Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,301
- 33,920
sijaelewa......na pamejificha.
sijaelewa......na pamejificha.
Maji ya kuoga kwenye ndoo?Ukifika mbeya stendi kuu wambie wakupeleke guest moja ina itwa Katumba.. ipo mitaa ya mbalizi road..ipo vzr asubuhi una pewa maji motoo..vyumba safi..tatizo hakuna chumba cha self..
Missing this place.Safii kabisa. Nakushauri ufikie MFIKEMO REST HOUSE, iko Sae. Kama unakwenda na basi huko Mbeya, shukia stand inaitwa Nanenane. Kisha chukua bajaj au Bodaboda, ni 1500/- mpaka hotelini. Au Taxi ni 3000/- tu. Kama unashuka na ndege Songwe Airport, chukua shuttle ya kijana mmoja anaitwa Mbaki. Mwambie akifikishe MFIKEMO R. HOUSE Sae. Ni Tshs. 10,000/-. Wasalim sana Mbeya, ni jiji zuri kabisa kwa afya. Tahadhali, kuna mvua na baridi kwa sasa, makoti ni muhimu sana.