Kunguni wapi Kila mahali,Mwaka Jana Ufaransa shule zilifungwa, Marekani zimevamia hadi Washington DC!Si useme tu unatafuta mbegu ya kunguni?
Wanauelewa sana,sema wanajitoa ufahamu!Ndio maana tukisema "NO REFORM NO ELECTION" muwe mnatuelewa.
Kwa Dar kuna sehemu maalum kwaajili ya kunguni mkuu... Ufaransa ilikua kama uvamizi wa kupangwa 😄Kunguni wapi Kila mahali,Mwaka Jana Ufaransa shule zilifungwa, Marekani zimevamia hadi Washington DC!
Hawa wadudu ni noma,sikuwahi wajua, Dodoma waliingia, duuh hulali ila wenyeji hadi wanakoroma!Kwa Dar kuna sehemu maalum kwaajili ya kunguni mkuu... Ufaransa ilikua kama uvamizi wa kupangwa 😄
Nenda Pacific Hotel iko hapo barabarani tiptop. nadhani wana vyumba vya 20 na 30. Ila nayo nikiianalia ile ni lodge tu iliyopewa jina la hotelNaomba msaada kwa anayejua ntaweza kupata hotel au lodge ya Bei 15 hapa maeneo ya manzese anitajie Nina uhitaji mkubwa
Logde au hotel inayoanzia chumba 15 , naomba anitajie
Au naomba mnitajie Bei za hotel na lodge manzese
Umenikumbusha mbali,niliwahi kulalia taulo chini kwenye sakafu mpk asubuhi,maana wale Kunguni kwenye ile gest siku ile wangeniua...Si useme tu unatafuta mbegu ya kunguni?
Tumekubali kumwelewa kwa shidashida wewe unalianzisha 😄😄Neno "mdada" kwenye heading lina uhusiano gani na main point ya uzi wako?
Ungezubaa Wangekubeba,,Na Kukutoa Nje Kabisa....Umenikumbusha mbali,niliwahi kulalia taulo chini kwenye sakafu mpk asubuhi,maana wale Kunguni kwenye ile gest siku ile wangeniua...
Lina uhusiano mkubwa sana na lengo la kutafuta lodge maana alitaka kuandika msaada huku kichwani anawaza mdada ambae anataka kumshughulikia lodgeNeno "mdada" kwenye heading lina uhusiano gani na main point ya uzi wako?