwa back vocalist ambapo huimba kwenye viitikio ambavyo Animator atawaimbisha. Na jambo lingine ambalo hulifanya ni kutaja majina ya watu au makampuni. Hapo kwenye kutaja majina tuangalie kitu kiitwacho MABANGA.

MABANGA ni nini? Huu ni utaratibu wa kutaja majina ya watu kwenye nyimbo kwa malipo ya kiasi fulani cha pesa. Kwa taarifa zisizo rasmi sana ni kwamba ukitaka utajwe kwenye wimbo na Fally Ipupa itabidi ulipie hadi US$1000. Lakini ukiachana na Mabanga ni kwamba kutaja majina huleta ladha fulani nzuri kwenye nyimbo zao. Pia majina mengine hutajwa tu bila kulipiwa. Kwenye wimbo wa Diamond Koffi kataja majina ya familia yake. Ni ngumu kwa wimbo wenye mahadhi ya kikongo kutokuwa na hivyo vionjo vya kutaja majina. Diamond kafanya vyema kwenda sawa na nini wananchi hasa wacongo wanataka. Kibiashara iko sahihi.

Kuhusu Diamond kuimba mashairi mepesi ni hoja ya kupuuzwa na wapenda maendeleo wote. Muziki ni hisia zako tu. Kama wimbo haukupi hisia za kuufurahia achana nao haukuhusu. Kwa mfano hitsong FIESTA ya R Kelly una maana gani? Thong song ya Sisqo una maana gani? Fagilia ya Mr Nice je? Lakini zote zilitikisa ulimwengu. Cha muhimu ni kwenda sawa na BASATA huku ukigusa hisia za wateja. Nihitimishe kwa kuwataka kama taifa tumpongeze Diamond kwa kazi kubwa anayofanya.
Mkuu yule anae rap kwenye 'waah' ni nani? Kafanya jukumu lake ipasavyo na naona si koffi yule!!
 
Natumaini mko wazima. Kwanza nimshukuru Mungu kwa neema zake. Pia nitoe pole kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kwa kuingia mgogoro na wanachama wake nguli waliokipigania kwa muda mrefu. Siwezi kuongelea hilo hapa ila tambueni msimamo wangu ni kama wa Mh Ndugai na Mh Polepole. Leo nitaongelea suala la huu wimbo wa Komredi Diamond Platinumz akishirikiana na Koffi Olomide (Mopao Mokonzi). Kiukweli wimbo ni mzuri wenye viwango vyote vya kimataifa. Binafsi niseme kada Diamond kakiletea chama heshima na taifa kwa ujumla. Bendera ya chama na taifa kazipeperusha vyema.

Lakini wakati wengi tunasifia kuna baadhi wameibuka na ukosoaji ambao leo nimeamua kutolea ufafanuzi. Mambo yafuatayo yameibuka;

1. Koffi kazingua kutoimba.
2. Alichofanya ni kutaja majina tu kitu ambacho hakina maana.
3. Diamond kaimba mashairi dhaifu.

Mambo mawili ya mwanzo nitautolea ufafanuzi kwa pamoja, Koffi kutoimba na kutajataja majina. Ikumbukwe taratibu za muziki wa kikongo zina utofauti kidogo na Bongo Fleva. Kule wanamuziki huimba LIVE na band. Na kwa taratibu zao huwa ndani ya bendi kuna watu wanaitwa marapa/Animators/Atalaku ambao kazi yao ni kuimba kwa sauti kama za kupayuka pale sebene la kwenye wimbo linapoanza. Wasiojua muziki wa congo ni kwamba nyimbo zao zote huanza kwa kuimba na baadae kufuatiwa na sebene ambapo hao marapa huanza kuimba. Na karibu hit songs zote za Congo huanza na sebene mwanzo mpaka mwisho. Hivyo basi huwezi sikia mwanamuziki mwingine zaidi ya rapa wa bendi akiimba kuanzia mwanzo hadi mwisho wa wimbo. Koffi Olomide kama ilivyo kwa wamiliki wengine wa bendi congo kina JB Mpiana, Werrason, Fally Ipupa na wengine huwa sio rapa. Sio rahisi kuwasikia wakifanya kazi hiyo. Zamani kwenye albamu zake za mwanzo kama V12, Koffi alijitahidi kufanya Animations hata Fally Ipupa kwenye Bakandja alipambana. Tukirudi kwenye point ni kwamba wimbo wa Diamond ni kama ulikuwa sebene mwanzo mwisho hivyo kwa Mopao ilikuwa sawa kabisa kubaki kwenye utaratibu wake ili kuleta ladha kamili ya Mopao.

Sasa kutokana na Koffi kutoimba kwenye hizo hitsongs huishia kuwa back vocalist ambapo huimba kwenye viitikio ambavyo Animator atawaimbisha. Na jambo lingine ambalo hulifanya ni kutaja majina ya watu au makampuni. Hapo kwenye kutaja majina tuangalie kitu kiitwacho MABANGA.

MABANGA ni nini? Huu ni utaratibu wa kutaja majina ya watu kwenye nyimbo kwa malipo ya kiasi fulani cha pesa. Kwa taarifa zisizo rasmi sana ni kwamba ukitaka utajwe kwenye wimbo na Fally Ipupa itabidi ulipie hadi US$1000. Lakini ukiachana na Mabanga ni kwamba kutaja majina huleta ladha fulani nzuri kwenye nyimbo zao. Pia majina mengine hutajwa tu bila kulipiwa. Kwenye wimbo wa Diamond Koffi kataja majina ya familia yake. Ni ngumu kwa wimbo wenye mahadhi ya kikongo kutokuwa na hivyo vionjo vya kutaja majina. Diamond kafanya vyema kwenda sawa na nini wananchi hasa wacongo wanataka. Kibiashara iko sahihi.

Kuhusu Diamond kuimba mashairi mepesi ni hoja ya kupuuzwa na wapenda maendeleo wote. Muziki ni hisia zako tu. Kama wimbo haukupi hisia za kuufurahia achana nao haukuhusu. Kwa mfano hitsong FIESTA ya R Kelly una maana gani? Thong song ya Sisqo una maana gani? Fagilia ya Mr Nice je? Lakini zote zilitikisa ulimwengu. Cha muhimu ni kwenda sawa na BASATA huku ukigusa hisia za wateja. Nihitimishe kwa kuwataka kama taifa tumpongeze Diamond kwa kazi kubwa anayofanya.
Masisiemu Sasa ndio yamejua kiasi ambacho magufuli hawaamini.

Yaani kawapa Watoto wake, Na mbuzi za chadema alizonunua mnadani na zile ng'ombe za jalalani udsm pale bila kusahau lakezonelization, watu wa Kanda ya ziwa.

Masisiemu yamepigwa na butwaa
 
Masisiemu Sasa ndio yamejua kiasi ambacho magufuli hawaamini.

Yaani kawapa Watoto wake, Na mbuzi za chadema alizonunua mnadani na zile ng'ombe za jalalani udsm pale bila kusahau lakezonelization, watu wa Kanda ya ziwa.

Masisiemu yamepigwa na butwaa
Mzee baba mbona unatuchafulia uzi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom